WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

hapa hakuna hoja ila ni udini.unanzisha chokochok hadi kweny majina. so unataka kila msanii atumie jina la dini yake this is pointless hapo kaimbwa mtu sio dini. na mtu huyo imekuw kiwakirishi kwa wengne.na kutafuta vina.haya ss hebu remix yake sas kutoka kwako.
 
Yahaya si jina la kiislam,majina hayo yote yalikuwepo kabla ya uislam,kumbuka hata Saudia kuna wakristo,lakini hawaitwi John au Samuel nk,wanatumia majina hayo ya asili,waziri mmoja toka serikali ya Irak,alikuwa akiiitwa Tareck Aziz,ijapokuwa ni mkristo,kwa taarifa tu,majina yamekuwapo kabla ya ujio wa dini zote.

mpe somo.ndugu....
 
Mwanzisha uzi una yako. Unapekenyua ili kumweka jide kwenye mazingira mabaya. Huna lolote we ni msaliti tu. Imba wimbo wako isitie watu hasira hapa.
 
Mimi ni miongoni mwa mamilioni ya watanzania ambao wana ji identify themselves kama mashabiki wako wakubwa. But kina kitu kimoja ambacho kwa maoni yangu ninaona hakipo sawa . Nacho ni kuhusu wmbo wako uitwao YAHAYA. Wimbo wako ni mzuri na unaelimisha jamii but kwa nini usingetumia jina tofauti na YAHAYA. Kwanini ninasema hivyo?

1. YAHAYA ni jina la kiislamu, na miongoni mwa majina ya kiislamu yenye maana kubwa kwa waislam.
2. Wewe ni mkristo wa madhehebu ya wasabato.
3. Hapa kwetu nchini Tanzania kuna vugu vugu la waislamu na wakristo. Waislamu wamekuwa makini sana kwa kila kitu kinacho fanywa na mtu yoyote yule mwenye jina la kikristo hususani pale maslahi ya dini ya kiislamu ama jina la kiislamu linapotajwa. Sihitaji kulizungumzia hili kwa kina kwa sababu naamini huwa unafuatilia taarifa mbalimbali za habari so am sure as hell unafahamu ni kitu gani kinaendelea kati ya wakristo na waislamu Tanzania wakati huu.

( KITU CHA MSINGI KUELEWA HAPA NI KWAMBA, KITU CHOCHOTE KILE KITAKACHO TAJWA NA MKRISTO DHIDI YA UISLAMU AMA MUISLAMU KWA NAMNA YOYOTE ILE KINAWEZA KUCHUKULIWA KAMA KASHFA DHIDI YA UISLAMU )

Hivyo basi wimbo wako wa YAHAYA ingawa una ujumbe mzuri, but unaweza kukuletea matatizo na waislamu wa Tanzania ambao wanaweza kuuchukulia kama kashfa dhidi yao. Maadui zako wanaweza kuitumia hiyo kama loop hole na ku dress beef lenu kulifanya lionekane kama beef kati yako waislamu.

MAPENDEKEZO: Nikiwa kama shabiki wako, ninakushauri ubadilishe haraka iwezekanavyo jina la wimbo YAHAYA na kutafuta jina lingine lolote lile. Katika kutafuta jina nakushauri utafute jina ambalo halihusiani na jina la dini yoyote kati ya ukristo na uislamu. Unaweza kutumia majina yanayo tumiwa na watu wa dini zote kama vile MAWAZO.
Ukibadilisha jina la wimbo wako, utajijengea heshima kubwa sana kwa mashabiki wako ambao ni waislamu na watachukulia hiyo kama heshima kwao.
Sina mengi ya kuongea zaidi ya hayo. Natumaini umenielewa.

NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 13 YA LADYJAYDEE.
kwani wewe ni muislamu au mkristo
 
Nimeuleta hapa kwa sababu kwanza, najua atauona lakini pili najua here is the home of the Great Thinkers. Mnaweza kutoa ushauri wenu pia.

Kama we ni mshabiki wake Kama unavyosema ungejiandikisha kwake na ungeomba kuwa mshauri wake wa karibu mapema sana. Naamini Kama ungefanya hivyo ungefanikiwa kurekebisha hiyo Hali mapema. Sasa hv ni too late.
Pili hili suala la udini ni wewe ndo umelileta hapa na kwa mada yako hii inazidi kuchochea. Kwani hakuna kina Yahaya wezi na wavuta bangi wababaishaji huko mitaa unayoishi?
Acha kuwa myopic.
 
Hayo ni mawazo yake, sioni tatizo kubaki nayo. Yahaya atabaki kiwa Yahaya tu.
 
kazi ipo!

naupenda saaana huu wimbo!

 
Last edited by a moderator:
marijani rajab jabali la muziki aliimba nyimbo kama mayasa,masudi ,matilda na vick ni nyimbo zinazowakilisha tabia na wala hazihusiani na dini.tazama hamza kalala aliimba baba jeni.ndugu zinduka.
 
Hata bibi Kidude kaimba "Ahmada" umelewa
mr Paul kaimba "Zuwena"
marlow kaimba "Ritha"

sasa hapo vipi? urasimu tu
 
Naaaaaaaam hoja inawekwa mezaniiii na inapanguliwa kwa hoja,kiroho safi kabisaaa!.....hii ndo jamiforum,safi sana wadau.
 
au mleta uzi alitaka yatumike majina kama ngapulila,kalubandika,kalunde,tuma,ajuza na siwema?tufikiri kabla ya kutuma uzi!
 
Hapa si mahala pa kuleta pumba Kama hizo. What does the name means. Mbona majina mbalimbli yanatumika katika kueleza mambo mbalimbali.
OK fine nimekuelewa kuwa wee unauelewa udini kuliko udini wenyewe.
MTU anaweza Angea kit akiwa Hana intention unayofikiria
 
Chameleon aliimba jamila
Mwungine kaimba zuwena, name Kama alivyosema member hapo juu big kidude na offside trick wakaimba ahmada amelewa tena tokea Zanzibar kwa with wenye misimamo yao.
 
Nimependa sana mlivo mjibu..kwa mtu yyte atakae leta mada kama izo humu ajifunze kuwa apa sio fb..
 
Back
Top Bottom