Warembo wa Bukoba

Haaahaaahaaa daaah[emoji16][emoji16]
 
kumbe ndo maana wewe ni mstaarabu!! kwa sababu umetembea na kuona maisha ya huko wengine!! nikawa najaribu kupiga picha yako mbona upo tofauti na wachangiaji wengine ambao ni wahaya..Wewe ni mkarimu.Big Up
Japo karibia maisha yangu yote nime ishi dar na kidogo mimetembelea baadhi ya mikoa nimejifunza mengi sana dar hili usavive lazima huwe na roho mbaya Moro ni wakalimu sana tatizo sio wapenzi wa kujichanganya na wengine..Bukoba wengi wana penda starehe na maisha mazuri na kuzungumza kihaya full time hawapendi kutumia kiswahili wanakutafsili vingine ata uwe umesoma vipi nchi zote duniani hile mentality ina kuwa ngumu kufutika kwa mgeni akifika bukoba lazima hapate wakati mgumu sana..Kimaisha bukoba sio pabaya msingi wa kuweza kufanikiwa na kusave lazima chakula kiwe available na bei nafuu kwa hilo bukoba ni nafuu sana
 
Nakuja field 3 months
karibu sana!! ukija tutafute tukutembeze!! bukoba nachopenda ni senene, nipo karibu na beach hapa ninapoishi...upepo mzuri wa beach ...naenjoy pia samaki sato na hali ya hewa nzuri sana,,,,
 
ha ha ha ha nimegairi siendi tena bukoba
 
Ndio wanaongoza kuuza mwili Tanzania nzima. Maggot
 
Sasa kama wazazi wako hawapendi chini wewe wamekupataje...
Heheheeee nyie vidudu mtu jibuni swali lenu hili

Hapo unakuta dada zenu bikira zote hamna lakini mko hapa mnaharisha tu,,, ma a ma e zenu

Sorry Jmujun
 
Achana na wapumbavu mdogo wangu wasikukaushe damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…