Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

CHADEMA Kimejipambanua kwa vitendo kama Chama cha Watu na kinachojali Watanzania. Kwa muongo mmoja tumeshuhudia kuzaliwa na kukuwa kwa demokrasia ya vyama vingi ikiwa ni pamoja na CHADEMA. Muuendelezo huu umekuja na mapinduzi katika siasa za Tanzania na Mategemeo ya wanasiasa wetu. Waasisi wetu walikuwa watumishi wetu (servants of the people) na maslai yao yote yalikuwa kutumikia umma.. Sasa tunaona viongozi ambao wamekuwa mabwana (masters) wakiweka mbele vipaumbele vyao binafsi. Tumeshuhudia tuhuma za ufisadi na usaliti ndani ya vyama vyenye mamilioni ya wafuasi. Hawa ni wafuasi ambao wamejenga na wameweka matumaini yao katika vyama (vikundi hivi) na hawa ndiyo wenye Vyama vyao. Tumeshuhudia msemo wa vyama vya msimu labda kwa sababu msimu wa kulima watu hutafuta umaarufu halafu huvuna kwa kuuza mwisho wa msimu na huu ndio mwisho wa vyama vingi (vioongozi kuuza) Kabla ya uchaguzi wa mwaka 2010 tulishuhudia Mh. ZZK akiwaambia wananchi wa Kigoma Kaskazini kuwa atagombea ubunge Kwa tikiti nyingine yoyote na alisikika akizungumzia majimbo kadhaa likiwepo moja la mkoa wa Mwanza. Amesahau kuwa Waha ndio waliombeba hadi akaonekana na sasa amekuwa Dume la shoka linaloweza kugombea jimbo lolote. Huu ni udhaifu mkubwa na usaliti kwa wananchi wa Kigoma Kaskazini. ZZK na Dr Mkumbo mmekuwa mfano wa vijana na wasomi ambao mmepata umaarufu wa kuonyesha nafasi ya kada hizi katika siasa. Umaarufu wote mliopata ni kwa kuwa katika nafasi hizi na jamii kuwapa heshima hiyo. Tunayoyasikia kutoka CHADEMA ni mwendelezo ule ule wa wa 2010 prematurity (kukosa ukomavu). Kwa umaarufu huu kibindoni tupo tayari kwa uenyekiti wa chama hata Uraisi Wa Tanzania, Je mko tayari pia kusema ZZK akikosa anachotaka basi tukose wote? Mko tayari kuvunja matumaini ya Watanzania kwa ajili ya personal intrest? personal intrest ni pamoja na ego siyo pesa. No mata how popular we may become or how powerful we may become, in this game we are not masters but servant of the people! Ask yourself first, what is it that you seek peoples glory or your own?
 
Ndg Nimeisoma Post yako na Kugundua Unao ujuzi wa mambo; Ni kweli ZZK na Dr Kitila kwa mjibu wa Waraka wao wa siri wao uamini kuwa Ukiwa Msomi na mwenye Ujuzi ktk Chama ndo unabidi upewe usukani kwa kuongoza jahazi.Hii si kweli Wajuzi wa mambo na Wasomi ni vema wakae pembeni mwa (Kiongozi yeyote) mwenye maono ili wapate Kumshauri mambo ya Kisera na Kimkakati . CHADEMA imepata Mafanikio makubwa na Mpaka sasa hivi ndicho Chama Kinachoifanya CCM wasilale. Hii yote ni team work, where by team goals are the first priority rather than personal interest.Because in a team synegetic effects is vividly.
 
Katika Waraka uliosababisha mkawa fired, ambao Kitila amekiri kwamba anaufahamu na alishiriki kuutengeneza, kuna ombi lilitolewa mle ndani muwaweshe wenzenu wawili katika swala zima la mshiko, kwa kuanzia wakatoa ombi la kupata japo M Mbilimbili japo waweze kuacha kitu nyumbani.

