Waraka Mfupi Kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Waraka Mfupi Kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kwa sasa hakuna jambo linalomtia doa Mama kama mkataba wa DP World. Ukiwa kwenye mikusanyiko ya watu, kwenye vyombo vya usafiri, vijiweni nk. hukosi kusikia watu wakijadili suala, tena wanajadili NEGATIVELY.

Nadhani mpaka sasa kukubalika kwa Mama kunaweza kuwa kumeshuka kwa zaidi ya 75%.

Ushauri wangu ni kwamba, kama hakuna cha pekee sana, Mama afanye maamuzi magumu ya kuachana na hii kitu.
Tatizo sio mama tatuzo ni ccm wamekubaliana wote.
 
Back
Top Bottom