mbeya yetu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 487
- 102
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaHaina noma mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaHaina noma mkuu
Ndugu walimu wenzangu nilikuwa napendekeza tupge sensa ni wangapi tumekosa hizi ajira ili kama ifikapo tar.25/4/2014 kama majina yetu yatakuwa hayajatoka tuweze kwenda moja kwa moja mpaka TAMISEMI MAKAO MAKUU-DOM ili tukajue hatima yetu. kama ikibid ntatoa namba yangu kwa njia ya inbox bt mpka sasa nawafahamu watu hamsin from saut mwanza ,saut tbr na udsm, asanteni
huu sio waraka ticha! Hilo ni uangazo! Mama wee
ila mcharge umeongea point,kwamba tukahakikishe majina yetu
Unajua sijawaelewa, mnahamasishana ili mkadai kazi au? Maana inawezekana mwajiri hana uwezo wa kuajiri sasa nyinyi mnapotaka kulazimisha kupewa ajira siwaelewi! Je mkiajiriwa na kutolipwa mtamlaumu nani? Mi nawashauri kama nyinyi ni professional na creative jikusanyeni na mbuni mradi wa ku
waingizia kipato na sio kulazimisha kuajiriwa. Kwani kufanya hivyo mnaidharirisha taaluma yenu! Unaweza kuishi kwa kufanya kitu kingine sio lazima ushike chaki!!
Unajua sijawaelewa, mnahamasishana ili mkadai kazi au? Maana inawezekana mwajiri hana uwezo wa kuajiri sasa nyinyi mnapotaka kulazimisha kupewa ajira siwaelewi! Je mkiajiriwa na kutolipwa mtamlaumu nani? Mi nawashauri kama nyinyi ni professional na creative jikusanyeni na mbuni mradi wa ku
waingizia kipato na sio kulazimisha kuajiriwa. Kwani kufanya hivyo mnaidharirisha taaluma yenu! Unaweza kuishi kwa kufanya kitu kingine sio lazima ushike chaki!!
Unajua sijawaelewa, mnahamasishana ili mkadai kazi au? Maana inawezekana mwajiri hana uwezo wa kuajiri sasa nyinyi mnapotaka kulazimisha kupewa ajira siwaelewi! Je mkiajiriwa na kutolipwa mtamlaumu nani? Mi nawashauri kama nyinyi ni professional na creative jikusanyeni na mbuni mradi wa ku
waingizia kipato na sio kulazimisha kuajiriwa. Kwani kufanya hivyo mnaidharirisha taaluma yenu! Unaweza kuishi kwa kufanya kitu kingine sio lazima ushike chaki!!
kwa nn mmeachwa?