Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

..katika nafasi ya Uwaziri Prof.Tibaijuka alikuwa Waziri wa ardhi wa Tanzania nzima, sio Waziri wa ardhi wa Kagera au Karagwe jimbo lake la uchaguzi.

..kwa msingi huo Prof ktk nafasi ya Waziri wa ardhi asingeweza kufanya au kutekeleza jambo lolote huko Kagera nje ya mipango ya serikali kuu au ilani ya chama chao.
Alikuwa mbunge wa Muleba kusini akimrithi Wilson Masilingi na siyo Karagwe as asserted above.
 
Wewe naona hamjui Tibaijuka vizuri,kwao Mleba kafanya kipi cha maana?Hata shule kajenga mkoa wa Pwani baadala ya kujenga kwao Mleba ili ndugu zake waliompa ubunge wafaidike na elimu,amekuwa aridhi alifanya nini,ni mradi hupi aliupeleka kwao Muleba?Sanasana migogoro ya aridhi,angalia Magufuli alipokuwa bado Waziri ajawa bado Rais wetu, alikuwa amefanya mangapi chato,watu wanalalamika eti Magufuri alikuwa anapendelea chato,kumbe Magufuri kaanza kujenga chato kuanzia akiwa Waziri,

Ninavyoelewa mimi ni kwamba Prof anahusika na shule mbili. Moja iko Dsm inaitwa " Barbro," na nyingine iko Kagera inaitwa " Kajumulo. "
 
Lakini mbona mjini wahaya wanavimba hivyo, huko kwao wanakwama wapi?
 
Lakini mbona mjini wahaya wanavimba hivyo, huko kwao wanakwama wapi?
Tunakwama hapa....


Hapa ni huko vijijini....

Takwimu zisiwadanganye
FB_IMG_16423457357545841.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
..ni mdai mkubwa wa shule hiyo.

..fuatilia hapo kwenye video.

..tumtie moyo ktk juhudi zake za kuwapa watoto wa kike elimu.

Hapa umemjibu kwa facts aliyetupotosha kuwa Kajumulo si ya kwake.
 
Waangalie kwa kurudisha IPTL?

Tatizo la wenyeji wa mkoa huo wakisoma na kufanikiwa hawarudi kwao kuwekeza wanakimbilia Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha ndio maendeleo hayatakuja kupatikana kwa sababuwanajinyanyapaa wenyewe kama walivyo wenyeji wa mikoa ya Mtwara, Ruvuma na Lindi
Haya ni makazi ya wahaya huko vijijini bukoba ...


Nyie bakini na takwimu zenu....watu wanafanya mambo huko vijijini kwao
FB_IMG_16423457357545841.jpg
download.jpg
images%20(1).jpg
images%20(2).jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Chanzo cha takwimu zako? halaf mahali fulani kuzalisha au kuwa chanzo cha kitu fulani siyo lazima mahali hapo pawe na mafanikio ndiyo maana Geita wana dhahabu lakini kuna umaskini, Tarime kuna migodi ya dhahabu na bado umaskini umetamalaki, Wilaya ya Serengeti wana mbuga inaingiza watalii lakini bado Wilaya iko hoi, Manyara kuna Tanzanite lakini bado hali tete.
Tofautisha vyakula na madini wew.

Madini yanachimbwa na makampuni ya kigeni lakin vyakula vinazalishwa na household ...


Hebu tazama makazi ya watu katika mkoa huu maskini linganisha na mkoa wako wenye unafuu
images%20(2).jpg
download.jpg
FB_IMG_16423457357545841.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Hapa umemjibu kwa facts aliyetupotosha kuwa Kajumulo si ya kwake.

..ninavyoelewa mimi Tibaijuka ni jina la mume wake.

..Na kajumulo ni jina la Baba yake mzazi.

..kabla hajaolewa alikuwa anaitwa Anna Kajumulo.
 
Tofautisha vyakula na madini wew.

Madini yanachimbwa na makampuni ya kigeni lakin vyakula vinazalishwa na household ...


Hebu tazama makazi ya watu katika mkoa huu maskini linganisha na mkoa wako wenye unafuuView attachment 2084042View attachment 2084043View attachment 2084044

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Wahaya bhana kujitutumua! Niambie hata huko kanda ya ziwa wapi mmeshika uchumi!? Kwenye madini hampo,biashara za kawaida mpo wachache, yaani nyinyi mmekazania elimu tu lakini niwakumbushe elimu ya makaratasi bila maarifa ya kutafuta maisha kila sehemu mtabaki kama mlivo!
 
Ameshindwa kuomba kukutana na Rais amueleze...au ameshindwa nini kusubiri kikao cha bunge apeleke hoja binafsi...

Huyu nae ni walewale tu.. kipindi cha hayati hawa wote walikuwa wagonga meza.
Na kauli hii "twafaa" haina tofauti na "kupigwa mnada"

Ashughulikiwa. Japo ujumbe wake huenda ukawa sahihi.
 
Wahaya bhana kujitutumua! Niambie hata huko kanda ya ziwa wapi mmeshika uchumi!? Kwenye madini hampo,biashara za kawaida mpo wachache, yaani nyinyi mmekazania elimu tu lakini niwakumbushe elimu ya makaratasi bila maarifa ya kutafuta maisha kila sehemu mtabaki kama mlivo!
Kwan mpaka mshike uchumi????

Ishu ni kuhakikisha wew na ukoo wako mnatoka katika ujinga na umaskini.....

Wahaya wa Sasa walishatoka katika zama za kutumia nguvu nyingi akili kidogo kama ngoshaz...


Hebu tafuta makampuni ya ujenzi,wamiliki wa shule( karibu shule zote zinazofanya vizr tz hii zinamilikiwa na wahaya)
Tafuta engineering companies kama biotech,abemulo, luganuza, Rabininsia, Kairuki,kareju na mshumbusi zote zinamilikiwa na Koo za kihaya...

Koo za kihaya zimeenda mbali na kukuta maingeneer humo,madaktari,walimu ,wafanyabiashara humo.....

Ndo maana elimu inakumbatiwa sana

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Mama kuitaja Kilimanjaro kuwa Ina maendele kuzidi Kagera atapingwa na wahaya wenzake wa JF
Hahaaaaaaa
 
Miaka 30 ijayo Kilimanjaro na Kagera itakua Kati ya mikoa duni nchini. Naiona Pwani, Morogoro Iringa, Mwanza, Geita, Mbeya Njombe kuaendesha uchumi. Shida ya Kagera na Kilimanjaro ni ukabila wazawa ni wabinafsi sana, wageni wanabaguliwa sana, ardhi imekumabtiwa na wenyeji.

Maendeleo huletwa na wageni. Miji/mikoa isiyokua na ukabila na uzawa itaendelea tu.

Kagera Wahaya waendelee na katelelo tu wamwagiane maji wao kwa wao. Na wilaya za Ngara na unayambo zitaendelea Buhaya itabaki duni mpaka waache ukabila

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Very well facted... Huu ni ukweli kabisa
 
Back
Top Bottom