Waraka kwa wadada wa jf

Waraka kwa wadada wa jf

Hahahahahaha!Uwii na kilio nimlilie aende akijua ntammiss sana!

Shem nina ujumbe wako toka kwa Rev Masa!

Yuko salama kwenye gereza la VIP kule yeye anaitwa Rev Mtikila na ni mnyapala. Yuko vizuri mtunzie kiumbe chake anasema anakupnda sana kuliko uhai wake. Enzi pendo lake usisikilize wachongaji. Huyu anayetaka jiuwa mchungaji amemruhusu atanunua jeneza. Huu ni ujumbe kutoka kwa bro Rev Masa
 
Me namtaka Lizzy kuz ndio msichana pekee ambae mtima wangu umemdondokea ila akiendelea kukataa naweza kukupa nafasi ya one week uni2lize mawazo.

Noted. Save life
 
Ha ha ha, najitolea siku saba husninyo, mwambie aendelee kumfikiria. Ajali uhai jamani.

tuokoe maisha yake kwakweli.
Siku 7 zako zikiisha nitatuma application nipewe japo 3 wakati lizzy anaendelea kumfikiria fikiria.
 
Hahahahahaaa!!!! naona bado unapigwa kibuti kwa njia ya S.L.P.
Hamia kwa LD.........ila ujue ana kaka zake humu wengine ni Mababu na wengine ni Ma-inspector........ukimchakachua utakaguliwa na babuz na kufanyiwa inspection na inspector
 
Mimi nshaandaa sare ya mazishi,halafu unarudirudi hebu tekeleza haraka bwana tumalize mambo tuwahi kubeba boksi

shosti una hamu na kipunga cha shughuri nini?
Mi na LD tunajitahidi kuokoa maisha yake. Hapa jasho linatutoka.
 
Shem nina ujumbe wako toka kwa Rev Masa!

Yuko salama kwenye gereza la VIP kule yeye anaitwa Rev Mtikila na ni mnyapala. Yuko vizuri mtunzie kiumbe chake anasema anakupnda sana kuliko uhai wake. Enzi pendo lake usisikilize wachongaji. Huyu anayetaka jiuwa mchungaji amemruhusu atanunua jeneza. Huu ni ujumbe kutoka kwa bro Rev Masa
Asante shem kwa ujumbe..hopefully umewafikia na wachakachuaji ili wajue hamna nafasi hapa!!Mwambie baba mchungaji NAMPENDA SANA!
 
shosti una hamu na kipunga cha shughuri nini?
Mi na LD tunajitahidi kuokoa maisha yake. Hapa jasho linatutoka.

Shosti hataki kuingia hasara...kitenge cha kukopa mwenyewe kashakata!
 
Halafu mbona kachukua kamba ya kichina ....c ana2tania huyo! au maujiko.Kabla hajafa imeshakatika.
 
Hahahahahaaa!!!! naona bado unapigwa kibuti kwa njia ya S.L.P.
Hamia kwa LD.........ila ujue ana kaka zake humu wengine ni Mababu na wengine ni Ma-inspector........ukimchakachua utakaguliwa na babuz na kufanyiwa inspection na inspector

Kaka asante kwa ushirikiano mkubwa namna hii!! Tuokoe tu uhai wake. Huwezi jua anaweza kuja kusaidia taifa baadae.
 
Halafu mbona kachukua kamba ya kichina ....c ana2tania huyo! au maujiko.Kabla hajafa imeshakatika.

si ndio hapo sasa. Anataka kujinyonga kwenye tawi la mchicha tena na big g.
 
tuokoe maisha yake kwakweli.
Siku 7 zako zikiisha nitatuma application nipewe japo 3 wakati lizzy anaendelea kumfikiria fikiria.

Kabisa, umoja ni nguvu, kwa pamoja tunaweza.Hapana kufa mtu hapa.
 
Kaka asante kwa ushirikiano mkubwa namna hii!! Tuokoe tu uhai wake. Huwezi jua anaweza kuja kusaidia taifa baadae.
Ushawahi kugongwa?..........naona unajipeleka//////........lakini usihofu, walinzi tupo.
 
Ushawahi kugongwa?..........naona unajipeleka//////........lakini usihofu, walinzi tupo.

Yaani kabla ya haya maamuzi, nilisha hesabu gharama hapa, nikajiona nina jeshi la kutosha, GY, mfalme wa Amani(Teamo), mzee mzima Bigirita, babu Asprin, dogo Finest, mheshimiwa sana Kimey, acha yule kaka ambae ni baba mmoja mama mbalimbali Paka Mweusi, hapa bado st. RR. Akijaribu kugonga tu imekula kwake.
 
Yaani kabla ya haya maamuzi, nilisha hesabu gharama hapa, nikajiona nina jeshi la kutosha, GY, mfalme wa Amani(Teamo), mzee mzima Bigirita, babu Asprin, dogo Finest, mheshimiwa sana Kimey, acha yule kaka ambae ni baba mmoja mama mbalimbali Paka Mweusi, hapa bado st. RR. Akijaribu kugonga tu imekula kwake.

Kila ka kheri dia wapi kikombe cha chai
 
Alafu mnajua nini GB msanii alitaka kuona watu wangapi watambembeleza asijitie kitanzi!Nxt time mtu akisema anataka kujinyonga tunazichanga za kumnunulia kamba na vinywaji vya kutuburudisha wakati tunangojea aage dunia na sio sis!
 
Nikiwa na huzuni tele kwa kukatariwa ombi langu na LIZZYMIND "Lizzy" sasa nipo kwenye tawi la mti na kamba yangu shingoni tayari kwa kujiua, ila kabla sijajiua nawaomba mkamwambie Lizzy maneno yafuatayo. Firstlandy:- mwambie Lizzy nampenda sana, Rose1980:- mwambie Lizzy sikuli kwaajili yake, Pearl:- mwambie Lizzy nimemkuta REV bar na nyumba ndogo, Shosti:- mwambie Lizzy nitampa pasword yangu ya JF kuonyesha kuwa nampenda. Husninyo kasikilize Lizzy atakwambia nini kabla sijajitundika. Ni mimi nikupendae!!?
jitundike tu mkuu, ugali wenyewe hautoshi bongo! jimalize tu utupunguzie kompetishen.
 
Wanaojinyonga huwa hawasemi unakuta kitu iko tayari juu ya mti zamaaaani ishafika kwa israel
 
Back
Top Bottom