Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Tibaijuka Yeye amekua Waziri katika Serikali, mbona hatujawai kusikia anawasemea wana kagera, amekuwa mbunge miani ka 10, hatukuwai kuona hata akisemea zao kuu la biashara kahawa, wakati Nchi jirani Uganda kahawa ni bei ni zaidi ya mala 3, mpaka kagera tunatamani kuuza Uganda.Tibaijuka alichokifanya alipopata ubunge na uwaziri ni kujimilikisha aridhi tu,akuna alichosaidia chochote, Sasahivi eti anapiga kelele.
Mtaani kugumu, anatafuta kiki na uteuzi wa uzeeni.
 
Kaka inawezekana ni kweli baadhi yao wako hivo! Lakini kubali ukatae wachaga ni wachapakazi na wabunifu ila nyinyi hamna kila kitu mna roho mbaya na mnampenda sifa! Pili kuna jirani zenu hapo wasukuma mlikuwa mnawadharau sana lakini saizi wameshawapiga gepu kubwa tu! Hata ukiangalia sekta ya usafitishaji wa abiria Wasukuma na wachaga ndo wanamagari ya kwenda huko kwenu! Nyamazeni miaka inakuja mtapoteana sana tu! Zamani mlikuwa mnahesabika malegend wa taifa hili saizi hata top ten hampo!
Ni sahihi wao wamewekeza kwenye biashara na kilimo sisi elimu ndiyo nature ya maisha, wewe nani uwe ok kwa kila kitu katika ulimwengu huu, alafu tangu lini kagera imekuwa top ten GDP?. Kama ni wahaya kuachwa na nyinyi chaga mtaachwa kwani kitu gani mnacho kwa sasa ambacho wengine hawana. Ubinafsi upo kwa makabila yote, kuna kabila wabinafsi kama nyinyi chaga. Nyinyi GDP yenu 60% inatokana na utalii, biashara mipaka ya holili, tarakea n.k ipo free mnafanya biashara. Wahaya wamefungiwa mipaka kama magereza, kahawa bei inapangwa Dar. Alafu mishipa imewatoka humu kutwa kuwananga wahaya utadhani Tanzania kuna kabila moja tu la wahaya.
 
Ni sahihi wao wamewekeza kwenye biashara na kilimo sisi elimu ndiyo nature ya maishi, wewe nani uwe ok kwa kila kitu katika ulimwengu huu, alafu tangu lini kagera imekuwa top ten GDP?. Kama ni wahaya kuachwa na nyinyi chaga mtaachwa kwani kitu gani mnacho kwa sasa ambacho wengine hawana. Ubinafsi upo kwa makabila yote, kuna kabila wabinafsi kama nyinyi chaga. Nyinyi GDP yenu 60% inatokana na utalii, biashara mipaka ya holili, tarakea n.k ipo free mnafanya biashara. Wahaya wamefungiwa mipaka kama magereza, kahawa bei inapangwa Dar. Alafu mishipa imewatoka humu kutwa kuwananga wahaya utadhani Tanzania kuna kabila moja tu la wahaya.
Ndiyo sababu tunajadili hapa hivyo vikwazo vya kibiashara viweze kuondolewa.
 
Mimi nadhani Dr ajibiwe kwa hoja.ameongea hayo ni kama ameanzisha jambo fulani fikirishi ili kila mmoja alete ufahamu wake kwanini uchumi uko hapo. Naona ana hoja za msingi.

Nadhani kama wananchi wametengwa iwe rai sasa kwa wanakagera wenyewe kupambana kama ambavyo kilimanjaro ilipambana. Serikali si ya kuitegemea sana. Tanga imeharibiwa na hawahawa. Tungeweza kuwa na bandari kadhaa tu eg dsm, bagamoyo, mtwara na tanga zikioperate kwa ukubwa lakini policies zilizowekwa zinadiscourage sana. Hizi bandari zingeweza kusave kutokana na ukanda ila ndo hivyo remote iko dsm.

