Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Na wewe nimeliona tatizo lako, hauelewi maana ya elimu.
Ukiisha elimika unategemewa kusimamia kwa namna zote, maarifa uliyoyapata kutokana na elimu yako, inakuwa ni kama imani.

Ni kama moja jumlisha moja ni sawa ni mbili, ni imani, mtu akikuambia ni tatu hauwezi kukubari.

Uwazi, na kutokuwa na hofu ya kutoa maoni ni vigezo vya msingi kabisa vya democrasia, Kitila hana.hajaelimika, ameenda shule tu.

Kwa maelezo yako, ni mambo gani hayo (1., 2., 3. etc) aliyotakiwa Dr. Kitila kusimamia ili aweze kutambuliwa kuwa ni msomi wa Ph.D kwenye hiyo dunia yako isiyojua kuwa Ph.D ni usomi? Je, unataka kutuambia kuwa Mbowe kaelimika kuliko Dr. Kitila?
 
Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.

Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...

wakati mwingine jiongeze kidogo, hata kama umejitoa ufahamu kwa kuandika upuuzi jisikie aibu, dk.slaa ulitaka aongee nn, na akiongea uje nahoja ya yy kijipalia madaraka yote,,
 
Kwa maelezo yako, ni mambo gani hayo (1., 2., 3. etc) aliyotakiwa Dr. Kitila kusimamia ili aweze kutambuliwa kuwa ni msomi wa Ph.D kwenye hiyo dunia yako isiyojua kuwa Ph.D ni usomi? Je, unataka kutuambia kuwa Mbowe kaelimika kuliko Dr. Kitila?

Inawezekana kabisa Mbowe akawa ameelimika kuliko Kitila, wala usijiandae kushangaa hilo.
PHD? Haujui hata Jakaya anayo, tena nyingi.
 
Inawezekana kabisa Mbowe akawa ameelimika kuliko Kitila, wala usijiandae kushangaa hilo.
PHD? Haujui hata Jakaya anayo, tena nyingi.

Kama unaona Mbowe na Div 0 ameelimika kuliko Dr. Kitila mwenye Ph.D, basi hufai kujadiliana na baadhi yetu wana JF maana lazima una upungufu fulani. Sidhani kama una elimu ya kumzidi Mbowe. Kwa taarifa yako ni kuwa Kikwete ana honorable Ph.Ds, hizo hazina thamani ni za urafiki tu na mtu haajiriwi nazo. Nenda ukajielimishe labda itakusaidia kuacha kumshabikia Mbowe hata anapoboronga. Nakutakia elimu njema maana kama hatuko kwenye kiwango kinacho-shabihiana ni vigumu kujadiliana na wewe mada yeyote kwa busara.
 
Kama unaona Mbowe na Div 0 ameelimika kuliko Dr. Kitila mwenye Ph.D, basi hufai kujadiliana na baadhi yetu wana JF maana lazima una upungufu fulani. Sidhani kama una elimu ya kumzidi Mbowe. Kwa taarifa yako ni kuwa Kikwete ana honorable Ph.Ds, hizo hazina thamani ni za urafiki tu na mtu haajiriwi nazo. Nenda ukajielimishe labda itakusaidia kuacha kumshabikia Mbowe hata anapoboronga. Nakutakia elimu njema maana kama hatuko kwenye kiwango kinacho-shabihiana ni vigumu kujadiliana na wewe mada yeyote kwa busara.

Nyie Ndio Mnaitwa John Kisomo.
Kama unataka kujadiliana na watu wajivuni, waliojawa dharau na kuvimba vichwa kutokana na kupita shule, endelea kuwatafuta, najua wamo wengi tu, na wengine ndio kama huyo Kitila.

Aiyumukini ungejua theorists waliodadavua na kusimika mambo ambayo leo mnalazimika kujifunza kwa muda mrefu na hata kupeana medani na medani ni watu ambao binafsi hawakutumia michakato hiyo, na wengine hawakuwahi kukalishwa chini na kufundishwa usingekuwa na tambo za namna hii.

Huyo mbowe unayemuita ana division zero, aina ya maisha ambayo ama anaishi au anaweza kuamua kuishi kutoka na uwezo wa fedha alio nao sikutegemea mtu kama wewe anaweza kuja hapa na ku rant eti mbowe anadivision zero, hasa ukizingatia msimamo wako juu ya elimu ni mdogo sana, hivyo nilazima uko money oriented, utazitafuta pesa kwa elimu yako, lakini kama huu ndio msimamo wako hautozipata.

Na ukikimbilia kusema alimerithishwa baba yake, ukumbuke pia kujiuliza baba yako, na baba yake Kitila walikuwa wapi nao kuaccumulate na kuwachia nyie watoto zao, au la, kwa akili kama zako, hata kama baba yako angekuachia mara kumi ya mali alizoachiwa Mbowe, wewe, tena wote wewe na Kitila Mngezitapanya ka Pumba, kufikia umri wa mbowe mngekuwa tayari ni wagongea pombe na sigara, huku mabinti zetu wakifanya kazi za kujidhalilisha kwa ajiri ya kuwalisha.

