Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
UKWELI KUHUSU SEKI
Kwanza si yatima, mama na baba yake wapo Ifakara na wapo hai. Ndugu zake ni hawa
Wiliuma Ndeketela (Mafinga) Edwin Ndeketela (Dar) Denis Ndeketela (Dar) Edah Ndeketela (Ifakara), Doris (UDSM), Prisca (Dar).
Ninayeandika hapa, mama yake na Seki ni mama yangu mkubwa toka nitoke na mama
yangu.
Si yatima (Seki) baba yake anaitwa David Ndeketela (72), na mama yake anaitwa Elizabeth Zacharia. Wako hai.
Hivi Shigongo anajua maana ya neo yatima?
Kwanza hao vijana kazi yao ni kuigiza, walikutaja moja kwa moja? Au unajihisi? Huu ni unafiki mkubwa sana.
Kaka yangu Seki si yatima, umeniudhi sana Shigongo
Kwanza si yatima, mama na baba yake wapo Ifakara na wapo hai. Ndugu zake ni hawa
Wiliuma Ndeketela (Mafinga) Edwin Ndeketela (Dar) Denis Ndeketela (Dar) Edah Ndeketela (Ifakara), Doris (UDSM), Prisca (Dar).
Ninayeandika hapa, mama yake na Seki ni mama yangu mkubwa toka nitoke na mama
yangu.
Si yatima (Seki) baba yake anaitwa David Ndeketela (72), na mama yake anaitwa Elizabeth Zacharia. Wako hai.
Hivi Shigongo anajua maana ya neo yatima?
Kwanza hao vijana kazi yao ni kuigiza, walikutaja moja kwa moja? Au unajihisi? Huu ni unafiki mkubwa sana.
Kaka yangu Seki si yatima, umeniudhi sana Shigongo