mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,544
Kinachoshangaza ni nyinyi kujipa mamlaka pekee ya kuita wenzenu wanaoenda tofauti na nyie wasaliti......huku mkijipa upofu kwa yale mabaya yafanywayo na mnawaopenda kuwa ni mazuri na ni haki wao kufanya hivyo......Hakuna mtu mbaya aliyeharibu upinzani kama Mbowe.....time will tell