Waraka wa Shigongo kwa Ze Original Komedi

Waraka wa Shigongo kwa Ze Original Komedi

Kweli hawa vijana wamekosa adabu. waraka huu ni funzo kwa kila mmoja wetu, tupo makazini kuna siku tutatoka na kustaafu kufukuzwa etc na tutakumbuka makosa tuliyoyafanya nyuma kutojiandaa na maisha ya uzee. Hawa bado ni vijana na umaarufu wao unashuka si kama walivyoanza. siku hizi hakuna anayekatiza shughuli zake kuwahi ze komedi. Hiyo ni ishara tosha kuwa wnakwenda mwisho, na vimenza kuchosha watu. they are going out of fashion

huyo mhaya awaeleze wenzake: WAHAYA WANASEMA "ENTASIMA EKALYA OMUTIMA GWEMANZI" MENGI AMESAIDIA KUWAWEKA WALIPO
Na TBC1 wajue siku wakiwatema watawatukana hivyo hivyo kama wanavyofanya kwa Mengi.


Du kwa hiyo jamaa wamaishakula mutima gwa manzi sio. acheni dharau jamani wale wototo nao wemeingiza pesa nyingi sana kwa MENGI na pia naye aliwafuata sio kwa ajili ya kuwasiaidia tu alijua atafaidika nao KIBIASHARA mbona kuna vijana wengi hajawafuata kwa nini wao tu, nyie mlitaka wazeekee hapo EATV????

kwani ISSUE ni mengi tu hapa? mbona akina Pinda, Komba na walisemwa mkanyuti?

Nani ana uhakiaka kuwa hawa vijana hawajawekeza??????
 
Rutakyamilwa
user_online.gif

Rutakyamilwa has no status.
Junior Member

Rwabugiri
user_online.gif

Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member




''wale wale''!...............wamefanana kila kitu KAMA CHUPA ZA BIA
 
Rutakyamilwa
user_online.gif

Rutakyamilwa has no status.
Junior Member

Rwabugiri
user_online.gif

Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member




''wale wale''!...............wamefanana kila kitu KAMA CHUPA ZA BIA

Hahaha umeni chekesha hapa. Yani ume chunguza kiasi hicho? Anyways labda ni kufanana tu lakini siyo wamoja sijui.
 
Hahaha umeni chekesha hapa. Yani ume chunguza kiasi hicho? Anyways labda ni kufanana tu lakini siyo wamoja sijui.


ANGALIA WANACHOKIWAZA KUHUSU SHIGONGO,then utagundua kuwa HAWA NI NDUGU KWA KILA KITU
 
Ila I would like to go on record saying that siku baliana na tabia za kukashfu watu. Pamoja na kumsema Shigongo nabidi niseme na hawa ze komedi. Ina elekea nao wanaelekea upande wa bosi wao(Manji). Maana Manji kawa pangia nyumba, kawa nunulia magari na kawa peleka nje. Siku zote mtu aliye zoea kutembea peku siku za mwanzo viatu vita msumbua. Hawa vijana wenzetu wana bidi watambue mapema kuwa kama wana mfuatisha Manji watakuja kujuta. Mwenzao tajiri wao wakiishiwa sijui wata kimbilia kwa nani. Wana bidi waangalie kesho na kesho kutwa. Hapa nchini sasa kuna vita dhidi ya ufisadi so you are either for us or against us. kama wana tetea maslahi ya mafisadi waki shatupwa wasi geuke uoande. Wasije wakawa kama popo baba wakati wa vita dhidi ya ndege na wanyama, wakati wanyama wakishinda anajidai mnyama wakati ndege waki shinda ana jidai ndege.

Naona mada eme evolve sasa na hai husishi tu kitendo cha Shigongo bali pia na hawa ze komedi wapo upande gani. Siku zote mfanyakazi atamtetea bosi wake kwa hiyo msi shangae ze komedi kutetea ufisadi si wameajiriwa na Manji.

