Waraka kwa Walimu waliohitimu masomo yao lakini hawajaajiriwa.

Babylon tower

Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
60
Reaction score
11
Ndugu walimu wenzangu nilikuwa napendekeza tupge sensa ni wangapi tumekosa hizi ajira ili kama ifikapo tar.25/4/2014 kama majina yetu yatakuwa hayajatoka tuweze kwenda moja kwa moja mpaka TAMISEMI MAKAO MAKUU-DOM ili tukajue hatima yetu. kama ikibid ntatoa namba yangu kwa njia ya inbox bt mpka sasa nawafahamu watu hamsin from saut mwanza ,saut tbr na udsm, asanteni
 
huu sio waraka ticha! hilo ni uangazo! mama wee
hiyo kaka ni writing skills ambayo nmeitumia ili kudraw attention kwa wasomaji na wala cijakosea au usomagi magazeti kujua ni namna gani kichwa cha habari kinahusika kumvuta msomaji????
 
Moro tc tupo around 50 babylon,marangu kama 46,
 

Mkuu wahanga tupo wengi ila izo data itakuwa ngumu kuzipata kuna mtu 1 muhimu sana pale wizara ya elimu labda huyo angeweza kutusaidia kama mimi nimetokea saut-morogoro pale Juco na isitoshe wengi wao wapo mikoani awajuwi ata nini kinaendelea maskini ya mungu bora ata mimi na wewe tunaendaga uko tamisemi
 


kwa hiyo we unafikiri tuwape muda gani ili tuweze kwenda kule aiseeeee
 
Uspoteze muda chkua majina yawanaoilalamikia ajira ya ualm peleka Tamisem wakureplace make tnafanya mzaha na ajira tsome alama za nyakati
 
Uspoteze muda chkua majina yawanaoilalamikia ajira ya ualm peleka Tamisem wakureplace make tnafanya mzaha na ajira tsome alama za nyakati

Kuna mtu 1 anafanya kazi pale tamisemi dodoma aliniambi kwa sisi tulio kosa ajira chaguo la kwanza majina yetu yatatoka kuanzia 1 mei na kuanzia apo ayatatoka tena la msingi kwa ushauri tu lazima ujuwe ni kwa nini jina lako alikutoka usikute unasubiri wakati ata tamisemi jina lako alijapelekwa na chuo chako
 
hiyo kaka
ni writing skills ambayo nmeitumia ili kudraw attention kwa wasomaji na
wala cijakosea au usomagi magazeti kujua ni namna gani kichwa cha
habari kinahusika kumvuta msomaji????


kwa uandishi huo ndo maana hujaajiriwa
 
Jaman poleni sana wahanga. Sasa hao TAMISEMI wanamaanisha nin kutowaajiri? Wanataka muuende mkaajiriwe wap while taaluma zenu ni kufundisha? Bora bas wangekua hawajihusishi na hizo ajira watu wajue moja. Watu wamesoma Educ. wakijua wakimaliza tu ajira wanazo, yan mtu ungejua iko hivi bora ungejisomea kozi nyingine ili ujue unaanzia wapi huko mtaani. Embu nyie TAMISEMI toeni tamko nin hatma ya hawa walimu. Waende wakafanye kaz wap while taaluma zao ni kufundisha??? Its So Disapointing jaman..🙄
 
ila mcharge umeongea point,kwamba tukahakikishe majina yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…