Nakumbuka Rombo ilitengwaga na lami. Lami imewekwaga juzi tu hapo. Barabara ilikua mbaya sana. Na hata leo hii hakuna stendi ya kusema ni stendi kule. Huko boarder ni mateso th ndo maana wengi walikua wakipiga magendo wanakwepa kodi mpakani kwa kupitia njia za panya enzi hizo. Sema soko kubwa la mbao lililokuwepo Tarakea, viazi vya west na kilimo cha mahindi na maharagwe na alizeti viliweza changamsha. Watu walikua wanapambana vibaya mno despite ya kukosa barabara. Hawakujali sana huduma za kiserikali. Na hawa ni wale ambal hawakua na Elimu. Kagera Elimu waliipa kipajmbele sana lkn kiutendaji sijui tatizo ni nn. Naamini iko siku serikali itajileta yenyewe na magoti. Iko siku wataleta wenyewe huduma.

Pamoja na hayo, ndugu zetu wahaya, mumejawa na ubinafsi baina yenu wenyewe kwa wenyewe. Mtu hataki mwenzake ampite mwenzake. Iko policy moja naiaminigi, ukieainua watu kadhaa leo kesho ukaangula angalau hata wawili watatu watakuinua tena. Ukiwafungia vioo watu siku ukianguka ndo basi tena. Wivu, majivuno, utapeli unawaangusha sana. Ujanja ujanja haufai.

Mkoa wa kagera ni mzuri sana katika ardhi na ardhi mnayo kubwa sana. Kilimanjaro ardhi ni ndogo sana. Mupate wasaa na vjongozi wenu waache ubinafsi ziwekwe sera sahihi. Haya mambo ya kufunga boarder na jeshi unalo ni kurudishana nyuma. Tibaijuka asibezwe.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kagera imepakana na nchi 3 kama sikosei. Sisi ni nchi moja tu na hatuna hiyo ardhi kama ya kagera. Hizi ni siasa tu. Yaan nchi 3 halaf iee nyuma hv? Serikali watueleze kuna nnmaana tunapoteza mapato sana katika mkoa mkubwa hivi. Wanaogopa nini kuruhusu biashara huria? Mazao yanawaozea wananchi ndani na bado hawaruhusiwi kutoa nje kwaninj? Wanakagera wakiwa wanajitafakari serikali nayo ije na majibu. Wanaogopa kagera kwasababu gani? Ikiwa kubwa si taifa pia limepata? Ndo yale yale ya uonglzi uliopita na kilimanjaro. Kila mkoa una haki ya kupata huduma zote muhimu katika jamii. Tunayapataje yote hayo? Ni katika uadilifu wa uongozi.

Tibaijuka sidhan kama anapaswa kulaumiwa hapa. Hapa ni siasa za ndani huko...


KATIBA MPYAAAAAAAA

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mimi nadhani Dr ajibiwe kwa hoja.ameongea hayo ni kama ameanzisha jambo fulani fikirishi ili kila mmoja alete ufahamu wake kwanini uchumi uko hapo. Naona ana hoja za msingi.

Nadhani kama wananchi wametengwa iwe rai sasa kwa wanakagera wenyewe kupambana kama ambavyo kilimanjaro ilipambana. Serikali si ya kuitegemea sana. Tanga imeharibiwa na hawahawa. Tungeweza kuwa na bandari kadhaa tu eg dsm, bagamoyo, mtwara na tanga zikioperate kwa ukubwa lakini policies zilizowekwa zinadiscourage sana. Hizi bandari zingeweza kusave kutokana na ukanda ila ndo hivyo remote iko dsm.

Nakumbuka Rombo ilitengwaga na lami. Lami imewekwaga juzi tu hapo. Barabara ilikua mbaya sana. Na hata leo hii hakuna stendi ya kusema ni stendi kule. Huko boarder ni mateso th ndo maana wengi walikua wakipiga magendo wanakwepa kodi mpakani kwa kupitia njia za panya enzi hizo. Sema soko kubwa la mbao lililokuwepo Tarakea, viazi vya west na kilimo cha mahindi na maharagwe na alizeti viliweza changamsha. Watu walikua wanapambana vibaya mno despite ya kukosa barabara. Hawakujali sana huduma za kiserikali. Na hawa ni wale ambal hawakua na Elimu. Kagera Elimu waliipa kipajmbele sana lkn kiutendaji sijui tatizo ni nn. Naamini iko siku serikali itajileta yenyewe na magoti. Iko siku wataleta wenyewe huduma.

Pamoja na hayo, ndugu zetu wahaya, mumejawa na ubinafsi baina yenu wenyewe kwa wenyewe. Mtu hataki mwenzake ampite mwenzake. Iko policy moja naiaminigi, ukieainua watu kadhaa leo kesho ukaangula angalau hata wawili watatu watakuinua tena. Ukiwafungia vioo watu siku ukianguka ndo basi tena. Wivu, majivuno, utapeli unawaangusha sana. Ujanja ujanja haufai.

