Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

si rahisi wa watu wa kagera kubadilika.kwanza wanatakiwa kubadili mindset zao kibiashara.wengi wa wenyeji wa mkoa huu si waaminifu kibiashra.wao kila kitu ni ujanja ujanja.taasisi nyingi za fedha zilizopo kagera zinalalamika huwa wakiwezeshwa fedha za mikopo hawalipi na wengine huwa wanahama makazi kabisa pia bado wanatabia za kudhulumu wakipewa mchongo.wao kwa wao kwanza hawaaminiani hata kidogo.pia kwa asili wao si watu wa kujituma hawana traits za ujasiriamali wao kila kitu huenda shortcuts.hawapendi kuvuja jasho bali wanapenda biashara za magumashi hivyo kwao ni kazi kubwa kutoboa.kuna mambo mengi wanatakiwa wabadilike na nawashangaa wanapowalinganisha na wachaga wkt kuna mikoa kibao tu imewaacha mbali.kama mkoa ni wa 25 sasa unawalinganisha na mkoa gani kimaendeleo?mikoa inayofanya vzr ndo mikoa iliweza kutumia elimu zao ktk biashara na ujasiriamali.Prf analalamika anataka asaidiwe wakati yy ameshika nyadhifa nyingi lkn aliusahau mkoa wake.alikuwa busy kuhodhi ardhi ambayo nayo mpaka sasa wala haiendelezwi si angeitoa hiyo ardhi akawapa wazalishaji ili kipato cha mkoa kiongezeke?inabidi mkoa ujitathimini wenyewe unakoelekea sababu hata wageni wanashindwa kuwasaidia sababu ya unafiki na ubinafsi.
 
Umeandika as if wew ndo professor [emoji123]

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Sababu kama hizi ndizo zinazotusukuma wenyeji wa Ngara kutaka mkoa mpya wa Chato, huu wa sasa ni uendelezaji tu wa historia na ukoloni.

Mawazo mapya yanatusukuma kutaka mkoa mpya wa Chato, utakaokuwa mdogo na wenye kufikika kila mahali.
 
Anayepinga hoja za prof yuko kisiasa na ana upeo mdogo. Uchambuz wa mama tibaijuka ni wa kisayansi, huyu analeta porojo. Utafit hupingwa kwa utafiti! Cha muhim tujue tunatokaje tulipo.
 
Kumuongelea iddi amini miaka 45 iliyopita kuwa amewarudisha nyuma ni ujinga sana
Pale Kenya Kuna report inaitwa TJRC,truth justice and reconciliation commission,hiyo report imeeleza political and economic injustice and crime ambazo jamii zingine zilifanyiwa na serikali,madhara yake yapo mpaka leo,hiyo report serikali imeshindwa kuifanyia kazi,maana Kuna waliofsidika na dhuruma hizo.
Kusema imepita miaka 45 kwahiyo madhara ya vita ysmeisha kimiujiza?wakati miundo mbinu inaharibiwa kagera,mikoa mingine iliacha maendeleo mpaka vita iishe?
Pale Kenya Kuna makabila matatu yalifaidika na utawala,Kikuyu,kalenjin,Ruo,kamba,luhya,watu wa makabila haya waliofsidika na rasilimali za nchi,walipewa Elimu sana,tangu uhuru mwaka 1963,leo hii miaka 55+baadae uwekezaji uliofsnyika kwenye jamii hizi,umezipa ukwasi wa kutisha,na nguvu ya kiuchumi kubwa,wafanyabiashara wakubwa ni kutoka hizi jamii.
Wakati makabila mengine yamebaki fukara sana,muda sio ishu,bila juhudi za makusudi hata ipite miaka mingspi,kama mbegu ya madhara ilipandwa itsonekana tu
 
Magufuri alitaka kuifufua Kagera!lakini safari imekatika!,
Meli alizaka kujenga, na mazao ya kimkakati vingeweza kufufua uchumi wa Kagera!,
Bei ya sukari mpaka ikapangiwe Mwanza au Dar!
 
