Waraka ule umetaja mapungufu ya viongozi na uongozi wa CHADEMA, DR Kitila alikuwa anaingia kwenye vikao vya juu kabisa vya CHADEMA hakuna records zinazoonyesha kwamba aliwahi kutaja mapungufu hayo katika vikao husika, sio muwazi au ni Muoga au hajiamini. Hii inamaanisha kwamba ama alishindwa kutumia fursa ya chama chake kujitambulisha kama cha kidemocrasia kuchukua hatua za kidemocrasia katika kuweka wazi mapungufu hayo (Sio Muwazi)
Au, la alikosa ujasiri wa kutoa hoja hizo (Muoga), au la CHADEMA sio chama cha kidemocrasia kama kinavyodai, hivyo KITILA angepaswa kujitoa siku nyingi sababu yeye anajiita ni Muumini wa Democrasia, kung'ang'ania kwenye chama ambacho unasema sio cha kidemocrasia wakati wewe ni muumini wa democrasia nayo inamaana zake mbaya, ama haelewi democrasia ni nini au ana maslahi binafsi, analipwa kuwa apo ili kukivuruga chama.
SIRI, Kapitie waraka uone walivyokuwa wanapanga kutanua pyramid ya usaliti wao mikoani, yaani waende mikoani na hoja zilizo kwenye waraka, za malalamiko mwanzo mwisho, nia ilikuwa ni kuvunja morali ya wanachama mikoni na au la kuvunja chama.
Elimu yake, ni questionable.likely ni mkaririji fulani hivi.