Miaka 30 ijayo Kilimanjaro na Kagera itakua Kati ya mikoa duni nchini. Naiona Pwani, Morogoro Iringa, Mwanza, Geita, Mbeya Njombe kuaendesha uchumi. Shida ya Kagera na Kilimanjaro ni ukabila wazawa ni wabinafsi sana, wageni wanabaguliwa sana, ardhi imekumabtiwa na wenyeji.
Maendeleo huletwa na wageni. Miji/mikoa isiyokua na ukabila na uzawa itaendelea tu.
Kagera Wahaya waendelee na katelelo tu wamwagiane maji wao kwa wao. Na wilaya za Ngara na unayambo zitaendelea Buhaya itabaki duni mpaka waache ukabila
Sent from my Lenovo L38111 using
JamiiForums mobile app