The point I've been trying to make is both Shigongo na ze komedi wana makosa nikaona ni bora pia nikasema na hao ze komedi. It's not about defending one side but defending what is right na natambua pia ze komedi wana makosa yao. Sija ponda ushauri aliotoa Shigongo ila sikubaliani na approach aliyo chukua.
 
Lakini penye ukweli usemwe...my take - Vijana wanapotea njia, kama nia yao ni kuchekesha ni wangapi kati yetu tulioangalia kipindi walichomuigiza Banza Stone (japo hawataji jina), wangapi mlicheka? Kuna mambo ya kucheka lakini kama nia ni kuelimisha jamii basi wawe wanatafuta mbinu tofauti tofauti. Maadili ya usanii sidhani kama yanaelekeza udhalilishaji. Mambo ya namna hii yanasababisha unyanyapaa wa kila aina. Tuelewane vizuri hapa unyanyapaa una sura nyingi na unaweza kuwa wa jambo lolote.
La muhimu, Seki think again...usiwe basi kama hao wanaokwenda nje ya maadili! Hata huyu aliyekuandikia waraka wewe na wenzio kama si mfuata maadili, ninyi yazingatieni. Kwani rafiki yako akijirusha kwenye cliff na wewe utafuata wakati unajua ni hatari?
 
Mbali na yote na tofauti zenu na huyu jamaa shigongo. Aliyoongea ni kweli kabisa kuhusu hawa vijana. Mtu mwingine yeyote angeongea hivi ni kweli kabisa hawa vijana wanahitaji ushauri kama huu. Mimi haya maneno nimeyatafakari na yana mafunzo makubwa kweli si kwa hawa vijana tu pia bali na wengi wetu. Jamaa ametoa maneno ya busara sana. Usimjudge the way you know him, judge huu waraka utakuta yuko VERY VERY RIGHT in most cases.
 
UKWELI KUHUSU SEKI

Kwanza si yatima, mama na baba yake wapo Ifakara na wapo hai. Ndugu zake ni hawa
Wiliuma Ndeketela (Mafinga) Edwin Ndeketela (Dar) Denis Ndeketela (Dar) Edah Ndeketela (Ifakara), Doris (UDSM), Prisca (Dar).

Ninayeandika hapa, mama yake na Seki ni mama yangu mkubwa toka nitoke na mama
yangu.

Si yatima (Seki) baba yake anaitwa David Ndeketela (72), na mama yake anaitwa Elizabeth Zacharia. Wako hai.

Hivi Shigongo anajua maana ya neo yatima?

Kwanza hao vijana kazi yao ni kuigiza, walikutaja moja kwa moja? Au unajihisi? Huu ni unafiki mkubwa sana.

Kaka yangu Seki si yatima, umeniudhi sana Shigongo
Ingawa sikubaliani na Ze Komedi kuamua kuweka kando maadili ya kisanii na kufanya madudu wanayoyafanya sasa kwa njaa ya hela tu!

Bali pia naona Shigongo ameenda mbali zaidi kuhusu u-yatima wa Seki.

Nilishawahi kuwasiliana na Edwin kaka wa seki anayeendesha kipindi cha ucheshi (kipya) channel ten kwamba bado wanawasiliana na wazazi wao. Sikujua kiundani sana ila ngoja niwatafutie ukweli kama kweli hawa jamaa ni yatima au la.

Ila mjue kwamba siku hizi heshima yooote inamwelekea mwenye hela ndo maana unaweza kumkuta kibabu kinatoa shikamoo kwa mjukuu wake kisa ni hela tu
 
Sioni kosa la Shigongo hapa, akiwa kama entrepreneur si vibaya kutoa nasaha kwa vijana wanaoonekana kujisahau.

Tuache kumshambulia Shigongo personally and instead tuangalie hoja yake. Vijana wangapi wanaibuka then baada ya muda wanakuwa ombaomba?

Manji ndo anawaharibu na wao kwa ujinga wao wanashindwa kujua pumba na mchele, inauma sana kuona watanzania tumekua watu wa kununuliwa kwa maslahi ya watu wachache.

