#COVID19 Waraka wa wazi kwa Marais wetu Wastaafu kuhusiana na hali ya Corona nchini

Unafiki wa tz jadi yetu we uoni hata vioy wa dini wako kimya wanaogopa kufungiwa makanisa yao na misikiti yao wanaogopa watakula wapi,Kenya viongozi ya dini wako smart awaabudu chama au mtu wanasimamia kweli wala awawaogopi wahuni yajapo maslai ya watu
 
Usitegemee kupata ushauri au msaada kwa mtu aliyeshiba hasa mtz
 

Mkuu si wote. Wapo viongozi wa dini ambao wako vizuri sana tu. Si kama ambavyo wale uchwara uchwara walivyo.

Ukiwachanganya wote kwenye pakacha moja haitakuwa sawa.

Kumbuka wanasema njia ile iendayo kuzimuni ni pana.
 
Mkuu si wote. Wapo viongozi wa dini ambao wako vizuri sana tu kama ambavyo na wale uchwara uchwara wapo.

Kumbuka wanasema njia ile iendayo kuzimuni ni pana.
Labda wale wenye usajili wa kudumu msajili Hana ubavu wa kuyafuta
 
.....and two and half months later one of those you addressed in this thread is no longer with us! and the cause of his death is still SIRI KALI!

 
.....and two and half months later one of those you addressed in this thread is no longer with us! and the cause of his death is still SIRI KALI!

I wish mzee wa Msoga sees this before time times him.

Long live mzee wa Msoga. Macho na matumaini yetu kwako.
 
Reactions: BAK
Ahaaaaa. Mental disorders ahaaaa. Mimi sina mengi.

Shida sana mkuu. Bahati mbaya ni kuwa watu wa namna hiyo ndiyo manahodha wanaotuongozea chombo.

Pana ka wimbo kanasema:

"dereva,
akiwa shetani,
mwisho wake,
mwisho ni mauti."

Apumzike kwa amani rais Mkapa.

One down, two to go.
 

Kuchukua hatua ni jambo la msingi sana.

Wengi zaidi watanusuriwa kwa kuamua kuanza kuchukua hatua.

Hili si suala la kufanyiwa mzaha.
 
Kwenye red yalikuwa sehemu ya uzi huu May 8, 2020:



Mzee Kikwette unayo nafasi ya kuliokoa taifa hili.

Better late than never!
 

Mkuu uliona mbali sana, ila sikio la kufa halisikii dawa.

Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…