Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

alianza chacha wangwe, akaja zitto

juzi limempata SUMAYE


Ha ha ha

ZITTO is smarter than CDM all

ona wanavyoyumba
 
CDM kila anachofanya mbowe anapatia!!! kumbe kwa maslahi yake TU

Na wale wenye mahaba ya kuvua nguo watamsifia tu MBOWE na kula maneno yao

CDM iandike waraka wa kumuomba msamaha rais kwa matusi yote yale
 
Asante JF humu ndimo walimobashiri hatma ya ZITTO, DR. SLAA na Lissu
 
Lengo la Zitto na Wangwe lilikuwa zuri, lakini hawakufuata protokali.
 
Yaliandikwa na yanatimia Lissu aliwasagia wenzie kunguni sasahivi ni zamu yake kunyongwa
 
Aisee kama hivi ZZK hawawezi kumng'oa CDM sema kuna uchocheaji kutoa southern block si vibaya kuzungumzia katiba ya chama katika suala la uchaguzi wa viongozi,na sio vibaya kugombea nafasi kwa mbinu anazozijua yeye ndani ya chama so long as tena ALIAHIDIWA kwa staili hii DJ MBOWE ndo tatizo ndani ya chama na amini usiamini CDM itakufa kwa staili hii ya kung'ang'ania madaraka na HATUTAWEZA kuing'oa ccm kama tunapita kwenye mkondo wa dhambi zilezile za magamba
I conclude hakua na nia mbaya achilia mbali shutuma za kukihujumu chama
Na kama rohoni kwake ni CDM damu ipo siku tutakubali kua ukweli unapanda ngazi na ukweli unapanda lift
Ni maamuzi mabaya ya chadema ambayo wamewahi kuyafanya na ni mpango wa kukiua chama
A comment that is still relevant today
 
Back
Top Bottom