Waraka wa Pili wa Pascal Mayalla.Maisha Binafsi.

Status
Not open for further replies.

 
ungemuuliza kwanza yeye yuko na mkewe hata kama yuko nae hajawai kuachana na mtu.? kwani wewe ndo wa kwanza kuachana?
 
Hili jukwaa hailikuhusu,hapa tunaongelea watu tu,elewa na sio mawe.
 
Ni David Matakka peke yake anayeweza kumsafisha Pascal Mayalla kwa kuwa tendo la ngono ni la watu wawili. Tumemsikia sana maelezo yake pamoja na sympathizers wake, lakini bado tungependa kusikia upande wa pili yaani Mataka. Kinyume cha hapo tutamuona anafanya rumbling and mumbling
 
Mkuu umeona mbali,napenda watanzania wanaotumia sekunde chache kufikiri tofauti na wale wanaokurupuka na ku judge kitu.Naona watu wanampa pole kwa "kusingiziwa" ukiwauliza wana uhakika gani kama Bwana pascal sio? We need sometimes scientific justfycation au ushahidi wa kimazingira ambao Mataka ni key figure.
 
Nimesoma na Paschal pale kitivo cha sheria UDSM,kamwe sikuwahi kusikia tabia ya namna hiyo kwake.
 
Pole sana ndugu yangu. Najua inauma sana ila wasamehe wote waliokukosea maana hawajui walitendao. Naye Baba yako aliye sirini atakubariki uingiapo na utokapo. Samehe. Achilia machungu yote. Kisasi ni cha Mungu pekee
 


Nyie mna una lenu jambo si bure.

Je nyie wenyewe mwenyewe Toka mpate ukili za kuchunguza, kudadisi na kutafuta ukweli kisayansi wa mambo mme mewai kufikiria a kwenda kupima DNA kujua kama unayemuita mama au hata baba ni wazazi wenu wa kweli.....
 
so unataka tuamini kwamba yeye ni shoga?
 
Pascal,ukwel upo waz,acha waseme 2 wakchoka watanyamaza.ucjal,mtegemee mungu na yeye atakupa nguvu dhidi ya uvumi na majungu hayo.jamani mnaopenda majungu,mjue kua MAJUNGU HAYANA SALARY SLIP JAMAMN.pole pole pole sn mayala
 
Wakati wanadamu wanakuwazia kushindwa Mungu anakuwazia Kushinda, wakati wanawaza kuanguka kwako Mungu anawaza kukuinua, wakati wanashangilia kuwa wamekumaliza Mungu analeta msaada maishani mwako! wakati wanapanga ni jinsi gani uaibike Mungu anaondoa aibu yako na kuweka juu yao!

Pole sana Kaka.
 
Paschal,
Hauko peke yako,hata hawa wanapakaziwa vilivyo(japo hawakanushi kama wewe) ila sijui kwa sababu gani wapakaziwe
  1. JAMES MBATIA
  2. MUDDY PIZZARO
  3. WAKILI NGALLO(WA IPP)
  4. BILALI WA KINONDONI
  5. DJ MANGAPII
  6. MAREHEMU KIIZA KAHAMA
  7. NA WENGINE WENGI TUU
Kaka kaza roho na maisha yako......puuza hii kitu...otherwise kuileta humu ni kuikuza zaidi
 
Sikuwahi kusikia kitu kama hii dah pole sana Bro....

But take it easy tu binadamu ndio tulivyo hata useme nini kuna watakaopingana na wewe tu.

Kwa hayo maelezo mimi binafsi nakubaliana na wewe kabisa kuwa sio shoga.

NB: CV imetulia hiyo si mchezo hongera sana mkuu
 
mhhh Bilali na Kiiza nao wanasingiziwa jamani....haya!!!!
 

angalia wanaokuzunguka au vitendo vyako, kashfa za ushoga haziibukagi hivi hivi!
 

Ni kazi sana, if not completely impossible "kuwaridhisha" intellectually challenged fools kama wewe. Umeshawahi kusikia misemo kama "Burden of proof is on the believer", "Innocent till proven guilty" etc, maana ni wazi weledi wako ni mdogo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…