Na pia ikajitokeza issue ya kuhakikisha wanasaidiwa kupata ajira sehemu sehemu,

Kwa sababu katika waraka husika, mmejiinua na kujitanua kwamba nyie ni watu wa kusimamia strategy mpaka zifanikiwe kwa ufasaha tofauti na uongozi wa sasa wa CHADEMA ambao unaruka ruka kutoka stragegy moja kwenda nyingine kwa sababu ya upungufu wa elimu.

Swali langu ni moja tu.

Mmekwisha wawezesha jamaa...???
 
THIS IS THE BIGGEST OPPORTUNITY FOR CHADEMA

nawashangaa watu wote wanaomsupport zitto. hoja zote zinazojengwa na hao watu ni kwa ku-ignore the fact that mipango yao ya siri ilikua na backup ya CCM. sasa unategemea nini kwa zitto kushika madara ya juu CHADEMA chini ya usaidizi wa CCM. ni mtu mwenye akili fupi tuu ndio hataelewa hili.

1. Idea for suporting zitto was introduced and promoted my CCM. and then zitto knew it and he accepted the deal
2. Strategic plans and set up was done by Kitila Mkumbo and Mwigamba.
3. FINANCIAL BACKUP, INTELLIGENCE SERVICES, AND PLANNED STRATEGIES WERE EXECUTED BY CCM AND SOME OF TISS MEMBERS

hawa wote wanaojitetea... wanajitetea kwa kutokana na hiyo point no 1 and 2. lakini kwa ujanja wao na upotishaji wao wa maukusudi wanafunika hiyo fact no 3


ACTION PLAN A = Kumvua madaraka = pre-emptive strike.
1. hao akina zitto na team yake wanachofanya sasa ni kuhakikisha chadema haiwavui uanachama. kuto mvua zito uanachama itakukua ni ushindi kwa zitto.. na ataendelea na mipango yake miovu ya kukiharibu chama....kwa maana atakua ndani ya chama bado...
2. kuto mvua uanachama zitto kutafanya aanze kukusanya wafuasi ndani ya majukwaa ya chadema waziwazi na hatimae kuharibu chama kabisa.
3. akiachwa atajifanya mwaminifu sana na mwenye nia njema... (hii ataifanya pia kwa ajiri ya kudaka wafuasi wake wengi zaidi)

ACTION PLAN B = kumvua uanachama = must be the target action to take
. Lazima mtu huyo asiwe mwanachama wa CHADEMA tena… atahaha kwa muda lakini hatakua na effect.. safi sana CC kwa kumpa 14 days-days ambozo watu wengi tayari tumeshajiridhisha kua huyu jamaa sii mwema kabisa.

FAIDA ZA ACTION B
1. CHADEMA itajidhihirisha kua kweli wako serious na kwa maana hiyo wataingia madarakani kwa kishindo kikuu.. na kwa ouga wa hali ya juu... watu wataacha ufisadi na ujinga wote (irresponsibility) ndani ya serikali.
2. viongozi na wanachama wote wa CDM watakua moyo mmoja with one passion, one vision and one mission kuhakikisha kua chama kinashinda uchaguzi.
mamluki hawatakua na nafasi tena... na kila mamluki ataweza kumulikwa kirahisi sana.
3. hakutakua na lelemama tena.. kila iliye chadema atakua very serious na majukumu ya kichama na kitaifa.
4. CHADEMA wataingia madarakani wakiwa ni wamoja… ready for drastic development of this nation.
Huyo jamaa ana roho wa kiburi, roho wa kujigamba, roho wa misifa, roho wa ubinafsi(u-mimi), roho ya dharua.
NCHI HII MUNGU HATARUSU KUSHIKWA NA WASHIRIKINA, WANAMITANDAO, WACHEZA RAFU NA WOTE WANAOAMINI KATIKA UCHAWI. WALE WOTE WANAOABUDU SHETANI KWA KUPITIA WAGANGA WA KIENYEJI. NCHI HAITASHIKWA TENA NA WATU WA MAZINGAOMBWE…
 
Katika Waraka uliosababisha mkawa fired, ambao Kitika amekiri kwamba anaufahamu na alishiriki kuutengeneza, kuna ombi lilitolewa mle ndani muwaweshe wenzenu wawili katika swala zima la mshiko, kwa kuanzia wakatoa ombi la kupata japo M Mbilimbili japo waweze kuacha kitu nyumbani.