Mkoa wa kagera ni mzuri sana katika ardhi na ardhi mnayo kubwa sana. Kilimanjaro ardhi ni ndogo sana. Mupate wasaa na vjongozi wenu waache ubinafsi ziwekwe sera sahihi. Haya mambo ya kufunga boarder na jeshi unalo ni kurudishana nyuma. Tibaijuka asibezwe.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Bora wewe unaujua ukweli hata kama ww siyo muhaya, siyo kama wengine humu wanaokomenti kwa unafiki na kuwananga wahaya, badala yakuja na hoja zenye mawazo kama haya.
 
Bora wewe unaujua ukweli hata kama ww siyo muhaya, siyo kama wengine humu wanaokomenti kwa unafiki na kuwananga wahaya, badala yakuja na hoja zenye mawazo kama haya.
Eeh mkuu. Haiwezekani mkoa ulikua wa pili mwaka huo ikiongozwa na kilimanjaro halafu leo hii ukawe wa 25. Huoni lama tatizo ni serikali? Yaan wahaya woote hao ni wavivu kweli? Hapana. Kuna tatizo.

Unajua mfano mtu akakushuka pale Tanga mjini akakuacha hapo wallah waeeza sema upo dar posta. Lakini kwann Tanga imekuja kualala hivi? Inaumiza sana vitega uchumi vinakufa. Ni mikoa mingi viwanda vinakufa tu. Serikali si iwape wazawa? Na kama ishu ni umeme basi hilo bwawa si walimalizie tu hata kama ndo tumeshaumia ili gharama zipungue? Hivi sisi tuna matatizo gani? Inakera sana.

Imagine kahawa, vanilla, maparachichi jinsi yalivyo na soko nchi za wenzetu. Serikali inashindwa vipi kusaidia wakulima haya mazao yawe na ubora katika soko la dunia? Leo hii mbolea inashuka bandari ya DSM ni ghali kuliko mbolea inayosafirishwa Zambia iliyotokea same bandari. Hivi serikali inajua kwamba sisi hatupendi siasa bali nchi yetu na tuna uzalendo ila sera zao ndo zinazotuhmiza? Sukari ni ya kuadimika mpama tukose soda sokoni kweli? Viwanda vingapi tunavyo hapa nchini vya sukari? Yaan sukari ya nje ni cheaper kuliko yetu ya hapahapa? Kagera sugar, mtibwa, sijui kilombero sugar ni brand name ama nini nimesahau, TPC, etc. Imagine

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kagera imepakana na nchi 3 kama sikosei. Sisi ni nchi moja tu na hatuna hiyo ardhi kama ya kagera. Hizi ni siasa tu. Yaan nchi 3 halaf iee nyuma hv? Serikali watueleze kuna nnmaana tunapoteza mapato sana katika mkoa mkubwa hivi. Wanaogopa nini kuruhusu biashara huria? Mazao yanawaozea wananchi ndani na bado hawaruhusiwi kutoa nje kwaninj? Wanakagera wakiwa wanajitafakari serikali nayo ije na majibu. Wanaogopa kagera kwasababu gani? Ikiwa kubwa si taifa pia limepata? Ndo yale yale ya uonglzi uliopita na kilimanjaro. Kila mkoa una haki ya kupata huduma zote muhimu katika jamii. Tunayapataje yote hayo? Ni katika uadilifu wa uongozi.

Tibaijuka sidhan kama anapaswa kulaumiwa hapa. Hapa ni siasa za ndani huko...


KATIBA MPYAAAAAAAA

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ni mambo ya ajabu kweli kweli, wamefunga mipaka huku sababu wanayoitoa eti ni ya kiusalama, wananchi wa kagera wanapambana sana miaka hadi miaka ila serikali inazidi kuwabana, sisi wahaya tukiweka wazi mikakati ya siri ya serikali kuhusu kagera tunaonekana wajuaji. Aingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu na uelewa kukubali moja kwa moja miaka yote eti kagera inaongoza kwa kuchangia GDP ndogo. Wakati sisi tunaendelea kupambana, lazima serikali na yenyewe ije na majibu kuhusu mkoa wa kagera.
 