Bravo Shigongo
 
Shigongo acha kutafuta umaarufu kwa Mengi ili asikuunganishe na wale anaowaita mafisadi papa,ukweli wewe mwenyewe ni mchafu mno na umeshavunja ndoa za watu kwa udaku unaoutoa ktk magazeti yako,tubu mara moja kwani kiama kinakaribia.
 
..JF ni jukwaa zuri la mawazo na uchambuzi.
Ukitazama mtiririko wa Shigongo wa watu mashuhuri waliododa haupingiki, hivyo bila kujali moral authority ya mtoa mada ni kweli hawa vijana wa orijino komedi wamelewa sifa na wanadhani wako juu ya jamii.
Hawana adabu,sio wachambuzi na wanaongozwa na maslahi binafsi zaidi ya hali ya halisi....

Kobe,
Kweli umenena. Mimi at times naona some JF members are not fair. Kwa kuwa wameanza kuattach personality ya Shigongo rather than discussing alichopresent. Watu wameshaanza kwenda kwenye magazeti yake! So to me that is not fair. Lets stick to the theme of the tread.
 
Reginald Mengi na vyombo vyake vya habari amesaidia kuwafikisha ninyi kwenye mwanga....

Kumbe RM ndio maana kulipa mshahara wafanyakazi ni mbinde..
 
Kwa kuwa Shigongo kakosea na inatazamwa kama hana maadili hata kushauri basi ZE COMEDY ORIJINO waendelee na tabia hiyo ya kuwacheka watu walioanguka.

Ndiyo ni tabia yao. Ni tabia yao kuanzia EATV walipomsakama Mr Nice, wakaja kwa wengine hata Mpakanjia, Mashaka na hivi karibuni mwanamuziki mgonjwa.

Ze comedy endeleeni kuifundisha jamii kuwa kumcheka aliyeanguka au aliyetaabani kutokana na masahibu yaliyomkuta ni jambo JEMA SANA.

Endeleeni kuinyea mikono mliyopitia kinyesi chote. Msisaze. Ifundisheni jamii hili nalo ni jema.

Ze comedy mdumu Shigongo zii.

Hizi ni tungo tata ama sijakuelewa! Kama vile kupondaaaa na baadaye kusifia!!
 
Nikweli "Tenda wema nenda zako usingoje shukurani" lakini unapo mtendea wema binadamu hutengemei tena kesho awe adui yako mkubwa, jamani huwa inauma sana inapofikia hivyo.

Orijino comedi na TBC1 wanaboa hasa wanavyo ichukulia hii vita ya ufisadi wemekuwa wakibeza watu wanao pambana na ufisadi hasa Mzee Mengi. Mfano press conference ya RA waliotazama TBC1 pekee walipata message tofauti lakini walio angalia ITV na Startv waliupata Ukweli, walicho kifanya wali-edit sehemu zote ambazo zilikuwa mbaya kwa RA ndiyo wakawawekea watanzania tofauti na jinsi ilivyo onekana Startv na ITV mfano akiulizwa maswali na Kubenea hatukuonyeshwa hicho kipande na sijui ilikuwa kwa manufaa ya nani na bado wanatuambia TV ya taifa eti "ukweli na uhakika", ufisadi mtupu kama vipi wa bado iwe kituo cha kutetea mafisadi….. aahh, hivi tutapata lini chombo huru kama Radio na TV station, labda swali kwa wana JF vipi mmefikia wapi kufungua kituo cha Radio na TV? Labda tutaondokana na huu uozo.

Nilikuwa nawakubali sana TBC1/orijino comedi lakini kwasasa thamani yao imeshuka sana kwangu kwani kitendo cha kuruhusu na kutukana watu wawa kebehi siyo Mzee Mengi kwangu mimi nakiona si cha kiungwana hata kidogo au wanamkomesha Mengi lakini wakumbuke kuna watanzania wanamuunga mkono Mengi na wao kama kioo cha jamii hawakupaswa kuwa upande mmoja hata kama wana ugomvi na Mzee Mengi inamaana leo hii watanzania wamekuwa walipa visasi sitakujua nani alikuwa sahihi kwenye issue yao na Mengi?

