Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Tibaijuka Yeye amekua Waziri katika Serikali, mbona hatujawai kusikia anawasemea wana kagera, amekuwa mbunge miaka 10, hatukuwai kuona hata akisemea zao kuu la biashara kahawa, wakati Nchi jirani Uganda kahawa ni bei ni zaidi ya mala 3, mpaka kagera tunatamani kuuza Uganda.Tibaijuka alichokifanya alipopata ubunge na uwaziri ni kujimilikisha aridhi tu,akuna alichosaidia chochote, Sasahivi eti anapiga kelele.

..katika nafasi ya Uwaziri Prof.Tibaijuka alikuwa Waziri wa ardhi wa Tanzania nzima, sio Waziri wa ardhi wa Kagera au Karagwe jimbo lake la uchaguzi.

..kwa msingi huo Prof ktk nafasi ya Waziri wa ardhi asingeweza kufanya au kutekeleza jambo lolote huko Kagera nje ya mipango ya serikali kuu au ilani ya chama chao.
 
Wahaya hamrudi makwenu baada ya kufika town haswa Dar

..fursa pamoja na maendeleo ziwafikie hukohuko Kagera.

..kusema wake Dsm " kuchota maendeleo " na kuyapeleka Kagera naamini sio sahihi.
 
Mbona yeye hata shule zake amewekeza Mwanza,badala ya Bukoba.

Huyu mama amepagawa baada ya kuona bibi kizee mwenzake Muramura amepewa ulaji wakati yeye akisahaulika ingawa naye alikuwa huko UN-HABITAT.

Huo ndio ukweli,hakuna lingine wala nini?

Yeye si anakula za Museveni kidogo kidogo, shida yake nini?

Bado za mboga kutoka kwa Rugemalira!

Bado malori semi trailers zinapishana barabarani zikisomba cement,kwa mgongo wa Texas!

Kweli mama ana tamaa ya FISI.
Huyu mama nakumbuka wakati bado anafanya kazi huko umoja wa mataifa, alikuja Tz akawa anahojiwa na waandishi wa habari kuhusu mikataba ya madini ilivyokuwa inainyonya nchi, akasema huko umoja wa mataifa kipo kitengo ambacho huzisaidia nchi zilizoingia mikataba ya kinyonyaji ili hiyo mikataba irekebishwe, nikamuona huyu mama ni MTU mzuri mzalendo kweli kweli duh! Siku ya pili yake tu alipohojiwa tena aliruka maili mia kama vile Jana hakuwa yeye !! Nilishangaa nikasema kweli wahenga walisemaga DUNIA HADAA ULIMWENGU SHUJAA !!! Ila naamini huwa hawapati peace of mind kwa sababu ya tamaa zao , KARMA IS REAL !
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla

Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera

View attachment 2082264

View attachment 2082267

View attachment 2082268

View attachment 2082269
Nani kakwambia mama Samia anashughulika na kuondoa umasikini? pambaneni na hali yenu siku zote mnajisifia eti, Mtanzania wa kwanza kupanda ndege ni Muhaya, Profesa wa kwanza Tanzania ni Muhaya, sasa mnalialia nini, tumieni huo uprofesa wenu kuondoa dhiki Kagera
 
Nasikia wasukuma wananunua sana maeneo ya mapori ya Karagwe na Biharamuro wanakwenda kufanya kilimo na ufugaji.Soon Bukoba itapaa, wasukuma wanasukuma maendeleo sehemu mbali mbali maana ni watumiaji Wazuri na wawekezaji Wazuri.Angalia Katavi, Marinyi, Kilosa morogoro, Lindi, Mbalali, Kasulu.Sukuma hawana utani linapokuja swala la uwekezaji katika kilimo na mifugo
 
Mbona yeye hata shule zake amewekeza Mwanza,badala ya Bukoba.

Huyu mama amepagawa baada ya kuona bibi kizee mwenzake Muramura amepewa ulaji wakati yeye akisahaulika ingawa naye alikuwa huko UN-HABITAT.

Huo ndio ukweli,hakuna lingine wala nini?

Yeye si anakula za Museveni kidogo kidogo, shida yake nini?

Bado za mboga kutoka kwa Rugemalira!

Bado malori semi trailers zinapishana barabarani zikisomba cement,kwa mgongo wa Texas!

Kweli mama ana tamaa ya FISI.
Kwenye malori ya cement apo fafanua mdau wangu
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla

Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera

View attachment 2082264

View attachment 2082267

View attachment 2082268

View attachment 2082269
Mradi wa kupima viwanja Kigamboni ulifikia wapi? Huyu mama ni mwizi sijawahi ona Dunia.
Lukuvi anamfahamu huyu mama in and out.
Aliozesha wizara ya ardhi kabisa
 
Majibu ya anachokilalamikia naamini anayo, ni msomi amekua serikalini muda mrefu na kimataifa pia yupo vizuri.
wakati Kagera ikiwa ipo nafasi za juu alikuwepo na alikua ni msomi tayari siyo hadithi kwake.

Naamini kama Kagera imeshuka, hili sio jambo lililotokea tu asubuhi watu walipoamka, kuna sababu na zilipoanza aliziona.
 
Back
Top Bottom