Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

CHADEMA inaingia madarakani, wale born oppositions lazima watoke nduki...

Hongera kamanda wa anga, tunakukubali saaana....!!
 
Ngoja tuwasaidie kuchambua.Kazi ya MM, MM1, MM2, MM3, MM4 na MM5 ilikuwa moja tu kuibomoa CHADEMA kwa maslahi yao ya kifedha..Kumjua M2 ni nani angalia je amechangia kiasi gani kuibomoa CHADEMA kwa asilimia ngapi ndogo au kubwa?.

M2 ni MBOWE ambaye kaibomoa hoja ya CHADEMA ya kupambana na Ufiosadi kwa kumkaribisha Fisadi kuwa mgombea uraisi na kusababisha CHADEMA kuvunjika kipindi cha kuelekea uchaguzi .Huyo ndie M2 mwenyewe .Yuko tayari CHADEMA ife kwa kupokea rushwa.Slaa hakuwa tayari CHADEMA ife.Muuaji wa CHADEMA ni M2 ambaye ni Mbowe.

Pathetic,kwahyo mbowe alikua anataka kujipindua mwenyewe?alikua haridhiki na uongozi wake?
 
Mwaka 2013 kuliibuka waraka wa Mabadiliko ndani ya Chadema uliopelekea Naibu Katibu Mkuu Zitto Kabwe na wenzake kufukuzwa Chadema.

Waraka huo ulikuwa na waasisi waliojulikana kwa vifupisho vya MM, MM1, MM2, MM3, MM4 na MM5.

Nakumbuka mlituambia mnawafahamu wote mkatutajia wahusika wote isipokuwa MM2, mkasema mkimtaja chama kitapasuka kwa vile alikuwa ni kiongozi mkubwa makao makuu.

Kuna tetesi zimeanza kusikika kuwa MM2 alikuwa ni Dr. Slaa.

Tunaomba sasa na nafikiri ni muda mwafaka kututajia MM2 ni nani kama bado yuko makao makuu ya chama au ameshatoka.

Natanguliza shukrani.

Cc. Makene.

Mbona iko wazi.baba josephine ndio MM2.
 
Kama mkakati huu ulishindwa kuisambaratisha Chadema chakubanga na mkakati wake mbuzi ataiweza Chadema.
 
Hii nyuzi INA maana gani wakati huu
"Those who cannot remember the past are condemned to repeat" :-George Santayana
"Wale ambao wanasahau yaliyopita kuna hatari kubwa ya kuyarejea yale yale":-George Santayana

Mkuu huoni kwamba kwenye mitandao kuna mikakati na proaganda za kumchafua Mbowe asipewe Uenyekiti wa Chadema
 
"Those who cannot remember the past are condemned to repeat" :-George Santayana
"Wale ambao wanasahau yaliyopita kuna hatari kubwa ya kuyarejea yale yale":-George Santayana

Mkuu huoni kwamba kwenye mitandao kuna mikakati na proaganda za kumchafua Mbowe asipewe Uenyekiti wa Chadema
Asipewe au asiendelee kuwa Mwenyekiti.
 
"Those who cannot remember the past are condemned to repeat" :-George Santayana
"Wale ambao wanasahau yaliyopita kuna hatari kubwa ya kuyarejea yale yale":-George Santayana

Mkuu huoni kwamba kwenye mitandao kuna mikakati na proaganda za kumchafua Mbowe asipewe Uenyekiti wa Chadema
Ina maana CHADEMA hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hicho chama isipokuwa Mbowe tu? Ifikie wakati hiyo demokrasia wanayoihubiri, waiishi!
 
Ina maana CHADEMA hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hicho chama isipokuwa Mbowe tu? Ifikie wakati hiyo demokrasia wanayoihubiri, waiishi!
Demokrasia ni wengi wape kwanini husemi ifike wakati CCM nayo ipishe chama kingine.
 
Back
Top Bottom