Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe waweza kuwa yule mume wa Lucy Mayenga (mume wa NNE) ambaye anakutambua kama 'baby'Lina fahamika hilo
Cdm ni chama cha Wachaga
Ww nae ndo pumba sasa kama Jf ni ya CDM unatsfuts nini huku ???Mbona umechelewa kugundua ni kitambo sana chadema ni ya wachaga na mbowe ndo mmliki wa chadema...
pia jamiiforums ni ya xhadema
Kwani ukihama na kujiunga mafisiem, ni matakwa yako,chama kitakuwepo na maisha yanaendeleaHata mimi nimehamia CCM sasa nimechoshwa na Ukabila wa Chadema
Siasa za aina hii zilisha pitwa na wakati , ila naona bado upo zama za kale za mawe ''ULIMBOMBO NA ULINDI'' na umepoteza mda wako mwingi kuandika makala ndeeeefu yenye hoja zilizo pitwa na wakati kwa sasa.
Kushambiliana kivyama kwa sasa hakuna tija kwa siasa za sasa, mkuu nadhan ndio umeibuka leo kutoka shimo la wapi sijui ukadhan bado watanzania tuna siasa za aina hiyo, pole sana siasa za sasa ni kuhusu mipango ya maendeleo ya taifa letu chini ya Rais wetu Mh.John Pombe Joseph Magufuli na si vinginevyo.
Hivyo watakao ungana na wewe kwa hoja yako hii ya ukabila na ukanda nadhani wapimwe afya za akili zao kama wanaendana na usasa wa siasa za sasa tanzania
JITAFAKARI KWANZA USAWA WA AKILI YAKO.
Wachaga wa rombo au machame? Na pale mbeya kwa Sugu ni wachaga wanyakyusaMbona umechelewa kugundua ni kitambo sana chadema ni ya wachaga na mbowe ndo mmliki wa chadema...
pia jamiiforums ni ya xhadema
Mleta uzi yuko sahihi, hivyo ndivyo ilivyo.