Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

2009-08-28 09:38:00

Muslims split over election guidelines
14663.jpg

Muslim leaders from various parts of the country attend a seminar at Mtambani Mosque in Dar es alaam yesterday ahead of today's unveiling of 2010 election guidelines for Muslims.

By Beatus Kagashe and Mkinga Mkinga
THE CITIZEN

The Muslim Council of Tanzania (Bakwata) yesterday distanced itself from a document containing guidelines to voters on the forthcoming General Election, which a group of Imams is expected to launch in Dar es Salaam today.

The apparent split within the Muslim community on the issue emerged just a day after a group of hardline clerics announced they would unveil their election manual at Mnazi Mmoja grounds.

But reached for comment yesterday on the planned gathering of Muslim leaders, Dar es Salaam Special Police Zone Commander, Mr Suleiman Kova, said they were monitoring the developments and would issue a comprehensive statement today.

In his statement, the deputy Bakwata secretary general, Sheikh Mohamed Hamisi, categorically declared that they would not be party to the planned launch, as they had not participated in drafting the document.

The Muslim launch comes nearly two months after the Catholic Church started distributing to its followers countrywide a circular containing guidelines on how to choose good leaders in the civic polls later in the year and in next year's General Election.

Over 100 imams and sheikhs from across Tanzania Mainland are said to have converged on Dar es Salaam since Tuesday ready for the launch after the 'Swalatul asir' (late afternoon prayers). Yesterday, Sheikh Hamisi said: "We would like to inform all Tanzanians that we (Bakwata) are not party to the document and we did not participate in its preparation. We know nothing about it apart from reading about it in the newspapers."

However, he said, the Supreme Council of Islamic Organisations and Institutions in Tanzania (Shura ya Maimamu), who have authored the document, had the right to do whatever they wish as long they do not contravene the laws of the land.

"Theirs is an independent and registered organisation. But they simply have not consulted us on it," the cleric added. On Wednesday, the organisation's general secretary, Sheikh Ramadhani Sanze, said they had prepared their 'Mwongozo' (Guidelines), that, according to him, was intended to guide Muslims on important social and political issues ahead of the elections.

He said they had decided to released the circular after the Government failed to take action following the release of the Catholic Church�s Pastoral Letter on the elections.

"We do not have any problem with the Church. Our target is the Government, which failed to respond to that document," he said. "Even in 2005, we released similar civic education guidelines. However, what we are going to launch tomorrow (Friday) will now incorporate a reaction to the church document," he said.

The Shura ya Maimamu secretary general, Sheikh Ponda Issa Ponda, told The Citizen that more than 100 Imams from across the Mainland regions had come up with a collective stand on the elections.

But, he said, the main focus was on health, education, the economy, freedom of expression, and democracy. On Wednesday, the Government cautioned the Muslim leaders against issuing a document similar to the Catholic booklet, which has sparked controversy, with accusations that it could cause divisions in the country.

The Minister of State in the Prime Minister's Office, Mr Philip Marmo, advised the Muslims to avoid anything that could create disunity.

"Religious leaders should keenly weigh and consider the possible effects before launching such documents," he said.

Chama Cha Mapinduzi stalwart Kingunge Ngombale-Mwiru, who recently fuelled the controversy on the Catholic document by asking the Church to consider withdrawing it, arguing that it posed a threat to country, declined to comment on the Muslim leaders� initiative.

But speaking in Mwanza during a requiem Mass for Bishop Anthony Mayalla, which was also attended by President Jakaya Kikwete, Polycarp Cardinal Pengo warned the Government against meddling in religious affairs by censoring evangelical circulars.

He directed Roman Catholic bishops around the country to stop issuing such circulars if the government criticism persists.

Cardinal Pengo said: "I do not want to provoke anyone by saying this, but I want to know if Tanzania today is far from Poland's former communist government, and if the country is not heading in the same direction by trying to censor clerics' circulars."

Responding to Cardinal Pengo�s remarks, CCM secretary general Yusuf Makamba told The Citizen yesterday that the church leader had effectively closed debate on the issue.

"I have nothing to add to what the cardinal has said. I think his words have almost closed the debate," he said. "Everybody heard him and understood what he meant. What should I say when everything has been made clear by the cardinal?" he asked.

A lecturer at the Institute of Social Work in Dar es Salaam, Mr Andrew chomvu, challenged the Government o declare its stand on the election uidelines being issued by religious odies to avert religious conflicts.

