Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Kwanza aache kumuita “mama“ pili hana nia (kuhusu uwezo wake sijui) ya kufanya chochote kupunguza umaskini Tanzania vinginevyo Bwawa la kuzalisha umeme lingemaliziwa lkn linapotezewa, umeme hakuna umaskini ataushughulikia vipi ?


Maendeleo ni pamoja na utamaduni wa maendeleo. Ukiweka uchungu wa maendeleo njia inapatikana lakini mkiweka lawama mpaka kesho maendeleo hayatakuja
 
Innocent Bashungwa ni Waziri TAMISEMI na ni Mbunge kutoka Kagera. Kwa hiyo ashughulikie maendeleo ya Kagera pia.
 
Halafu, kwani Wahaya hamuwezi kuzungumzia Kagera bila kuutaja Mkoa Barikiwa wa Kilimanjaro?

Maana naona Le Profeseri wa hela ya mboga naye kautaja Mkoa wa Kilimanjaro wakati mada yake ni Kagera na ufukara uliokithiri
 
Kagera tabu ni viongozi wetu tu,akina tibaijuka walivyokuwa viongozi wakirudi kijijini ni kuwanunulia watu pombe tu,hawaamishishi wala kuwatafutia wakulima masoko wakulima mazao yao,kagera ndizi zinaozea shambani,mpaka mkungu wa ndizi unazwa shilling 500, Wakati hapa Nchi jirani Uganda,wamejenga kiwada kwa ajili ya kusaidia wakulima wao, ndizi wao wanatengeneza konyagi,wanauza Mpaka soko la kimataifa.Tibaijuka napiga kelele tu akumbukwe na Samia tu ana lolote
 
Wahaya siyo Investors. Hata Mwanza wahaya siyo Investors wakubwa. Investors Mwanza kwa Sasa ni Wasukuma hasa Ntuzu, Wakuraya, Haha, Haya Chaga, Luo nk nimeondoa Arabs kwani siyo kabila native

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app

Kwamba waha ni wawekezaji Mwanza uongo huo
 
Kwamba waha ni wawekezaji mwanza uongo huo
Waha wanamchango mkwa kwenye uchumi wa Mwanza kuliko Wahaya.

Hapo kuwa hawana biashara na miradi mikubwa lakini. Ata local Waha wako vizuri.

Solo kuu ni dominance ya Waha. Bado ni wachiuzi Waziri kuliko Wahaya

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Vingi alivoandika hapo ni uzembe wa Wana kagera wenyewe
 
Bora muendelee kuteseka maana huku mjini mkija(hasa mukifika huku kwetu ukanda wa Pwani) mnajifanya mna hela kumbe maskini wakutupwa mnachojua ninyi ni misifa tu.Tesekeni tu na 'limkoa' lenu maskini!![emoji12]
Kilwa vipi huko, mpaka huko raia wa Kagera wanawasumbua?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Manake inaonekana unateseka Dar mpaka huko kwenu Kilwa kwa povu ulilomwaga hapa.
 
Kweli kabisa ! Huwezi kwenda kuishi kwenye nchi ambayo unabaguliwa
Hawa walishafulia hakuna mtu anahangaika nao! Hakuna dhambi mbaya ya kuwabagua watu hata Mungu hapendi! Sasa mlianza vizuri leo mnalia wa mwisho! Kuna msemo inasema kutangulia si kufika hasa ukiwa na mbwembwe! Hata Magufuli aliwatelekeza kutoka na tabia zenu za kibaguzi maana alisoma kwenu anawajua vizuri! Wahaya bila kubadilika hakuna mtu atawafanyia au kuwekeza kwenu kitu cha maana!
 
Sijui ni Kagera hipi inayozungumziwa hapa? Kama ni Kagera ninayoifahamu mm profesa katupiga change la macho. Au labda watu wanaijaji Kagera kwa kuangalia mji wa bukoba? Trust me ukiizunguka Kagera kwa ndani namanisha vijijini uwezi kuamini unachokiona. Kuna watu wanaushi Dar wengine Nje ya Nchi ila wakija Kagera ata bukoba hawafiki labda kama wamekuja kwa ndege.
 
Unapewa 1 Billion unasema ya mboga tu, sasa unashindwaje kuwasaidia wenzio?
 
Ndo mda mzuri kwa wahaya wanao tuuzia papa kwa bei poa ndo waanze kuwekeza kwao kagera.
 
Serikali ya CCM ni janga .mkoa wa Kagera ni masikini Ila ukisema Ngara iliyopo mkoani humo ni unspeakable lakini baada ya kugundua Ile utajiri ulojificha katikati ya umaskini wa kutopea wakuu macho na masikio ni huko. Bora japo wafumbe macho Kwa aibu hii waikumbuke wilaya hiyo amabyo nihsi ni ya mwisho nchini katikati yabutajiri wa Hali ya juu. Wakuu angalieni haya mambo badala ya kuhimizana kukwapua keki ya Taifa.
 
Huyu mama nakumbuka wakati bado anafanya kazi huko umoja wa mataifa, alikuja Tz akawa anahojiwa na waandishi wa habari kuhusu mikataba ya madini ilivyokuwa inainyonya nchi, akasema huko umoja wa mataifa kipo kitengo ambacho huzisaidia nchi zilizoingia mikataba ya kinyonyaji ili hiyo mikataba irekebishwe, nikamuona huyu mama ni MTU mzuri mzalendo kweli kweli duh! Siku ya pili yake tu alipohojiwa tena aliruka maili mia kama vile Jana hakuwa yeye !! Nilishangaa nikasema kweli wahenga walisemaga DUNIA HADAA ULIMWENGU SHUJAA !!! Ila naamini huwa hawapati peace of mind kwa sababu ya tamaa zao , KARMA IS REAL !
#mzeewaSHY.
Huyu mama hata kule jimboni kwake Muleba sio kwamba wanamuamini ki vile.

Mama ni bonge la opportunist,yeye kwa fursa yuko mbele na haukubali uzee.

Pia ni mama wa ligi ile mbaya.
 
Kuporomoka kwa bei ya mazao strategic kama Kahawa ndiyo sababu kubwa. Kitendo cha kupeleka kahawa za magendo Uganda ni ushahidi tosha. Wabunge wa mkoa wasimame kutetea bei ya mazao.
 
Sasa mbona nshomile wanatamba hapa kwa mjumba katiksti ya midizi(migomba) [emoji2]

Halafu mama ya hela ya mboga ule mkasiri wako ulijificha midizini hadi nasikia msoga alikuwa anafikia pale akija huko kwa akina omukama.wafaje sasa!?[emoji2]
 
Back
Top Bottom