Waraka wa wazi kwa mwanangu Koku

koku huwa anacheka nikimwambia traditionaly kwetu wanawake walikuwa hawaruhusiwi kula senene wala nyama ya mbuzi wala firigisi.
 
kila siku jioni huwa anakwenda kucheza basket kwenye viwanja vya oysterbay polisi mkabala na nyumba ya ocd,karibu.
 
kila siku jioni huwa anakwenda kucheza basket kwenye viwanja vya oysterbay polisi mkabala na nyumba ya ocd,karibu.
Yule OCD ni family friend wetu kama huwa anaenda kucheza maeneo ya pale basi inshallah jioni naweza kuwa napita hapo walau niseme na Koku maneno mawili matatu nitamkaribisha nyumbani kwa OCD ili link ya familia yetu na ya kwako izidi kuwa kubwa..nafikiri kwa sasa hakuna kijana atakayemgusa maana baada ya kumtambulisha kwa OCD nitakuwa na uhakika wa kulindiwa Koku wangu..:eyebrows:
 
Mzee mwenzangu yote uliyonena nimekubalian na wewe kwa % 100, lakini hapo kwenye bold na nyekundu, mh! nimeshawishika kuweka mtazamo wangu, si unajua wazee wanapowashauri watoto wao kuna wakati huchota busara kwa wazee wenzao! Nomba niweke yangu machache hapa ingawa najua sio wengi wenye mtazamo huo.

Kwa mimi ningemshauri mwenetu Koku asome kwa bidii sana na aweke nguvu zake kwenye kujiajiri kuliko kuajiriwa, kwani huo ndio ukombozi pekee uliobaki kwa kizazi hiki tulicho nacho. Siku hizi yatupasa sisi wazazi tuonyeshe mwamko mpya wa kuwashauri wenetu kuweka uzingativu zaidi katika kujiajiri na kuwekeza, hata kama itatokea kuajiriwa, iwe ni njia tu ya kuelekea huko kwenye kujiajiri au kuwekeza.

Nakushukuru sana kwa barua barua hii ya wazi na sio kwa Koku tu bali pia naamini wenetu kama kina Cantalisa, Smile, Kabakabana na wengineo watakuwa wamenufaika na waraka huu.......................
 
Asante sana Baba Koku hii msg imeenda kwa Koku na kwetu pia ...ubarikiwe sana Bishanga Avatar yako imejaa hekima😛oa
 
waraka mzuri, umetulia.

Ngoja niedit kisha nauprint niubandike kwenye kitanda cha mwanangu, akikua aukute, utamsaidia sana. Hongera Baba Koku.
 
Ahsante baba, nimesikia.
Koku mambo baba si atakuwa ameenda kuoga sasa hivi nitumie namba yako ya siku basi..hakikisha hajui kama tunawasiliana fanya haraka kabla hajamaliza kuoga..
 
waraka mzuri, umetulia. Ngoja niedit kisha nauprint niubandike kwenye kitanda cha mwanangu, akikua aukute, utamsaidia sana. Hongera Baba Koku.
Kumbe badomdogo kabisa SL lol
 
Mdogo nani? Mimi au mwanangu?

lol wote wawili, kwangu mimi wewe mdogo, afu tena mtoto mdogo, so wote wadogo....afu kunigandisha pale stendi ubungo sio fresh (hivi si nilikuita nikunong'oneze)
 
lol wote wawili, kwangu mimi wewe mdogo, afu tena mtoto mdogo, so wote wadogo....afu kunigandisha pale stendi ubungo sio fresh (hivi si nilikuita nikunong'oneze)
Hahaha! Nilikuja sijakukuta! Hebu nnong'oneze sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…