Ni wazi, kama ni kweli na wewe ulipita shule, basi wewe na kitila, ni watu msio na utu, oooh, lo!!, tena mnajijua vizuri, ndio maana kitila na kupita kwake shule, anajua hawezi kuvaa viatu vya Mbowe ndio maana anamtanguliza Zitto, likely alikuwa anategemea cheo cha kuteuliwa.

Nenda Kamuambie Kitila, alichokifanya hakina tofauti na kukutana na Mwanamke mrembo, mwanamme rijali badala ya kutongoza, unaanza ohooo, rafiki yangu anakupenda sana.

Kitila amejidharirisha sana.
 
Nyie Ndio Mnaitwa John Kisomo.
Kama unataka kujadiliana na watu wajivuni, waliojawa dharau na kuvimba vichwa kutokana na kupita shule, endelea kuwatafuta, najua wamo wengi tu, na wengine ndio kama huyo Kitila.

Aiyumukini ungejua theorists waliodadavua na kusimika mambo ambayo leo mnalazimika kujifunza kwa muda mrefu na hata kupeana medani na medani ni watu ambao binafsi hawakutumia michakato hiyo, na wengine hawakuwahi kukalishwa chini na kufundishwa usingekuwa na tambo za namna hii.

Huyo mbowe unayemuita ana division zero, aina ya maisha ambayo ama anaishi au anaweza kuamua kuishi kutoka na uwezo wa fedha alio nao sikutegemea mtu kama wewe anaweza kuja hapa na ku rant eti mbowe anadivision zero, hasa ukizingatia msimamo wako juu ya elimu ni mdogo sana, hivyo nilazima uko money oriented, utazitafuta pesa kwa elimu yako, lakini kama huu ndio msimamo wako hautozipata.

Na ukikimbilia kusema alimerithishwa baba yake, ukumbuke pia kujiuliza baba yako, na baba yake Kitila walikuwa wapi nao kuaccumulate na kuwachia nyie watoto zao, au la, kwa akili kama zako, hata kama baba yako angekuachia mara kumi ya mali alizoachiwa Mbowe, wewe, tena wote wewe na Kitila Mngezitapanya ka Pumba, kufikia umri wa mbowe mngekuwa tayari ni wagongea pombe na sigara, huku mabinti zetu wakifanya kazi za kujidhalilisha kwa ajiri ya kuwalisha.

Ni wazi, kama ni kweli na wewe ulipita shule, basi wewe na kitila, ni watu msio na utu, oooh, lo!!, tena mnajijua vizuri, ndio maana kitila na kupita kwake shule, anajua hawezi kuvaa viatu vya Mbowe ndio maana anamtanguliza Zitto, likely alikuwa anategemea cheo cha kuteuliwa.

Nenda Kamuambie Kitila, alichokifanya hakina tofauti na kukutana na Mwanamke mrembo, mwanamme rijali badala ya kutongoza, unaanza ohooo, rafiki yangu anakupenda sana.

Kitila amejidharirisha sana.

Naona una-chuki na walioenda shule. Huo ni ugonjwa ambao siwezi kukusaidia matibabu kwani 'Wajinga ndio waliwao'.

Ukiwa na shule, unaona mbali zaidi. Ndio maana leo hii Mo Dewji kapewa na baba yake milioni sasa ni billionaire, Mbowe kapewa mamilioni + mamilioni ya BOT & NBC, alichoweza kuzalisha ni Bilcanas tu. Nenda shule Sangara, hujachelewa.

CHADEMA inahitaji viongozi wasomi na sio huyu wa Div 0.
 
Naona una-chuki na walioenda shule. Huo ni ugonjwa ambao siwezi kukusaidia matibabu kwani 'Wajinga ndio waliwao'.

Ukiwa na shule, unaona mbali zaidi. Ndio maana leo hii Mo Dewji kapewa na baba yake milioni sasa ni billionaire, Mbowe kapewa mamilioni + mamilioni ya BOT & NBC, alichoweza kuzalisha ni Bilcanas tu. Nenda shule Sangara, hujachelewa.

CHADEMA inahitaji viongozi wasomi na sio huyu wa Div 0.

CHADEMA sio Academic institution, kama mnataka kuiongoza CHADEMA nendeni na approach za kisiasa zenye lengo la kuiondoa CCM madarakani ambazo zinahusisha msimamo mkali na usiotetereka na usiovumilia mahusiano yoyote ya hila na viongozi wa CCM.

Na muwe na sura na History ambayo mtu yeyote akiingalia atakubari kwamba nyie ni watu mnaopinga rushwa, hasa pale inapowasogelea.