Hizi hisia za kichaga zitakuua bure, muhaya mali yake ni ya halali hana pesa na utajiri wa damu wa kuuwa watu na ndugu zenu, nyinyi mmewekeza kwenye biashara, sisi elimu na familia zote zenye wasomi uhayani zina maisha bora, sasa nyinyi mkifika bk mjini mnaanza maneno, kazi ya kujenga soko na barabara ni ya serikali, sisi wananchi tushachangia kodi, kama serikali haitajenga hiyo miundombinu sisi hatuna habari tutaendelea kufanya maendelea kwenye familia zetu, mkija mkakuta nyanya imepangwa chini nunueni, hamtaki rudini kwenu penye maendeleo.
 
Suala la yeye Prof. kuhodhi ardhi halihusiani na maendeleo ya wana Kagera kwa ujumla wake. Kitu cha msingi ulicho point out hapa ni desturi ya kutokujituma, ulaghai na utapeli, uvivu na unafiki walionao wana Kagera.

Aidha tusimlaumu kwa kutowaendeleza wananchi wenzake kwa kigezo cha nyadhifa alizowahi kushika bali tumuunge mkono katika harakati za kubadilisha mind set za wana Kagera.
 
Futa mapovu yako hapa! Hakuna anayezungumzia Bukoba mjini, wala soko hapa tunajadili maendeleo ya mkoa wa Kagera!
 
Futa mapovu yako hapa! Hakuna anayezungumzia Bukoba mjini, wala soko hapa tunajadili maendeleo ya mkoa wa Kagera!
Siwezi kufuta kwa zwazwa moja la kichaga linaloishi kwa mali za damu kwa kuuwaua watu na ndugu zake. Nyinyi ndiyo janja janja tu, mnaishi kwa kubebwa bebwa kama mlidhubutu kuiba BOT, nani asiyejua mali zenu za wizi na damu.
 
Nakuelewa ndugu ila kwa hili idi amini tunamsingizia,mimi nimefika bukoba,kyaka,mtukura,misenyi,ngara,karagwe.sijaona madhara ya iddi amini,iddi amini alitia hasara taifa kwa kuua wanajeshi na kutumia bajeti kubwa kumfurusha ila wahaya na wanyambo walioathirika na vita moja kwa moja ni kidogo sana,mi nadhani zao ka kahawa kukosa bei nzuri,na mnyauko wa migomba,wahaya kutopenda fursa zingine zaidi ya kusoma,kutowekeza bukoba mjini,ubinafsi,ubaguzi na egoism ndio sumu ya maendeleo ya wana bukoba
 
Nitakuwa nimekosea nikiandika kwamba jamaa zangu ninyi mna kitu ile inaitwa "selfishness" ??!! Ukishapata wewe you don't give a damn about others !! Au nasema uongo ?
 
Siwezi kufuta kwa zwazwa moja la kichaga linaloishi kwa mali za damu kwa kuuwaua watu na ndugu zake. Nyinyi ndiyo janja janja tu, mnaishi kwa kubebwa bebwa kama mlidhubuti kuiba BOT, nani asiyejua mali zenu za wizi na damu.
Kaka inawezekana ni kweli baadhi yao wako hivo! Lakini kubali ukatae wachaga ni wachapakazi na wabunifu ila nyinyi hamna kila kitu mna roho mbaya na mnampenda sifa! Pili kuna jirani zenu hapo wasukuma mlikuwa mnawadharau sana lakini saizi wameshawapiga gepu kubwa tu! Hata ukiangalia sekta ya usafitishaji wa abiria Wasukuma na wachaga ndo wanamagari ya kwenda huko kwenu! Nyamazeni miaka inakuja mtapoteana sana tu! Zamani mlikuwa mnahesabika malegend wa taifa hili saizi hata top ten hampo!
 
Zimbabwe hawataki kumsikia huyu mama jinsi alivyoungana na mabeberu kuisagia kunguni nchi yao ipigwe sanctions.
Wazungu wenyewe wakasema ripoti tumepewa na mwafrika mwenzenu Tena kutoka nchi ambayo ni maswahiba wenu Wala hakuna mzungu alieshiriki hiyo ripoti.
Mama nuksi huyu.
Yeye pia kwanini hajawekeza hata shule zake huko Kagera?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…