Additional reporting by Frank Kimboy
 
Ndugu zangu waislamu, unganeni katika hili jambo ili kuikomboa Tanzania ambayo imetekwa na kundi la mafisadi. Wakristo bila kujali kama ni roman, anglikan, pentekost nk wameungana na kutoa kauli moja dhidi ya mafisadi. Kama kutakuwa na muungano pia kutoka kwa waislamu dhidi ya ufisadi itasaidia sana katika mapambano haya, lakini vinginevyo mafisadi wataendelea kutuumiza.
 
Jamani mwenye huo waraka wa Wakatoliki aniletee kwenye address yangu <ngida1@hotmail.com>
Mimi kwa kweli sioni ubaya wowote ule. Kila mwenye ideas zake kuhusu uchaguzi ujao mwacheni atoe. La muhimu mtu asiseme tu kama Wakatoliki wawapigie kura Wakatoliki wenziwao na Waislamu kadhalika.
 
kila dhehebu na dini watoe nyaraka tu ,hakuna tatizo ..tulisema weeeee tukaonekana hatumpendi rais ambaye ni chaguo la mungu na biblia akapewa sasa ni kuacha mambo yaende hivyo hivyo tu
 
Kama kuna mtu kashaupata naomba uweke peupe nami niweze somo. natanguluza shukurani.
 
Kwa kimombo wanasema "they should walk the talk this time around". Waislam wasitishie nyau kama wanataka kusikilizwa na serikali. Wasiwasi hapa ni kwamba kundi linalotambuliwa na serikali yaani BAKWATA wanonekana kuchomoa mapema na hii itakuwa ni shinikizo la serikali. Hata BAKWATA ingeamua kutoutambua Mwongozo wa akina Sheik Ponda bora kunyamaza. Binafsi naamini hizi harakati za "waraka "na sasa "mwongozo" matokeo yake yatakuwa mazuri kwa siku za baadaye. CCM na serikali yake itaacha hadaa zake (taking the population for granted) za kipuuzi. Tangu hapo hadaa kama "Maisha bora kwa kila Mtanzania" ilikuwa ni mbinu ya kujichotea kura (a take in for the votes) kirahisi na walifanikiwa. Ndio maana tunawambia wenzetu safari WASIDANGANYIKE!!
 
... kundi linalotambuliwa na serikali yaani BAKWATA wanonekana kuchomoa mapema na hii itakuwa ni shinikizo la serikali. ... serikali yake itaacha hadaa zake (taking the population for granted) za kipuuzi. !

Bifu la BAKWATA na kina Shehe Ponda serikali inaingiaje humo Mkuu Byasel?

BAKWATA imesema hii ishu ya Waislam kuandika waraka wa uchaguzi na wenyewe wameisoma gazetini, hawajui chochote, hawahusiki, hawakuombwa ushauri, hawakuwemo BAKWATA. Sasa utasemaje wamejitoa kwa shinikizo la Serikali? Kama wanasema uongo kina shehe Ponda wangewaacha? Si wangesema fulani na fulani wa BAKWATA walikuwepo wakati tunaandika waraka. Hebu usiingize serikali katika vi-bifu binafsi vya waislam bana.
 
Kwa nini mnauogopa na kuwekea mashaka Mwongozo wa Waislamu?

Mbona Ilani ya CCM ambayo nia yake ni kwa manufaa ya CCM hamuilalamikii?

Hata siasa si Imani? Kama CCM ni Wajamaa na wamelazimisha Watanzania wote kuwa Wajamaa bila hiari, mbona hamuoni kama hili lina kasoro?

Mwongozo wa Waislamu hautkuwa na tofauti na Waraka wa Kanisa Katoliki, Ilani ya CCM au hata zile za CUF, Chadema, NCCR au TLP?

Why Paranoia on the Mwongozo?
 
Bakwata siku zote hawataipinga Serikali kwenye lolote lile, imekuwa kama kitengo cha CCM. Wao ufisadi uliokithiri na unaopigiwa kelele ndani ya CCM na Serikali wala hawaoni kabisa! Hawa Bakwata nao ni mafisadi tu.
 
Jamani nani ana waraka wa waislamu wenzetu tuupitie. Itafaa tujue mapendekezo ya 2010.
 
Na Habari kuwa Madhehebu yote ya KIKRISTO yameungana na kukubaliana na waraka wa Wakatoliki zimedhibitishwa?

Ingekuwa ni hatuanzuri!
 
Bifu la BAKWATA na kina Shehe Ponda serikali inaingiaje humo Mkuu Byasel?

