Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Yeye kama msomi na katokea mkoa huo mchango wake ni upi na amekuwa mbunge na waziri jtihada gani kafanya, au ndiyo anataka naye asikike kama bado yupo mama wa pesa ya mboga milioni 10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachagga wajipange. Iringa tunakuja kwa kasi ya jet
Miaka 30 ijayo Kilimanjaro na Kagera itakua Kati ya mikoa duni nchini. Naiona Pwani, Morogoro Iringa, Mwanza, Geita, Mbeya Njombe kuaendesha uchumi. Shida ya Kagera na Kilimanjaro ni ukabila wazawa ni wabinafsi sana, wageni wanabaguliwa sana, ardhi imekumabtiwa na wenyeji.

Maendeleo huletwa na wageni. Miji/mikoa isiyokua na ukabila na uzawa itaendelea tu.

Kagera Wahaya waendelee na katelelo tu wamwagiane maji wao kwa wao. Na wilaya za Ngara na unayambo zitaendelea Buhaya itabaki duni mpaka waache ukabila

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Wahaya hamrudi makwenu baada ya kufika town haswa Dar
Ndio kosa kubwa la muhaya,akitoka kwao kashahau kama ndio asili yake. Wanajenga Dar na kutanua Dar kwanini wasiwe masikini?
 
Kwanza takwimu hizi ni feki, na Ummy kabla ya kuhamia wizara nyingine, mkoa wa kagera umeonyesha kufikia kiwango cha ukusanyaji kodi.
2. Mwezi wa kumi na moja, watu walionyesha tambo za kupanuka miji midogo midogo mingi, hii ni dalili bora ya maendeleo
3.wakula wamebadirika wanalima vanilla hadi wachuuzi wanashindwa kuwalipa kwa wingi wa zao hili.
4. Samaki zimewaendeleza sana watu wa mwambao
5. Ugonjwa wa munyauko umebaki asilimia ndogo sana hivyo neema ya chakula imerudi
6. Kufufliwa meli mbili uchumi umebadirika, hata hivyo wingi wa mabasi ya mwanza bukoba yote yanajaa na yanaenda kila siku uje useme hakuna maendeleo twafa

7. Wingi wa magari na pikipiki huko vijijini umeongezeka sana
8. Majengo mazuri ya kisasa nyumba za tembe hakuna kwa sasa, huyu mama anatuzalolisha
9. Magari ya bia za pilsner na balimi yanapishana watu wameacha kunywa gongo wanabwia bia.
10. Ulimaji wa miti ya paini umeshamili na umewatoa sana
Wahaya acheni ukabila, pendeni wagane hakuna mtu anawekeza kwenu. Kutakufa huko. Nchi hii hakuna kijana anandoto ya kuishi Uhayani kama siyo mhaya.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Tibaijuka Yeye amekua Waziri katika Serikali, mbona hatujawai kusikia anawasemea wana kagera, amekuwa mbunge miaka 10, hatukuwai kuona hata akisemea zao kuu la biashara kahawa, wakati Nchi jirani Uganda kahawa ni bei ni zaidi ya mala 3, mpaka kagera tunatamani kuuza Uganda.Tibaijuka alichokifanya alipopata ubunge na uwaziri ni kujimilikisha aridhi tu,akuna alichosaidia chochote, Sasahivi eti anapiga kelele.
Wahaya mnashida mahali, roho mbaya na chuki, ubinafsi ndiyo adui yenu, narafiki zangu wana chuki wao kwa wao ndani ya familia mtu ananchukia ndugu moaka basi
 
Hivi huyu mwanamke anashangaa nini? Yeye hajashiriki kudhoofisha hali ya Kagera? Hakuwa na mamlaka? Hakuwa kiongozi? Alifanya nini? Useless.
Wewe mwache Magufuli ndo maana aliwatosa! Na akaitoa Chato kutoka Kagera!
 
Mbona yeye hata shule zake amewekeza Mwanza,badala ya Bukoba.

Huyu mama amepagawa baada ya kuona bibi kizee mwenzake Muramura amepewa ulaji wakati yeye akisahaulika ingawa naye alikuwa huko UN-HABITAT.

