...acheni mambo yako ya udini,inaonekana wewe si mtanzania
Mimi ni miongoni mwa mamilioni ya watanzania ambao wana ji identify themselves kama mashabiki wako wakubwa. But...................................
Ni Dar International!Masudi ..............Msondo Ngoma/Sikinde:
Hilo nalo nenoHakuna sekeseke la udini kwenye nchi hii. Ila kuna kakikundi kanatumiwa ili kuleta chokochoko za kidini.
We bwana nahisi unatumia mihadarati.
Mimi ni mkatoliki. Am just an open minded person
Ni Dar International!
kaka umeielewa lakini thread yangu
Ambaaa!upepo hakunajoto hasira
Nimesoma mashairi ya huu Wimbo!haunashida kwa imani yoyote.ukihofia sana uchawi hata mjusi wa kawaida utahisi ni wa uchawiSoma mashairi hapa : Lady Jay Dee: YAHAYA - LYRICS (By Lady JayDee)
Video bado haijatoka nadhani, but kama unaamini hilo halina tatizo kwa waislamu, then its okay, i w as just worried about her
Nimeuleta hapa kwa sababu kwanza, najua atauona lakini pili najua here is the home of the Great Thinkers.
kaka umeielewa lakini thread yangu
Kaka nimefikiria nje ya box..wewe hilo unaliona kama jina tu but wenye dini yao wanaweza kwenda mbali zaidi na kuona kama dini yao inahusishwa hapo. They can raise issues like kwanini litumike jina la kiislamu and all that. Just relax and think critically and may be u will understand what am talking about
- Siungi mkono ushauri wa mleta mada
- Siungi mkono "uhuru wa mawazo" unaouruhusu kuwaza alivyowaza mleta mada. Hakuna namna ubongo unaruhusiwa kuwaza hivyo. Hakuna. Nimesema hakuna.
Hivi dini ni kitu gani hiki kinachofanya watu wanachanganyikiwa hivi? Kwa namna dini inavyokuzwa hata Mungu inabidi awe muumini!! Dini inaogopwa kuliko Mungu mwenyewe!! Waafrika hao!!!
Dini dini, dini dini... mpwampwa..mpwampwa... kero bana!!
NB. Mleta mada usijipe moyo kwa kusema haya ni maoni yangu... maoni yako hayatakiwi kuwepo popote pale...iwe katika kichwa changu au chako.