Kila mtu ana mapungufu yake; Mengi, Shigongo nk lkn kwenye ukweli acha uwe ukweli. Au hiyo package wanao pewa na Mafisadi nikubwa kiasi kwamba wamekosa uungwana. Ningependa kuwaona wakiwa fair kama zamani.

Wakumbuke watanzania wanawatazama na kujifunza kutoka kwao, na hiyo ni TV ya watanzania hivyo wawe wazi kama motto yao "Ukweli na Uhakika" sizani kama watanzania watakubali kuona chombo chao kikitumika kulinda mafisadi, kutukana.................
 
Pumba tupu, origino comedi medium wanayotumia siyo yao so ni kweli sometimes mwenye mali anaweza kuwapangia nini cha kufanya....lakini yanayoandikwa kwenye magazeti machafu ya Shigongo ni yeye ndiyo mwenye mali na ni yeye muhusika mkuu...huyu jamaa aache pumba na akae kimya
 
Anadai amewasamehe original comedy lakini hapo hapo anadai ataandika kuhusu YATIMA Seki ili iweje....amesamehe nini huyu Mzee KIJITI...

Magazeti ya huyu jamaa yamesababisha ndoa nyingi kuvunjia na hili ni zao la YATIMA...

Shigongo come on just stay aside mr born again fake
 
shigongo acha unafiki wewe mlokole.....

kuna mtu mchafuzi wa watu kama wewe tz? Amina chifupa ulimuandama na kumchafua kama weye msafi sana....hiki kijamaa ukikisikiliza unaweza dhani mt yosefu hapo anauma na kupuliza......

Yes Bro... unakumbukumbu nzuri sana, hili Lishigongo ni linafiki la kutupwa lilimuandama Amina hadi alipokuwa mahututi!! Amina mbona alikuwa mtu mdogo tuu! liliandika makala mfululizo wiki baada ya wiki!! makala nyingine ikatoka baada ya Amina kufariki!!! na halijaomba radhi hadi leo...then eti anajifanya mtu wa Mungu Mnafiki mkubwa! kama lina ubavu lifanye kama kina Kubenea kumenyana na watu ambao wanamadhara ya moja kwa moja na maisha ya mtanzania.
 
Shigongo acha unafiki wewe mlokole.....

Kuna mtu mchafuzi wa watu kama wewe tz? Amina chifupa ulimuandama na kumchafua kama weye msafi sana....hiki kijamaa ukikisikiliza unaweza dhani mt yosefu hapo anauma na kupuliza......

hehehe ndo maana anajificha kwa ulokole na anaua mademu kibao kwa kujificha kuwa yeye mlokole na mtu wa maadili kumbe wizi mtupu. Hivi ameoa kweli huyu jamaa?
 
Hakuna sababu ya kum chukia wala kumpenda. Wengi wetu hapa hatumjui binafsi labda kama wapo ndiyo wanaweza kutoa honest opnion about the persons character. Wengi hapa wana jadili kitendo chake siyo personality yake.



1. Hata zeutamu(kama umewahi kuisikia) nao ni mtaji but it doesn't make it morally right
2. Ni mkurugenzi mtendaji na mmiliki wa wa magazeti uta semaje wakulaumiwa waandishi? Kwani yeye haoni wanavyo andika? Mtoto akifanya kosa basi mzazi asisemwe kwa kumyamazia alaumiwe mtoto tu?




Umeona wapi mtu akiwa mlokole kwenye upande mmoja tu wa maisha yake? Kwa hiyo mchungaji aki hubiri watu wasizini kanisani ni ruhusa akitoka akazini? Ulokole is a way of life for those who know what ulokole means. Sasa ulokole wake una maana gani kama anaitumia anapo taka yeye tu?
Acheni kumjadili Shigongo.
 
Kama ni kweli Seki si yatima, yafaa adai fidia kwa kuzushiwa wazazi wake kifo. Ushauri wa kisheria vipi hapo?
 
Back
Top Bottom