Huo ndio ukweli,hakuna lingine wala nini?

Yeye si anakula za Museveni kidogo kidogo, shida yake nini?

Bado za mboga kutoka kwa Rugemalira!

Bado malori semi trailers zinapishana barabarani zikisomba cement,kwa mgongo wa Texas!

Kweli mama ana tamaa ya FISI.
Nyumba ya vioo inarushiwa mawe. Mama ana hoja. Tushambulie hoja yake si kumshambulia yeye binafsi. Hoja Kagera ni mkoa maskini Tanzania bara. Inakwamuliwaje kutoka kwenye umaskini?
 
Wahaya acheni ukabila, pendeni wagane hakuna mtu anawekeza kwenu. Kutakufa huko. Nchi hii hakuna kijana anandoto ya kuishi Uhayani kama siyo mhaya.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kuna jamaa yangu mjita wa musoma alienda huko kagera akaanzisaha biashara walimletea fitina mpaka akafunga biashara!
 
Kinawaumiza Wahaya ni mbegu mbaya ya Ubaguzi ni watu ambao wanaakili lakini haziwasaidii wanabaguana mpaka KOO HII na KOO NYINGINE ukipangiwa kazi Bukoba umekwishaaa majungu masufuria wahaya ni WAMBEYA NAMBA MOJA KWENYE HII NCHI SIO NAWATUKANA FANYENI UTAFITI maana mtu mbaguzi mwenzake ni umbeya
Nakubaliana na wewe 100%
 
Wewe mwache Magufuli ndo maana aliwatosa! Na akaitoa Chato kutoka Kagera!
Hata sielewi watu wa huko wanawaza nini. Kati ya mikoa iliyokuwa na wasomi wengi ni Kagera lakini hawakuwahi kuwa na mawazo ya kuendeleza kwao.
 
Kagera kuwa maskini wala sishangai wamekuwa hapo toka enzi za mkapa pili hao mnaoasema wamejenga huku mjini sijui wana mihela ni muendelezo wa sifa hewa wahaya ndio kabila linaloongoza kufilisika wakiwa wazeee
 
Huyu mama mnafiki sana juzi hapa anapinga Chato kuwa mkoa anaongea ujinga ujinga tu! Naomba kagera igawanywe wabaki hawa roho mbaya!
Chato, Ngara na Karagwe zitolewe Kagera hata kwa nguvu wabaki na Mkoa wao wa roho mbaya na katelelo. Ukifanya kazi Kagera ndo utakua Kuna ukabila nchi hii.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Wachaga shule nzuri ipo kilimanjaro. Nyumba nzuri kilimanjaro. Unaambiwa ktk Tz sehem nyumba kupanga ni bei chee ni Kilimanjaro.. wenzenu wanaishi mikocheni ila wama magorofa Kilimanjaro nyie mnalia lia tu...

Kuwa na nyumba za kupanga “ bei chee“ siyo tafsiri ya maendeleo bali uwekezaji ambao hauna tija kwani haujazingatia hitaji la soko la upangaji wa hizo nyumba, hivyo siyo mafanikio bali failure!
 
Waliona fahari kuja Dar na kuanzisha mtaa wa kwanza kabisa wa wauza nyapu wakapaita "Magomeni Kagera kwa wahaya" hicho ndo walijua kutanguliza mbere!
 
Kilichorudisha nyuma maendeleo ya Kagera ni usafiri. Wahaya walipokuwa wakifika Dar au Mwanza, usafiri wa kurudi kwao unakuwa ni mgumu sana ndipo wengi wao wakahamishia makao yao Dar na Mwanza. Serikali ya Magufuli ilijitahidi kujenga tena infrasturucture ya kwenda Bukoba kwa kufufua meli, usafiri wa ndege wa uhakikia, na jitihada za kuimarisha barabara kati ya Mwanza na Bukoba kupitia Busisi na hakuwahi kushukuru serikali hiyo.

Leo hii mama huyu kulilialia huku ni unafiki tu kama alikuwa hajui hili. Yeye ana hela ya mboga nyingi tu hapo Dar.
Aipata mgao wa bilion 1.6 kipindi hicho kagera aliwekeza nini
 
Back
Top Bottom