Kagera imepakana na nchi 3 kama sikosei. Sisi ni nchi moja tu na hatuna hiyo ardhi kama ya kagera. Hizi ni siasa tu. Yaan nchi 3 halaf iee nyuma hv? Serikali watueleze kuna nnmaana tunapoteza mapato sana katika mkoa mkubwa hivi. Wanaogopa nini kuruhusu biashara huria? Mazao yanawaozea wananchi ndani na bado hawaruhusiwi kutoa nje kwaninj? Wanakagera wakiwa wanajitafakari serikali nayo ije na majibu. Wanaogopa kagera kwasababu gani? Ikiwa kubwa si taifa pia limepata? Ndo yale yale ya uonglzi uliopita na kilimanjaro. Kila mkoa una haki ya kupata huduma zote muhimu katika jamii. Tunayapataje yote hayo? Ni katika uadilifu wa uongozi.

Tibaijuka sidhan kama anapaswa kulaumiwa hapa. Hapa ni siasa za ndani huko...


KATIBA MPYAAAAAAAA

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kilimanjaro utawala uliopita ilifanyiwa nini cha kibaguzi? Acheni upuuzi wenu hapa!
 
Ni mambo ya ajabu kweli kweli, wamefunga mipaka huku sababu wanayoitoa eti ni ya kiusalama, wananchi wa kagera wanapambana sana miaka hadi miaka ila serikali inazidi kuwabana, sisi wahaya tukiweka wazi mikakati ya siri ya serikali kuhusu kagera tunaonekana wajuaji. Aingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu na uelewa kukubali moja kwa moja miaka yote eti kagera inaongoza kwa kuchangia GDP ndogo. Wakati sisi tunaendelea kupambana, lazima serikali na yenyewe ije na majibu kuhusu mkoa wa kagera.
Exactly. Nikikuambia baba yangu alikua na tani ngapi za mahindi godown kwake kwa mwaka uliopita hutaamini. Sababu kubwa ni boya mmoja alitaka aonekane mwanaume peke yake kila nyanja. Yaan kisa hawa wametangulia kimaendeleo basi wawasubiri wenzao. Nani ana huo muda? Anyways, wanazimika kama hivyo. Watu wanaamini ukiwa maskini ndo uzalendo. Yaan kuteseka ndo uzalendo. Mayoo. Hizo ni chuki tu za kushishana. Hivi unawashushaje watu ambao wanachangia pato kubwa la taifa?
Si unakomoa taifa?

Nyanya jamani zilikua zinajaa[emoji119][emoji119] unakumbuka lkn? Unauzia wapi? Si angalah wakenya walivyokua wakija mashambani hata wakulima wananeemeka maana hakuna kitu kinauma kama madalali kiwalalia wakulima. Wakenya walileta sana neema kwa wakulima


Ifike mahali zao la kahawa lipewe heshima yake. Hii mikoa kilimanjaro, mbeya na kagera tuungane aisee.. tukapate exposure zaidi. Tupate Elimu bora zaidi tuzalishe zenye ubora tupambane kupata soko la nje wenyewe. Tumesusiwa. Hutakiwi kuidharau biashara yako ya mwanzo iliyokutoa kimaisha. Kahawa iheshimike

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Eeh mkuu. Haiwezekani mkoa ulikua wa pili mwaka huo ikiongozwa na kilimanjaro halafu leo hii ukawe wa 25. Huoni lama tatizo ni serikali? Yaan wahaya woote hao ni wavivu kweli? Hapana. Kuna tatizo.

Unajua mfano mtu akakushuka pale Tanga mjini akakuacha hapo wallah waeeza sema upo dar posta. Lakini kwann Tanga imekuja kualala hivi? Inaumiza sana vitega uchumi vinakufa. Ni mikoa mingi viwanda vinakufa tu. Serikali si iwape wazawa? Na kama ishu ni umeme basi hilo bwawa si walimalizie tu hata kama ndo tumeshaumia ili gharama zipungue? Hivi sisi tuna matatizo gani? Inakera sana.