Ama sivyo utabidi uelezee vizuri CHADEMA inahitaji wasomi waliosomea nini??
 
Unajua hawa akina Zitto et al., wamewazidi mbinu Chadema. Wao waliposhtukia kwamba waraka wao umekamatwa, waka edit haraka na kuupost jamiiforums kwa kutumia ID ya Rene , ambaye bahati mbaya sana angetumia account nyingine; kwani account hiyo ya Rene inaonesha traces za Pro Zitto. Pro Zitto asingeweza kuweka waraka wenye mabaya kwa Zitto bila kuwa edited. Walijua kwamba Chadema wana waraka original. Wakatumia vizuri muda wao na kutoa waraka feki, na watu wakampa Rene likes kibao kumbe anajua next move. Ona sasa Mwigamba kashaanza kudai kutoutambua waraka unaodaiwa ni original. Mnyika hapo mmechemka. Checkmate!!!
 
Last edited by a moderator:
Unajua hawa akina Zitto et al., wamewazidi mbinu Chadema. Wao waliposhtukia kwamba waraka wao umekamatwa, waka edit haraka na kuupost jamiiforums kwa kutumia ID ya Rene , ambaye bahati mbaya sana angetumia account nyingine; kwani account hiyo ya Rene inaonesha traces za Pro Zitto. Pro Zitto asingeweza kuweka waraka wenye mabaya kwa Zitto bila kuwa edited. Walijua kwamba Chadema wana waraka original. Wakatumia vizuri muda wao na kutoa waraka feki, na watu wakampa Rene likes kibao kumbe anajua next move. Ona sasa Mwigamba kashaanza kudai kutoutambua waraka unaodaiwa ni original. Mnyika hapo mmechemka. Checkmate!!!

Mimi nadhani ni kinyume chake, huu waraka waliugawa wenyewe wakina LISSU kwa waandishi wa habari ili kuthibitisha madai yao ya UHAINI. Tatizo waliousoma wameona HAUNA shida ila UNAONYESHA mapungufu kwa viongozi. Strategy ime-backfire...wakina Lissu wanataka kuleta waraka mwingine!
 
Mimi nadhani ni kinyume chake, huu waraka waliugawa wenyewe wakina LISSU kwa waandishi wa habari ili kuthibitisha madai yao ya UHAINI. Tatizo waliousoma wameona HAUNA shida ila UNAONYESHA mapungufu kwa viongozi. Strategy ime-backfire...wakina Lissu wanataka kuleta waraka mwingine!

Truth Matters sasa inakuwaje Rene mfuasi wa Zitto ndio awe wa kwanza ku post? Siasa hii...
 
Last edited by a moderator:
ulikuwa waraka mzuri unaotoa picha halisi ya mwenendo wa CDM hasa kwa sie ambao tulikuwa hatujui nyuma ya pazia kunanini,ila hawakuwa makini katika documentation!mwigamba amewaangusha lakin all in all wenye akili zao wanaweza kuchambua na kutambua nini cha kufanya.lakini kwenye ukweli uongo hujitenga no matter how long it will take but hawa mbowe na slaa watangoka tu na watalazimika kuwajibishwa,YUKO WAPI GADAFFI?SADAM HUSSEIN??all tha best MM we will always support you tunataka CDM ya watanzania sio ya watu wa kanda flan!!!SIAV WAMEWATOA KAFARA TUNDU NA JOHN Ndo kila siku wanaonekana kwenye media wenyewe wanajiona ndo wamefikaa!hahahaha RIP CDM
 
Mka zzk nilitegemea ila kwa mkumbo sikuwahi kufikiri hilo.
Nilimwamini mno tangu akiongoza midahalo ya kina Shivji pale udsm.
Hizo 2m wangezilipaje? Malipo yao yasingekuwa ni kuburuzwa na MM & M1?
 
poleni wanachadema kwa haya yanayotokea lakini tatizo siyo chama ila ni wachache wanaotaka madaraka.
 
Sioni tatizo kutofautiana mitazamo, ni busara kidogo tu zinahitajika kumaliza mgogoro huu.
 
Naona una-chuki na walioenda shule. Huo ni ugonjwa ambao siwezi kukusaidia matibabu kwani 'Wajinga ndio waliwao'.

Ukiwa na shule, unaona mbali zaidi. Ndio maana leo hii Mo Dewji kapewa na baba yake milioni sasa ni billionaire, Mbowe kapewa mamilioni + mamilioni ya BOT & NBC, alichoweza kuzalisha ni Bilcanas tu. Nenda shule Sangara, hujachelewa.

