Mbeya nako kuchele wanapaa kwa kasi ya DREAMLINER!! Nyie bojo mlie tu.Wachagga wajipange. Iringa tunakuja kwa kasi ya jet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya nako kuchele wanapaa kwa kasi ya DREAMLINER!! Nyie bojo mlie tu.Wachagga wajipange. Iringa tunakuja kwa kasi ya jet
Kwanza aache kumuita “mama“ pili hana nia (kuhusu uwezo wake sijui) ya kufanya chochote kupunguza umaskini Tanzania vinginevyo Bwawa la kuzalisha umeme lingemaliziwa lkn linapotezewa, umeme hakuna umaskini ataushughulikia vipi ?
Wahaya siyo Investors. Hata Mwanza wahaya siyo Investors wakubwa. Investors Mwanza kwa Sasa ni Wasukuma hasa Ntuzu, Wakuraya, Haha, Haya Chaga, Luo nk nimeondoa Arabs kwani siyo kabila native
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Waha wanamchango mkwa kwenye uchumi wa Mwanza kuliko Wahaya.Kwamba waha ni wawekezaji mwanza uongo huo
Kilwa vipi huko, mpaka huko raia wa Kagera wanawasumbua?Bora muendelee kuteseka maana huku mjini mkija(hasa mukifika huku kwetu ukanda wa Pwani) mnajifanya mna hela kumbe maskini wakutupwa mnachojua ninyi ni misifa tu.Tesekeni tu na 'limkoa' lenu maskini!![emoji12]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Wahaya wengi wameinvest Dubai ambayo ni kama second home!
Kweli kabisa ! Huwezi kwenda kuishi kwenye nchi ambayo unabaguliwaWahaya acheni ukabila, pendeni wagane hakuna mtu anawekeza kwenu. Kutakufa huko. Nchi hii hakuna kijana anandoto ya kuishi Uhayani kama siyo mhaya.
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Hawa walishafulia hakuna mtu anahangaika nao! Hakuna dhambi mbaya ya kuwabagua watu hata Mungu hapendi! Sasa mlianza vizuri leo mnalia wa mwisho! Kuna msemo inasema kutangulia si kufika hasa ukiwa na mbwembwe! Hata Magufuli aliwatelekeza kutoka na tabia zenu za kibaguzi maana alisoma kwenu anawajua vizuri! Wahaya bila kubadilika hakuna mtu atawafanyia au kuwekeza kwenu kitu cha maana!Kweli kabisa ! Huwezi kwenda kuishi kwenye nchi ambayo unabaguliwa
Ikusaidie nini wewe?Huyu mama mnafiki sana juzi hapa anapinga Chato kuwa mkoa anaongea ujinga ujinga tu! Naomba kagera igawanywe wabaki hawa roho mbaya!
#mzeewaSHY.Huyu mama nakumbuka wakati bado anafanya kazi huko umoja wa mataifa, alikuja Tz akawa anahojiwa na waandishi wa habari kuhusu mikataba ya madini ilivyokuwa inainyonya nchi, akasema huko umoja wa mataifa kipo kitengo ambacho huzisaidia nchi zilizoingia mikataba ya kinyonyaji ili hiyo mikataba irekebishwe, nikamuona huyu mama ni MTU mzuri mzalendo kweli kweli duh! Siku ya pili yake tu alipohojiwa tena aliruka maili mia kama vile Jana hakuwa yeye !! Nilishangaa nikasema kweli wahenga walisemaga DUNIA HADAA ULIMWENGU SHUJAA !!! Ila naamini huwa hawapati peace of mind kwa sababu ya tamaa zao , KARMA IS REAL !