balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Alikuwa mbunge wa Muleba kusini akimrithi Wilson Masilingi na siyo Karagwe as asserted above...katika nafasi ya Uwaziri Prof.Tibaijuka alikuwa Waziri wa ardhi wa Tanzania nzima, sio Waziri wa ardhi wa Kagera au Karagwe jimbo lake la uchaguzi.
..kwa msingi huo Prof ktk nafasi ya Waziri wa ardhi asingeweza kufanya au kutekeleza jambo lolote huko Kagera nje ya mipango ya serikali kuu au ilani ya chama chao.
Wewe naona hamjui Tibaijuka vizuri,kwao Mleba kafanya kipi cha maana?Hata shule kajenga mkoa wa Pwani baadala ya kujenga kwao Mleba ili ndugu zake waliompa ubunge wafaidike na elimu,amekuwa aridhi alifanya nini,ni mradi hupi aliupeleka kwao Muleba?Sanasana migogoro ya aridhi,angalia Magufuli alipokuwa bado Waziri ajawa bado Rais wetu, alikuwa amefanya mangapi chato,watu wanalalamika eti Magufuri alikuwa anapendelea chato,kumbe Magufuri kaanza kujenga chato kuanzia akiwa Waziri,
Lakini mbona mjini wahaya wanavimba hivyo, huko kwao wanakwama wapi?
Mkuu hatuongelei vijijini tu, nimefika Bukoba mara kadhaa aisee hali yake inatisha. Unaijua stendi yao ya mabasi pale town?..kila mtu akiwa mjini anavimba lakini hali za ndugu zetu huko vijijini tunazijua wenyewe.
Kajumlo Sio yakwake..ninavyoelewa mimi ni kwamba Prof anahusika na shule mbili. Moja iko Dsm inaitwa " Barbro," na nyingine iko Kagera inaitwa " Kajumulo. "
Kajumlo Sio yakwake
Arudishe hela ya mboga kwanza, au fedha si anayo afungue dirisha la kagera development agency, awasaidie.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla
Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera
View attachment 2082264
View attachment 2082267
View attachment 2082268
View attachment 2082269
Tunakwama hapa....Lakini mbona mjini wahaya wanavimba hivyo, huko kwao wanakwama wapi?
Hapa umemjibu kwa facts aliyetupotosha kuwa Kajumulo si ya kwake...ni mdai mkubwa wa shule hiyo.
..fuatilia hapo kwenye video.
..tumtie moyo ktk juhudi zake za kuwapa watoto wa kike elimu.
Kweli watu mna majungu kweli.Kajumlo Sio yakwake
Haya ni makazi ya wahaya huko vijijini bukoba ...Waangalie kwa kurudisha IPTL?
Tatizo la wenyeji wa mkoa huo wakisoma na kufanikiwa hawarudi kwao kuwekeza wanakimbilia Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha ndio maendeleo hayatakuja kupatikana kwa sababuwanajinyanyapaa wenyewe kama walivyo wenyeji wa mikoa ya Mtwara, Ruvuma na Lindi
Tofautisha vyakula na madini wew.Chanzo cha takwimu zako? halaf mahali fulani kuzalisha au kuwa chanzo cha kitu fulani siyo lazima mahali hapo pawe na mafanikio ndiyo maana Geita wana dhahabu lakini kuna umaskini, Tarime kuna migodi ya dhahabu na bado umaskini umetamalaki, Wilaya ya Serengeti wana mbuga inaingiza watalii lakini bado Wilaya iko hoi, Manyara kuna Tanzanite lakini bado hali tete.
Hapa umemjibu kwa facts aliyetupotosha kuwa Kajumulo si ya kwake.
Wahaya bhana kujitutumua! Niambie hata huko kanda ya ziwa wapi mmeshika uchumi!? Kwenye madini hampo,biashara za kawaida mpo wachache, yaani nyinyi mmekazania elimu tu lakini niwakumbushe elimu ya makaratasi bila maarifa ya kutafuta maisha kila sehemu mtabaki kama mlivo!Tofautisha vyakula na madini wew.
Madini yanachimbwa na makampuni ya kigeni lakin vyakula vinazalishwa na household ...
Hebu tazama makazi ya watu katika mkoa huu maskini linganisha na mkoa wako wenye unafuuView attachment 2084042View attachment 2084043View attachment 2084044
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kwan mpaka mshike uchumi????Wahaya bhana kujitutumua! Niambie hata huko kanda ya ziwa wapi mmeshika uchumi!? Kwenye madini hampo,biashara za kawaida mpo wachache, yaani nyinyi mmekazania elimu tu lakini niwakumbushe elimu ya makaratasi bila maarifa ya kutafuta maisha kila sehemu mtabaki kama mlivo!
Very well facted... Huu ni ukweli kabisaMiaka 30 ijayo Kilimanjaro na Kagera itakua Kati ya mikoa duni nchini. Naiona Pwani, Morogoro Iringa, Mwanza, Geita, Mbeya Njombe kuaendesha uchumi. Shida ya Kagera na Kilimanjaro ni ukabila wazawa ni wabinafsi sana, wageni wanabaguliwa sana, ardhi imekumabtiwa na wenyeji.
Maendeleo huletwa na wageni. Miji/mikoa isiyokua na ukabila na uzawa itaendelea tu.
Kagera Wahaya waendelee na katelelo tu wamwagiane maji wao kwa wao. Na wilaya za Ngara na unayambo zitaendelea Buhaya itabaki duni mpaka waache ukabila
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app