Waraka wa Maaskofu unabagua mambo

Si unajua aliooishia lakini??
Ndio maana Marais wastaafu waislam wako hai wote hadi Leo. Ni wakweli, wasafi, wachaMungu, hawana makandokando zaidi ya kuwatafutia nafuu watanzania wenzao.
 
Wambieni wanaowatuma wawape na hoja nzitonzito
 
Makanisa na shule zile zilijengwa kwa rasilimali zetu walizopora, ilikuwa sawa kwa Nyerere kuzitaifisha. Wanadai wanadai msamaha wa kodi kwenye vifaa vya kanisa lakini wanatoza ada kubwa ya shule na matibabu kwenye shule na hospitali zao.
Ada kubwa ni kiasi gani?
 
Ndio maana Marais wastaafu waislam wako hai wote hadi Leo. Ni wakweli, wasafi, wachaMungu, hawana makandokando zaidi ya kuwatafutia nafuu watanzania wenzao.
Sio kweli ni vile hawanaga critical thinking
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…