Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
maana tupo karibu kumtoa Iribini huko sasa tena Nguli akidumbukia hapo tumefanya nini.....Ngoja tukaze buti. asante kwa neno la matumaini!!!
Aiseee ngoja niwahi Zero pub! Kiu naona inataka kuua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maana tupo karibu kumtoa Iribini huko sasa tena Nguli akidumbukia hapo tumefanya nini.....Ngoja tukaze buti. asante kwa neno la matumaini!!!
Aiseee ngoja niwahi Zero pub! Kiu naona inataka kuua!
hahaaa by the time unafika zero pamefungwa na foleni hii
Hivi kuna folenie? Kwa hiyo nianzie breki pointi siyo? SENKSI fo ze infomesheni!
hufiki hata pale...leo kaa mpaka saa tatu hivi ndo uanze mdogomdogo, hm mid night
Isije ikawa janja ya Maria Magdalena kumbania Yusuf asipate divai na wafuasi wake!
he he heheheh!Isije ikawa janja ya Maria Magdalena kumbania Yusuf asipate divai na wafuasi wake!
hahaaaaa angels at work!!!!
Now stop that nonsense and tell the acting Jesus' dady the truth!
kwa iyo mam'aa la bht unadhani ni sehemu gani nzuri kwa sisi kukutana(tukiisubiria foleni)!😀hata huo u-acting utanyang'anywa u dizev tu bi Tomaso wewe usiye amini!!! nenda na u wil b stak kwa barabara for hrs. kwani si kanuni inayojulikana DSM KUKIWA NA MVUA NA FOLENI NDO MWAKE
kwa iyo mam'aa la bht unadhani ni sehemu gani nzuri kwa sisi kukutana(tukiisubiria foleni)!:d
he he heheheh!
mpwaa iz on his wei tu hiveni!
btw,unajua pale bai naiti mimi nilishatibuana na watu wa jikoni!niliwazozobokea vibaya mno walichelewesha mdudu😀
kwa iyo mam'aa la bht unadhani ni sehemu gani nzuri kwa sisi kukutana(tukiisubiria foleni)!😀
hilo nimeliangalia kwa jicho la tatu!kwani wewe leo utapita njia gani?
please continue preaching to the me the good news! Haleluya!!!!!!!!!!