Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Jamani binafsi huu waraka sas unaanza kuniingia kabla ya kuupata nilimlaani sa dr kitila lkn sasa nabadilika kiasi , kama ni kiacha maudhui ya waraka huu napenda kuangalia matatizo ya kiongozi aliyepk sasa ,haya yaliyosemwa hapa si madogo na hakika kama yapo basi CDM itapita pasipo kufanya lolote 2015,na kwa namna ilivyoandikwa inaonekana ni kwl tupu. Hivi kwa nn kipengele kinachozungumzia ukomo wa kuwa m/kiti kiondolewe? Kwa nn watu hawataki kuamini kuwa kupokezana kijiti ni jambo jema ? Kwa nn watu wanaamini kuwa ni wao tu wanaweza kuonglza na wengine hawawezi? Kwa nn watu hawataki kujjfunza toka kwa wale waliotangulia ? Kuna tofauti gani kati ya CCM na CDM kama wote wanaamini kuwa ni wao tu wamezaliwa kuwa viongozi? Kama kanuni za manunuzi hazizingatiwi ndani ya chama je uongozi hauoni kama hili ni tatizo? Kama watu kweli wanatengeneza makundi ambayo hakika yapo je wanamalengo gani na chama. Kwa nn mapato na matumizi ya chama hayajasomwa mbele ya vikao husika tangu 2010? Waraka huu umenifungua macho sana . Naendelea kutafakali wakati mm natafakali basi wenzangu wanachadema,naomba tutafakal kwa kina na tuache hoja nyepesi,naamini huu waraka unavitu vzr ambavyo tunapaswa kuvijua na kuvitafakal na kuacha ushabiki.
 
Yule ni mwamba kwel,, as man tunatakiwa kuiga jins mh g lema, anavyo react pinda ukiona unaonewa, blve me nina imani kubwa sana na jembe hili thou kibinadamu hatukosi mapungufu ya hapa na pale, ndo maana tuna sema no one is perfect, viva cdm viva Mr lema, kwa pamoja tutafka salama nchi ya ahadi
 
Tunashukuru Lema alitufungua masikio, tulikuwa hatujui kama Zitto ni mwongo kuwa eti hapokei posho huku anapokea mamilioni za kifisadi kutoka ccm, tunashukuru kuwa Lema ametusaidia kujua Zitto ni msaliti mkubwa tena mhaini anayekwamisha harakati za ukombozi wa nchi hii.

Tunamshukuru Jason Bourne kwa taarifa za kiintelijensia japo chama imeikana kisiasa lakini ukweli unabaki pale pale kuwa Zitto alikuwa anatumiwa fedha na ccm ujerumani

chadema ni zaidi ya jina la mtu.

God Bless Lema
God Bless CDM
God Bless Tanganyika
God Bless Tanzania
 
Bravo G.Lema, Mungu akubariki kwa kupigania haki za watanzania
 
CCM walitambua kitambo..Ndio maana wakatengeneza picha kumchafua Lema..Ili kumziba mdomo..

Lakini CDM ni zaidi ya wanavyo ijua ...
 
CCM walitambua kitambo..Ndio maana wakatengeneza picha kumchafua Lema..Ili kumziba mdomo..

Lakini CDM ni zaidi ya wanavyo ijua ...

Lema anachafuliwa au anajichafua, Kuonyesha Picha zake chafu kwenye mkutano wa hadhara si kujichafua mwenyewe?
 
Pongezi za kupiga wenzake kwa matofali? Kweli vijana wa mtei sasa akili zenu zimechoka kufikiri.

Acha ulimbukeni, ,,, ukweli unauma ila unaingia vizuri ndo shida ya kuwa vibaraka na misukule wa vigogo pale lumumba, penyu ukweli ni lzm tusema ukweli hutaki kunywa maji ukalale uctake kuchafua hali ya hewa
 
Tatizo lenu nyie wapambe wa Lema mnadhani Tanzania yote kama Stendi ya vifodi au Sakina.
 
Tunashukuru Lema alitufungua masikio, tulikuwa hatujui kama Zitto ni mwongo kuwa eti hapokei posho huku anapokea mamilioni za kifisadi kutoka ccm, tunashukuru kuwa Lema ametusaidia kujua Zitto ni msaliti mkubwa tena mhaini anayekwamisha harakati za ukombozi wa nchi hii.

Tunamshukuru Jason Bourne kwa taarifa za kiintelijensia japo chama imeikana kisiasa lakini ukweli unabaki pale pale kuwa Zitto alikuwa anatumiwa fedha na ccm ujerumani

chadema ni zaidi ya jina la mtu.

God Bless Lema
God Bless CDM
God Bless Tanganyika
God Bless Tanzania

Lema anategemea Fadhila za Mbowe kubakia CHADEMA, hakuna Mbunge wa CHADEMA mwenye masoo mengi kama Lema, Kaiba Fedha za harambee ya M4C mwenyekiti kamezea, Kala fedha za wajane zilizochangwa na wanachadema Pale NMC, mwenyekiti kala kobisi, Kala fedha zilizotumwa kwa MPESA kwenye simu yake, kwenye harambee Pale NAURA SPRINGSHOTEL - ARUSHA, mwenyekiti kapiga kimya! Kama hiyo haitoshi, Kauza Trekta liliotolewa msaada na waingereza kwa ajili ya MFUKO WA MAENDELEO ARUSHA, mwenyekiti wa CHADEMA hata hili hajaliona.
 
kweli mmeamua, lkn si vzr kumnyang'anya mtu laptop yake na kuisoma kujua siri ilioko ndani yake.
 
Tunashukuru Lema alitufungua masikio, tulikuwa hatujui kama Zitto ni mwongo kuwa eti hapokei posho huku anapokea mamilioni za kifisadi kutoka ccm, tunashukuru kuwa Lema ametusaidia kujua Zitto ni msaliti mkubwa tena mhaini anayekwamisha harakati za ukombozi wa nchi hii.

Tunamshukuru Jason Bourne kwa taarifa za kiintelijensia japo chama imeikana kisiasa lakini ukweli unabaki pale pale kuwa Zitto alikuwa anatumiwa fedha na ccm ujerumani

chadema ni zaidi ya jina la mtu.

God Bless Lema
God Bless CDM
God Bless Tanganyika
God Bless Tanzania

Nilitaka kushangaa atajwe Lema usitie team ningeshangaa sana ngoja nipite haraka nisinyang'anywe simu yangu huku Unga Ltd kamanda mida mibaya hii!
 
Back
Top Bottom