maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Habarini za asubuhi wakuu poleni na majukumu
Leo nyimbo ya ndugu zetu weusi weusi wapoloooh imepata bahati ya kuskilizwa na mimi maji ya gundu, Nilioyaona kwene hii nyimbo ni haya
moja: Beat ya hii nyimbo ni kama wamechukua beat moja hivi ya stereo ameimba na chid benz nyimbo inaitwa "ukonga na ilala" ila walichokifanya wameimodify tuu
mbili:Hii nyimbo hawa jamaa wameimba matusi sana hasa G Nako kuna mstari anasema "kaja ghetto kapigwa mande" yaani anamaanisha demu kaenda ghetto afu kapigwa mtungo
tatu:Hii video ya hali ya chini sana yaani utafikiri tupo enzi za dully sykes "baby candy" yaani kwa kifupi ubunifu 0
NB: Ni mtazamo tu
Leo nyimbo ya ndugu zetu weusi weusi wapoloooh imepata bahati ya kuskilizwa na mimi maji ya gundu, Nilioyaona kwene hii nyimbo ni haya
moja: Beat ya hii nyimbo ni kama wamechukua beat moja hivi ya stereo ameimba na chid benz nyimbo inaitwa "ukonga na ilala" ila walichokifanya wameimodify tuu
mbili:Hii nyimbo hawa jamaa wameimba matusi sana hasa G Nako kuna mstari anasema "kaja ghetto kapigwa mande" yaani anamaanisha demu kaenda ghetto afu kapigwa mtungo
tatu:Hii video ya hali ya chini sana yaani utafikiri tupo enzi za dully sykes "baby candy" yaani kwa kifupi ubunifu 0
NB: Ni mtazamo tu