Na pia ikajitokeza issue ya kuhakikisha wanasaidiwa kupaja ajira sehemu sehemu,

Kwa sababu katika waraka husika, mmejiinua na kujitanua kwamba nyie ni watu wa kusimamia strategy mpaka zifanikiwe kwa ufasaha tofauti na uongozi wa sasa wa CHADEMA ambao unaruka ruka kutoka stragegy moja kwenda nyingine kwa sababu ya upungufu wa elimu.

Swali langu ni moja tu.

Mmekwisha wawezesha jamaa...???

acha kutumika_siku ukijua ukweli utaumia sana
 
Katika Waraka uliosababisha mkawa fired, ambao Kitika amekiri kwamba anaufahamu na alishiriki kuutengeneza, kuna ombi lilitolewa mle ndani muwaweshe wenzenu wawili katika swala zima la mshiko, kwa kuanzia wakatoa ombi la kupata japo M Mbilimbili japo waweze kuacha kitu nyumbani.

Na pia ikajitokeza issue ya kuhakikisha wanasaidiwa kupaja ajira sehemu sehemu,

Kwa sababu katika waraka husika, mmejiinua na kujitanua kwamba nyie ni watu wa kusimamia strategy mpaka zifanikiwe kwa ufasaha tofauti na uongozi wa sasa wa CHADEMA ambao unaruka ruka kutoka stragegy moja kwenda nyingine kwa sababu ya upungufu wa elimu.

Swali langu ni moja tu.

Mmekwisha wawezesha jamaa...???

Hahahahahaha! M2 na M3 kiboko! eti wapewe 2 milioni waanzishe kimradi! hivi Toyo zinauzwa bei gani? Siasa bana :smile-big:
 
Kiukweli ni vizuri waseme kama walishawapa jamaa mshiko wao maana issue imebuma sasa sijui kuna refund au ndio ntolee!!!
 
kwa taarifa yenu zitto anamwogopa kama simba!!!inasemekana alivyonyanganywa ubunge zitto ni mmoja kati wanacdm ambao hawakuhuzunika!!!!lema ni kiona mbali na mzalendo wa kweli.alikataa kununuliwa na mafisadi mjue.

Aliuza ubunge kwa milioni 30. huo ni uzalendo pia?
 
Hahahahahaha! M2 na M3 kiboko! eti wapewe 2 milioni waanzishe kimradi! hivi Toyo zinauzwa bei gani? Siasa bana :smile-big:

Mtazamo
Usicheke, kaupitie waraka ule vizuri, namna hii issue ilivyowekwa, ni wazi jamaa hali sio nzuri, ukizingatia SWOT aliioverlook threat ya mpango mzima kufail au kuback fire kama ilivyotokea, sasa isijekawa kitila aliichomoa likelihood hiyo makusudi ili kama donor (Zitto) akitoa mshiko in dead hours awatie jamaa ndani.
 
Kiukweli ni vizuri waseme kama walishawapa jamaa mshiko wao maana issue imebuma sasa sijui kuna refund au ndio ntolee!!!

Alafu
Hii issue inaendelea kumvua Zitto nguo juu ya Aadilifu wake? Its obvious angetumia uchair wake PAC kuwablackmail wakuregenzi wa Mashirika yetu ya UMA kuwapatia jamaa kazi? au la sijui angefanyaje?

Kwani Zitto anamiliki Kampuni yoyote?
 
Back
Top Bottom