WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA


mfyuuuuu ujinga huuu wewe ndo mdini mkibwa alshababu weye
 
Jina ni jina achana na maneno ya watu coz hapo cdhani kama kuna shida yyt wala udini,,unachofanya ni kuelimisha jamii yahaya ni jina tu
 
uwezo wako mdogo sn wa kuchanganua mambo na uache udini c lazma uandike km huna cha kuandika
 
hyo ni sawa na muislam kwenda bar kunywa pombe afu then uanze kucomplaign kwamba umeseviwa pombe kwenye glassi yenye harufu ya mafuta ya nguruwe.
 
non sense ungekuwa unajua kama lugha ni sauti za nasabu usingeandika haya uliyoandika...
 
Kweli asee
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1380403076765.jpg
    32.9 KB · Views: 185

Mi nina wasiwasi we jina lako ni YAHAYA
 
Hay usomapo Lyrics za huu wimbo au uusikilizapo wimbo huu, replace jina la YAHAYA kwa jina la JOHN au JOSEPH....umeridhika? Username yako ni LIKUD...wale waasi/extremists wa Uturuki so tushajua behind ya ushauri wako. Kisheria hakuna hatimiliki ya jina moja kama hilo. Haya ushahara, kachukue posho yako kwa Ruge!!
 
Hata kama ni Yahya asiimbwe kisa dini? Namkumbuka Mario Abdallah Mgulunde...
 

Mkuu una uhakika gani mtunzi wa wimbo wa Yahaya sio MUISLAMU? Hebu acha hizo
 
Mleta uzi una tatizo kubwa sana la udini. Je, wafahamu kuwa kuna wakristu wengi tu wana wana majina ya kiislamu? Jina sio imani.
 
Yahaya akiwa tapeli na haeleweki eleweki haimaanishi waislam woote wapo ivyo, lengo la Jide ni kufikisha ujumbe na wala hakulenga dini.. Ni sawa na Juma Nature alivyoimba Mtoto Iddi, Offside Trick walivyoimba Ahmada, Nyimbo kama Mario nk.. Usifikirie sana dini coz zote zimeletwa na meli
 
yahaya unaishi wapi.....oooo yahaya.watu wadini kweli
 
wanatafuta sababu za kumwagia asidi jay dee!
 
Kaka umechanganyikiwa na kuvurugika kabisa! Unachofanya ni kujaribu kutulisha udini wako! Tanzania ina dini nyingi usitake kufanya watu wawe watumwa wa dini zao!!!!! Mbona kulikuwa na wimbo wa mtoto iddi na nyingine nyingi tu!!! Watu kaka wewe ndo wana akili za "Alshabab"! Fikra zako ni potofu...hazioni mbali zaidi ya udini na nina hakika wewe kabla ya kupanda daladala unamuuliza konda/dereva na abiria wengine kama ni waislamu au wakristo!:A S tongue:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…