Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mapenzi mwanzoni huwa matamu sana; ila bili zikianza kuja kama mvua, unajikuta unakimbia mwenyewe 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸Mapenzi mwanzoni huwa matamu sana; ila bili zikianza kuja kama mvua, unajikuta unakimbia mwenyewe 😀
Kishua ndo wazuri mkuuHuyo kishua sana braza..
Mtongoze babAcha tu mzee. Mi kuna mmoja tu namtaka. Sijawahi muona face ila jina na mwandiko wake mi oi.
Anaanzia na L
Lakini vyemaUmejua kunifurahisha.
Ndio hivyo, ukikubaliwa tu; jua umeshaingia kwenye mkataba wa dp🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸
Kumbe plofile ndo unyama?Awe tu mvumilivu maana kuweka picha ni moja na kukubaliwa ni jambo jingine
Kwani na kupendana ipo?Karibu ntakupenda Hadi usahau kwenu
Kuwa tu mvumilivu wanakuja maana wana mapenzi na watu warefu na nna uhakika kwa shingo hyo we ni mrefu. Jambo lako limeendaHeee! Kumbe?
Halafu mi sitaki mapenzi sasaMapenzi mwanzoni huwa matamu sana; ila bili zikianza kuja kama mvua, unajikuta unakimbia mwenyewe 😀
🤣🤣🤣 Mpaka utakate peeNdio hivyo, ukikubaliwa tu; jua umeshaingia kwenye mkataba wa dp
VizuriHalafu mi sitaki mapenzi sasa
Wakuperuzi una shida gani na mbavu zangu lakini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Kuwa tu mvumilivu wanakuja maana wana mapenzi na watu warefu na nna uhakika kwa shingo hyo we ni mrefu. Jambo lako limeenda
Bro mbona tunaanza kutishana sasa!Kuwa tu mvumilivu wanakuja maana wana mapenzi na watu warefu na nna uhakika kwa shingo hyo we ni mrefu. Jambo lako limeenda
Ngoma wanachukua waarabu?Ndio hivyo, ukikubaliwa tu; jua umeshaingia kwenye mkataba wa dp
Unataka uwaubirie injili au? Ukishakuwa na mahusiano na mwanamke, kinachofuata ni nini?Halafu mi sitaki mapenzi sasa
Mapenzi yana watu waoVizuri
Kutiana tu baada ya hapo kilà mtu anaahika 50 zakeUnataka uwaubirie injili au? Ukishakuwa na mahusiano na mwanamke, kinachofuata ni nini?
Ndio hivyo mkuu, watoto wanataka hela, mahitaji ni mengi pesa ni chacheNgoma wanachukua waarabu?
Michezo na hela mi siweziNdio hivyo mkuu, watoto wanataka hela, mahitaji ni mengi pesa ni chache