Waraka wa wazi kwa mwanangu Koku

TF!!!!!!nakuweka kiporo,ngoja niangalie mechi ya aseno kwanza.
 
Ta Mtambuzi,nimekupata sana,tatizo kuna siku mdau Lizzy aliweka uzi kukemea utegemezi na yalisemwa mengi likiwemo la wazazi matajiri kuwazibia watoto fursa ya kutafuta wenyewe pa kutokea.Mkuu mimi ni mjasiriamali ndo mana sitaki kumshauri mtoto achukue route yangu maana nisingependa nimshawishi wala kumsukuma a join 'family business'.
 
Koku mambo baba si atakuwa ameenda kuoga sasa hivi nitumie namba yako ya siku basi..hakikisha hajui kama tunawasiliana fanya haraka kabla hajamaliza kuoga..
nshakwambia we umedata,kwanza mwone pua kama la Rejao!
 
waraka mzuri, umetulia.

Ngoja niedit kisha nauprint niubandike kwenye kitanda cha mwanangu, akikua aukute, utamsaidia sana. Hongera Baba Koku.
all the best SL,nakuaminia.
 
lol wote wawili, kwangu mimi wewe mdogo, afu tena mtoto mdogo, so wote wadogo....afu kunigandisha pale stendi ubungo sio fresh (hivi si nilikuita nikunong'oneze)
mkwe mkweee sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…