Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Wanasema eti mkoa wa wakimbizi, serikali inaamini kwamba ikiwapelekea maendeleo watataka kurudi kwao, mambo ya ajabu kweli kweli.
 
Katawaze **** lako linanuka! Malaya mkubwa mbwa wewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wanasema eti mkoa wa wakimbizi, serikali inaamini kwamba ikiwapelekea maendeleo watataka kurudi kwao, mambo ya ajabu kweli kweli.
Aisee. Kwani intelijensia yao imekaaje mpaka waweze ingia. Halaf hili tatizo lipo sana. Yaan kama wakongo wamejaa kweli. Hivi sisi ni wakarimu sana kiasi hiki? Mbona tunanyanyasikaga sana mataifa ya watu tena hawahawa majirani? Wao hapa wanajiingilia tu? Waendeshe tu intelijensia yao vyema. Ila huduma za kijamii waache kuwabagua

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hujaona madhara Kwa sababu watu wa huu mkoa wamepambana kuurudisha katika Hali ya Sasa....eneo la kaskazini ya mto kagera Kuna nyumba nyingi zilivunjwa na watu waliuliwa kibao...

Mji huo wa bukoba baadhi ya maeneo yake yalilipuliwa ..



Hata Tetemeko la ardhi huoni watu walivyojenga faster na Sasa huwezi ona madhara yake Tena....


Vijana wa huu mkoa wanajituma sana na kujitegemea

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo waache kusoma..?wafanye mambo mengine?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kagera ana shule pia Tena nzr sana inaitwa Kajumulo Alexander girls high school

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Tusidai katiba mpya kwa kutukanana tafadhali Sasa andiko langu na matusi Yako wapi na wapi ebu jitafakari nani mpuuzi kati yangu na wew? Kama mnataka katiba mpya kwa matusi HIV mtaipata
1. Je wewe ni Tibaijuka uliendika waraka? au wewe ndiye mwenye umeanzisha huu uzi?
2. Wapi nimekuquote kuashiria comment yangu inakulenga wewe? double ID sio!
3. Na ni kwanini kila dai la msingi lenye kupoka ulaji wenu katika taifa letu mnalihusisha na upinzani hasa Chadema? Hivi mnadhani ni wanaccm wote wanakubali upuuzi wenu?
 
Hakuna anayewakataza kusoma! Kusoma tu bila kuwambunifu haina maana! Pia kikubwa muwe na ushirikiano na wageni wa mkoa wenu! Kifupi muache ukabila, ubinafsi na roho mbaya!
Sidhan kama Kuna watu wanabebana sana hapa bongo kama wahaya....


Naomba uniambie ni familia gan za kihaya zina wasomi halafu bado ni maskini???

Elimu inalipa sana...


Mambo ya mikoa waachie serikali

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mfano?

..kipato cha wananchi kitaongezeka kama wataweza kuzalisha zaidi haswa ktk kilimo, wataweza kuongeza thamani ktk mazao yao, na watakuwa na masomo ya uhakika ya mazao yao.

..kwa hiyo, serikali iangalie namna ya kusaidia wananchi wa Kagera ktk maeneo hayo matatu. Kwa mfano, sina uhakika kama kuna masomo ya kisasa ktk mipaka ya nchi jirani ktk mkoa wa Kagera.
 
Kwa hiyo waache kusoma..?wafanye mambo mengine?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Wawe flexible,dunia imebadilika,kama mtoto kichwa kigumu na ana kipaji muache atumie kipaji chake,refer saida kalori,hakusoma ila muziki ulimpa maisha,mhaya hajui biashara,hajui mpira hajui muziki.amekariri kusoma tu
 
Ila nikuambir kitu insta? Hapajawahi kutokea matajiri katika wasomi. Labda huu ukuaji wa teknolojia. Yaan mabilionea wengi hasa huku Africa ni la saba[emoji28][emoji28] halaf wanatuajiri sisi wasomi.

Nakupa mfano hai... kwa kilimanjaro, jamii iliyokua imesoma sana ni wamachame, old moshi na Marangu. Walipata elimu kabla ya warombo na wakibosho. Hawa wakibosho na warombo ndo wakawa chokaa mbaya ila ndo ikawatia ndimu. Wengine wakiwa wanapiga vitabu hawa wakibosho na warombo wakaanza uchuuzii. Yaan wamesotaaa balaaa... walikua maskini kweli kasoro nyumba za wamangi. Navyokuambia kwa sasa ni hivi? Hawa wamachame na wamarangu wamekuja kudrop. Yaan mabilionea wamekuja kuwa wale makapuku. Baba zetu na mama zetu ni la saba nakuhakikishia lkn hiyo pesa waliyo nayo sisi tutashika lini. Na hata ktk sisi ambao tulioendelea, yaan wale makapuku wamekuja kutupita kama umeme[emoji23][emoji23]
Sisi tukishakuwaga na Elimu tunabweteka sana. Tunaona kufanya hata kazi za uchuuzi kama vile tunajishusha. Mfano mzuri mimi tu. Nikikuambia mtaji nilioutaka kwa mzee na mia mbovu sikua nayo[emoji23][emoji23] Elimu naona inatulemaza sana kwa upande mwingine. Ndo kinachowakumba wamarangu na wamachame. Elimu kama huifanyii practice ni tatizo. Mtaji wenyewe shida. Mkopo wenyewe ndo mtauana. Basi unabaki na vyeti vyako tu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini walitoa masomo ya kilimo na ufugaji katika mtaala wa Elimu? Why? Aisee japo jembe sijui kulishika lakini napenda mno kilimo na ufugaji. Ile ardhi ya kagera ningeimiliki yaani

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Serikali ya magufuli? Hizo barabara zimejengwa enzi ya mkapa na Jk
 
Wawe flexible,dunia imebadilika,kama mtoto kichwa kigumu na ana kipaji muache atumie kipaji chake,refer saida kalori,hakusoma ila muziki ulimpa maisha,mhaya hajui biashara,hajui mpira hajui muziki.amekariri kusoma tu
Sasa watoto sio vichwa ngumu ndo maana wanasoma Hadi vyuo vikuu....

Yaan mtu afaulu vzr aache kwenda chuo sijui afanye biashara? sijui uchuuzi kama wafanyavyo makabila yasiyosoma....
Husishauri wahaya waanze uchuuzi bali watumie elimu Yao kuwa innovative kama walivyofanya baadhi ya wahaya maarufu kama Maxence melo, Ruge,Ally mfuruki, Mshumbusi, kareju,dk remmy NK nk


Kwanza mnasingizia tu...Kuna wafanyabiashara kibao tu wa kihaya
Kuna wavuvi kibao...

Kuna wakulima wa miwa Kule misenyi
Kuna wakulima kibao wa vanilla huko misenyi

Bado na wahaya wachuuzi wapo kibao tu..

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…