Imagine kahawa, vanilla, maparachichi jinsi yalivyo na soko nchi za wenzetu. Serikali inashindwa vipi kusaidia wakulima haya mazao yawe na ubora katika soko la dunia? Leo hii mbolea inashuka bandari ya DSM ni ghali kuliko mbolea inayosafirishwa Zambia iliyotokea same bandari. Hivi serikali inajua kwamba sisi hatupendi siasa bali nchi yetu na tuna uzalendo ila sera zao ndo zinazotuhmiza? Sukari ni ya kuadimika mpama tukose soda sokoni kweli? Viwanda vingapi tunavyo hapa nchini vya sukari? Yaan sukari ya nje ni cheaper kuliko yetu ya hapahapa? Kagera sugar, mtibwa, sijui kilombero sugar ni brand name ama nini nimesahau, TPC, etc. Imagine

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sisi aliyetukwamisha ni Nyerere hakuna mwingine, hadi leo ideologies zake zimebaki serikalini zinatukwamisha hadi leo. Wahaya wengi walivyoona serikali imetia ngumu, waliamua kufanya mambo yao mikoa mingine na kuinua familia zao tu kwa wale wenye kipato, wachaga waliligundua mapema hilo wakaamua kupambana kivyao, ila wahaya waliona kawaida tu, wamekuja kushtuka tena miaka ya karibuni.

Serikali inashindwa nini kujenga soko kuu la kibiashara, stendi ya mkoa, na kufungua mipaka kwa ajili ya biashara ukizingatia mkoa utakuwa na fursa ya biashara kwenye nchi tatu yaani Rwanda, Burundi na Uganda kama wanataka kuinua kipato cha wananchi. Serikali haya yote wanona na wanajua ila ni hawapo tayari , kagera hadi leo hii asilimia zaidi ya 70% wanatumia umeme kutoka Owen falls Uganda. Alafu watu wamekazana humu kuwaita wahaya wazembe, wabinafsi hawataki kuwekeza kwao.
 
Sisi aliyetukwamisha ni Nyerere hakuna mwingine, hadi leo ideologies zake zimebaki serikalini zinatukwamisha hadi leo. Wahaya wengi walivyoona serikali imetia ngumu, waliamua kufanya mambo yao mikoa mingine na kuinua familia zao tu kwa wale wenye kipato, wachaga waliligundua mapema hilo wakaamua kupambana kivyao, ila wahaya waliona kawaida tu, wamekuja kushtuka tena miaka ya karibuni.

Serikali inashindwa nini kujenga soko kuu la kibiashara, stendi ya mkoa, na kufungua mipaka kwa ajili ya biashara ukizingatia mkoa utakuwa na fursa ya biashara kwenye nchi tatu yaani Rwanda, Burundi na Uganda kama wanataka kuinua kipato cha wananchi. Serikali haya yote wanona na wanajua ila ni hawapo tayari , kagera hadi leo hii asilimia zaidi ya 70% wanatumia umeme kutoka Owen false Uganda. Alafu watu wamekazana humu kuwaita wahaya wazembe, wabinafsi hawataki kuwekeza kwao.
Ndo maana i will keep insisting siyo wavivu. Wahaya wana makosa yao kutokishtuka mapema lkn serikali imewakosea zaidi.

Panaponisikitishaga zaidi ni kigoma aisee. Yaan sijawahi kufika lakini nikifikiria barabara zao roho inaniumaa balaa. Mpango apambane. Mkoa ule una neema sana. Sana sana sana. Yaan serikali imeutenga mno. Ni mkoa wa kihistoria. Kwann wanautenga vile? Hata barabara tu kweli? Yaan nani atapeleka mabasi yake kule? Nani akatese malori yake kule? Basi japo lami wawakumbuke. Huduma zingine watajipelekea hata wenyewe raia ama taasisi mbalimbali kama za dini etc. Yaan wawape lami tu. Wanawatesa sana. Na waha ni wachapa kazi sana. Wale dagaa ilipaswa tutambe kidunia ila ndo hivyo tena

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wewe msenge mi ni mtoto wa kiume! Fala wewe! Kama huma hoja nenda kalele unazungumzia wanawake hapa inamaana wewe huma mama?
Ndo maana nikakuita mamamdogo maana unashoboka sana. Sukuma gang nn? Ndo hivyo tena. Kambi namba 3 hapa yatima hadeki.. unatakaje sasa? Yaan mutazidi kunyooka. Na ndo makosa hayatarudiwa tena manyooo... kajitawaze

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana nikakuita mamamdogo maana unashoboka sana. Sukuma gang nn? Ndo hivyo tena. Kambi namba 3 hapa yatima hadeki.. unatakaje sasa? Yaan mutazidi kunyooka. Na ndo makosa hayatarudiwa tena manyooo... kajitawaze

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Katawaze **** lako linanuka! Malaya mkubwa mbwa wewe!
 
Back
Top Bottom