CHADEMA inahitaji viongozi wasomi na sio huyu wa Div 0.
Jitahidi usijizidishie matatizo ambayo tayari unayo! degree.jpg
 
Unalosema ina ukweli ndani yake, kwani licha ya kuendelea kufanya kazi pamoja na kwamba yuko CHADEMA ni bora ujiulize maswali yafuatayo kuhusu Dr. Kitila Mkumbo.

1. Ni kwanini ameendelea kufanya kazi UDSM ambayo VC (Prof. Mukandala) wake ni mtu muhimu sana katika serikali ya CCM, kwani Prof., ni mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2. Ni kwanini Dr. Mkumbo ameendelea kupewa vyeo UDSM, kwani baada ya kuwa Head wa Department of Psychology pale UDSM, sasa ni Dean School of Psychology DUCE?

Kumbuka kwamba hivi vyeo vyote ni vya kuteuliwa na VC pamoja na DVCs. Naelewa kuna watu watakuja kusema kwamba katika nafasi hizo alizoshikilia kuna Search Team inayopendekeza majina na teuzi husika. Ni kweli ki utaratibu ilitakiwa kuwa hivyo, lkn practically siyo. Nasema hivi kwasababu ya yanayoendelea pale UDSM. Kwa ufupi ni kwamba bila VC wa UDSM kukubali, wewe hutopata cheo kama hicho.Tuna mifano hai kwa yanayoendelea pale UDSM katika baadhi ya Shule ambapo uzoefu (hali halisi) inaonyesha kwamba BILA KUWA MTU WA VC, then sahau kabisa hizo posts kubwa za teuzi pale UDSM.

Pia naomba niwafahamishe wale watakaokuja na hoja ya seniority kwa Dr. Mkumbo. Ukweli ni kwamba posts kama za Dean pamoja na Heads wa Departments wanaangalia Senior Lectures. Lkn si kweli kwamba mara zote hili nalo linafanya kazi, kwani pale UDSM kwenye baadhi ya maidara kwenye shule mbalimbali zinaongozwa na Lecturers (siyo Siniors) pamoja na kwamba kwenye idara husika kuna senior lecturers wengi. Pia hata katika School of Education kuna Senior Lecturers wengi sana, hivyo siyo jambo jepesi kwa Dr. Mkumbo kupewa hizo nafasi bila kuwa na YES na Bwana mkubwa. Naomba nissisitize kwamba ili VC akupe nafasi za teuzi ni LAZIMA UWE MTU WAKE, sas swali hapa ni Je, Dr. Mkumbo ambaye amekuwa Senior Lecturer mwaka juzi naye ni mtu wa system?

3. Jambo lingine ambalo mimi toka awali ilinifanya niwe na mashaka na Dr. Kitila ni jinsi alivyomtetea Juliana Shonza kipindi kile anavuruga BAVICHA kwa kuita press conference na kuanza mashambulizi dhidi ya mwenyekiti wake ndugu Heche. Kama mtakumbuka vizuri ni kwamba huyu Dr. Mkumbo aliandika hapa JF na kwenye gazeti moja (nafikiri ni Raia Mwema kama kumbukumbu zangu zipo sahihi) akimtetea Juliana Shonza kwamba bado ni mtoto hivyo aachwe. Jambo hili lilinifanya niamini kwamba Dr. Mkumbo yuko CHADEMA kwa lengo maalumu na si vinginevyo.
Ahsanteni.

Thank you a lot GT!
 
CHADEMA sio Academic institution, kama mnataka kuiongoza CHADEMA nendeni na approach za kisiasa zenye lengo la kuiondoa CCM madarakani ambazo zinahusisha msimamo mkali na usiotetereka na usiovumilia mahusiano yoyote ya hila na viongozi wa CCM.

Na muwe na sura na History ambayo mtu yeyote akiingalia atakubari kwamba nyie ni watu mnaopinga rushwa, hasa pale inapowasogelea.

Ama sivyo utabidi uelezee vizuri CHADEMA inahitaji wasomi waliosomea nini??

Suala sio shule tu, ingawa ni kigezo muhimu sana kwenye ulimwengu wa sasa. La muhimu zaidi ni kwa Mbowe kung'ang'ania madaraka kwa kipindi kirefu bila kutoa nafasi kwa viongozi wengine wenye mawazo tofauti kukiongoza CHADEMA. Amekifanya chama kama ni mali ya familia na wenye sauti ni yeye tu na Mtei, je hii ndio demokrasia?
 
Suala sio shule tu, ingawa ni kigezo muhimu sana kwenye ulimwengu wa sasa. La muhimu zaidi ni kwa Mbowe kung'ang'ania madaraka kwa kipindi kirefu bila kutoa nafasi kwa viongozi wengine wenye mawazo tofauti kukiongoza CHADEMA. Amekifanya chama kama ni mali ya familia na wenye sauti ni yeye tu na Mtei, je hii ndio demokrasia?

Mbowe amekuwa mwenyekiti kwa Miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom