Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Suala serious unaliongelea kwa pseudo name? Acha utoto weweee!!!!Wewe unacheka kwenye issue serious kama siyo kujifukiza cha Arusha ni nini?
Wasalimie ma Jah people mitaa yapo kijiweni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala serious unaliongelea kwa pseudo name? Acha utoto weweee!!!!Wewe unacheka kwenye issue serious kama siyo kujifukiza cha Arusha ni nini?
Wasalimie ma Jah people mitaa yapo kijiweni.
Mbona unahangaika kuomba watu waoteze maisha? Twambie kaya yako, ya jirani, ndugu, na rafiki wangapi una uhakika wameambukizwa au vifo kutokana na COVID-19.Kwenu marais wetu Wastaafu, Mwinyi, Mkapa na rais Kikwete.
Kwa heshima na taadhima inafikirisha kuwaandikia waraka huu baada ya kuwa kwa dhati kabisa, njia nyingi zimejaribiwa kushauri, kuhimiza, kuomba, kuisihi nk ili kuwepo mtizamo tofauti kuhusiana na ugonjwa huu.
Nchi hii ni yetu sote kiasi kuwa kwa yeyote yule, awe mkubwa au mdogo kunyamaza kimya tu wakati ni wazi kuwa labda tunakoelekea sasa siko, siyo jambo ambalo tunaweza kulichagua kama moja ya uwezekano tena.
Waheshimiwa katika nyakati tofauti mmewahi kupokea hatamu za serikali na kuiongoza nchi hii pendwa kama watakavyo kuja na kutoka wengine kwa njia za amani. Siyo siri kuwa kama marais wastaafu nafasi yenu ya kulitumikia taifa hili ingalipo. Ni wazi kuwa, katu marehemu baba wa taifa (rip) asingelikubali kuliacha taifa hili ambalo limekuwa la kupigiwa mfano siku zote kuangamia.
Waheshimiwa, msiliache taifa hili kuangamia na ugonjwa huu huku mkiangalia tu. Mnayo nafasi ya kuliunganisha taifa hili kuwa moja ili kwa pamoja tukaishinda Corona kwa salama.
Shime waheshimiwa msilinyime taifa hili hekima wala busara zenu, ambazo kwa hakika zinahitajika sana kwa sasa labda kuliko kipindi kingine chochote kilichowahi kupita.
Kwa umoja wenu kama wananchi wa nchi hii au katika nafasi zenu ka mtanzania mmoja mmoja mnayo nafasi ya kushauriana na mheshimiwa rais kwa niaba yetu sisi wananchi.
Umoja wetu utokanao na kushawishiana kwa nguvu za hoja si hoja za nguvu utatuvusha katika vita hivi.
Kama watanzania tunastahili kuushinda ugonjwa huu kama jambo la dharura kweli kweli vinginevyo kama ilivyo wazi, maisha ya wengi wetu yako hatarini mno.
Mungu ibariki Tanzania. Mungu tujalie salama tunavyomuunga kupambana na ugonjwa huu.
Nawasilisha.
Mbona unahangaika kuomba watu waoteze maisha? Twambie kaya yako, ya jirani, ndugu, na rafiki wangapi una uhakika wameambukizwa au vifo kutokana na COVID-19.
Njia sahihi zinazohimizwa na wataalamu ni za kinga, hivyo basi wewe na wapendwa wako, msiache kuzingatia.
JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
Bado unaomba watu wafe ndoto zako zitimie? Utasubiri sana kama ambavyo huwezi kukikamata kivuli chako.Mkuu hatuendi shule kutembea.
Maongezeko ya vifo wewe huyaoni na kuwa wewe huoni kuwa yako njiani na hatimaye yatakufikia tu?
Au wewe yote haya huyaoni mkuu?
Kwani yaliyowakuta wana makosa gani ambayo wewe huna? Hatuwezi kuwa na mkakati muafaka ukatuhakikishia usalama wetu sote?
Wanaturudisha nyuma Sana hao watuWewe ni zwazwa kuliko msukule. Unadhani kwa vile akili yako iko kwenye siasa basi kila mtu ni CCM au CHADEMA au chama fulani?
Au nyie ni mumiani mnaojipatia damu au nyama ya kula kwa kila mfu? Watu wa namna gani msiokuwa na chembe ya huruma nyie?
Huo uchadema unausomea wapi, msukule wahedi wee!
Hao wazee bado wanayo a Roll to Play, tena haswa Mkapa na Kikwete, kwani wao walihusika sana na mchakato wa kutuketea Magufuli.
Sasa kama Raisi Magufuli ni muungwana atawasikiliza hawa wazee, na watashauriana vizuri kwa manufaa ya nchi.
Lakini issue sio Cirona pekee yake, hali ya nchii inavyoendeshwa pia linahitaji kuangaliwa kwa makini, mengi yasio pendeza yanatendeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hatuendi shule kutembea.
Maongezeko ya vifo wewe huyaoni na kuwa wewe huoni kuwa yako njiani na hatimaye yatakufikia tu?
Au wewe yote haya huyaoni mkuu?
Kwani yaliyowakuta wana makosa gani ambayo wewe huna? Hatuwezi kuwa na mkakati muafaka ukatuhakikishia usalama wetu sote?
Hakuna asiyeogopa kifo. Kama kweli kuna maongezeko ya vifo, wananchi wasingeonekana wakiendesha maisha yao kama kawaida. Ukiibitisha mtaani kwako wangapi wamekufa na kufanya majirani mwogope na kujifungia ndani, nitaamini maneno yako. La acha uzushi.
Ni wanufaika wa mfumo hawawezi wazia we mwenye njaa, unafiki wa mtz ukimuona anapiga kelele au anamtetea mtz mwenzake ni sababu ya njaaSasa wao watafanya nini? Washauri kuhusu nini labda? au watoe suluhu ipi? ukiona kimya jua na wao hawana majibu
Hata Nyerere angekuwepo asingefanya kitu angefunua mdomo angekuwa jela uhujumu uchumi au yamkute ya wasiojulikanaHapana mkuu hawa wanaweza kuwa pekee wakombozi wetu kwa hali ya sasa.
Wanaogopa kufilisiwa mali zaoKwenu marais wetu Wastaafu, Mwinyi, Mkapa na rais Kikwete.
Kwa heshima na taadhima inafikirisha kuwaandikia waraka huu baada ya kuwa kwa dhati kabisa, njia nyingi zimejaribiwa kushauri, kuhimiza, kuomba, kuisihi nk ili kuwepo mtizamo tofauti kuhusiana na ugonjwa huu.
Nchi hii ni yetu sote kiasi kuwa kwa yeyote yule, awe mkubwa au mdogo kunyamaza kimya tu wakati ni wazi kuwa labda tunakoelekea sasa siko, siyo jambo ambalo tunaweza kulichagua kama moja ya uwezekano tena.
Waheshimiwa katika nyakati tofauti mmewahi kupokea hatamu za serikali na kuiongoza nchi hii pendwa kama watakavyo kuja na kutoka wengine kwa njia za amani. Siyo siri kuwa kama marais wastaafu nafasi yenu ya kulitumikia taifa hili ingalipo. Ni wazi kuwa, katu marehemu baba wa taifa (rip) asingelikubali kuliacha taifa hili ambalo limekuwa la kupigiwa mfano siku zote kuangamia.
Waheshimiwa, msiliache taifa hili kuangamia na ugonjwa huu huku mkiangalia tu. Mnayo nafasi ya kuliunganisha taifa hili kuwa moja ili kwa pamoja tukaishinda Corona kwa salama.
Shime waheshimiwa msilinyime taifa hili hekima wala busara zenu, ambazo kwa hakika zinahitajika sana kwa sasa labda kuliko kipindi kingine chochote kilichowahi kupita.
Kwa umoja wenu kama wananchi wa nchi hii au katika nafasi zenu ka mtanzania mmoja mmoja mnayo nafasi ya kushauriana na mheshimiwa rais kwa niaba yetu sisi wananchi.
Umoja wetu utokanao na kushawishiana kwa nguvu za hoja si hoja za nguvu utatuvusha katika vita hivi.
Kama watanzania tunastahili kuushinda ugonjwa huu kama jambo la dharura kweli kweli vinginevyo kama ilivyo wazi, maisha ya wengi wetu yako hatarini mno.
Mungu ibariki Tanzania. Mungu tujalie salama tunavyomuunga kupambana na ugonjwa huu.
Nawasilisha.
Hata Nyerere angekuwepo asingefanya kitu angefunua mdomo angekuwa jela uhujumu uchumi au yamkute ya wasiojulikana
Labda Kama wangepigwa njaa.TISS wangekuwa smart yaani kujali nchi kuliko mtu yasingekuwapo hayaHawa wanaweza kuwa waokozi wetu pekee waliobakia.
Ingependeza kama wote wasiopendezwa na hatua zinazochukuliwa bila kujali vyama tukaunganisha nguvu kuonana na marais wastaafu hawa kwa majadiliano.
Hili si la kisiasa hata kidogo.
Ni suala halusi la kizalendo.
Uzalendo hauna chama!
Labda Kama wangepigwa njaa.TISS wangekuwa smart yaani kujali nchi kuliko mtu yasingekuwapo haya
wazee wa watu kila wakipiga simu wanaambiwa wawasilishe ushauri wao kimaandishi. haaa haaa