BAKWATA imesema hii ishu ya Waislam kuandika waraka wa uchaguzi na wenyewe wameisoma gazetini, hawajui chochote, hawahusiki, hawakuombwa ushauri, hawakuwemo BAKWATA. Sasa utasemaje wamejitoa kwa shinikizo la Serikali? Kama wanasema uongo kina shehe Ponda wangewaacha? Si wangesema fulani na fulani wa BAKWATA walikuwepo wakati tunaandika waraka. Hebu usiingize serikali katika vi-bifu binafsi vya waislam bana.

Kama hata BAKWATA hawakuhusishwa kwa nini wasikae kimya anagalau kwa kusema no comment. Kwa kukanusha mwongozo ni wazi nia yao ni to undermine it in the public eyes. Hatujazaliwa jana na hisia zangu zangu kwamba kuna mkono wa wakubwa nikimaanisha serikalini. Ni hisia zangu and history wibe the best judge in this. Serikali ina kila sababu ya kuwarubuni Bakwata kwa vile waislam wakiamua wote kufuata mwongozo ni dhari nani taumia na ni nani atanufaika. You need not be a rocket sciensit to know this!
 
Wakuu, mlio mnazi mmoja Dar vipi mwongozo wa waislamu umetoka? Tuna hamu ya kuuusoma na kuujadili. Tuambieni jamani.
 
Kwa nini mnauogopa na kuwekea mashaka Mwongozo wa Waislamu?

Mbona Ilani ya CCM ambayo nia yake ni kwa manufaa ya CCM hamuilalamikii?

Hata siasa si Imani? Kama CCM ni Wajamaa na wamelazimisha Watanzania wote kuwa Wajamaa bila hiari, mbona hamuoni kama hili lina kasoro?

Mwongozo wa Waislamu hautkuwa na tofauti na Waraka wa Kanisa Katoliki, Ilani ya CCM au hata zile za CUF, Chadema, NCCR au TLP?

Why Paranoia on the Mwongozo?

Hivi ilani, waraka na mwongozo ni kitu kimoja??

Nijuavyo mimi waraka na mwongozo wa hawa wana dini ni kuwaelimisha wananchi namna ya kupata viongozi bora wakati ilani inalenga waambia wananchi nini wategemee kutoka kwa chama iwapo watakipa mamlaka ya kuongoza nchi.
 
Ukweli ni kwamba wengi wa hao waliopo kwenye mkutano wanaishi kiujanja ujanja na wanapungukiwa elimu dunia ambayo CCM na UWT wameliona hilo na kutumia mwanya kuwaganya, divide and rule, mtu akishapewa laki tano akaambiwa akifanikiwa kuzima hoja kuna milioni inamsubiri unatarajia afanya nini?, ni kwamba kila atakapoona hoja inapata nguvu na kukubalika ndivyo yeye anavyoona ananyang'anywa ulaji na kuutetea kwa nguvu. Ninakuhakikishia kuwa hapo hapata patikana suluhu as long as long as miongoni mwao wanafanya kazi za CCM na UWT.
 
Hawa jamaa kuna mahali nimesoma kwamba hawawezi kuwa na waraka , hawana umoja , hawana uongozi, hawana kiongozi , sijui kama kuna wasomi wanao waongoza na wakiutoa basi si kama waraka katoliki lazima kila mstari utasema ndugu zangu waislam nk .Nina shauri tuendelee kuusamabaza waraka katoliki na kuuhubiri .Nawashauri waislama kama Mkandara sasa kugeuka na kuacha ku spin issues hapa waueleze waraka kwa kila mtanzania .Hatama ni wa kichungaji kama Mkandara anavyo sisitiza basi wakatoliki wanatangaza njia ya kuokoa toka mikononi mwa mnyama CCM kwa wakristo na watanzania wote ambao nina hakika wakiwemo waislam wanataka wokovu.Neno la faida huwafikia wote kama ambavyo Kanisa lime onyesha .
 
Rev . Kishoka za miaka mingi kaka .
Jamani nadhani hawa jamaa hawana waraka ana ndiyo wanataka waaanze kuandika maana wanaonekana hawajapeana taarifa za namna ya kuandika kwa kuwa wakubwa wao Bakwata wanasema ukwepo wao hawa kuhusika nao .Siamini kama kuna lolote na kama upo uleteni basi tuupitie hapa hapa.
 
Last edited:
Au zilikuwa Porojo? Anything going on kuhusu huo waraka jamani tujuzane, maana gharama za kuwaleta masheigh zaidi ya 100 from all over the country to dar es salaam nategemea ni lazima tuone outcomes zake
 
Back
Top Bottom