Warembo wa Bukoba

Ingia website ya TripAdvisor utakuta hotel zote za Bukoba.
 
Ubishi si mnaongoza nyinyi Moro..pili ukisoma lazima ujue mengi ndio ujuaji
Muwe mnawadanganya ambao hawawafahamu vizuri ambao hawajawahi fika huko...picha linaanza unashuka pale mjini kwenye kastand kenye madimbwi ya maji 😂 😂 😂 😂 😂 ....nenda huko sjui kyamulaile uwiiii
 
Muwe mnawadanganya ambao hawawafahamu vizuri ambao hawajawahi fika huko...picha linaanza unashuka pale mjini kwenye kastand kenye madimbwi ya maji [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....nenda huko sjui kyamulaile uwiiii
Narudia tena punguza chuki katika maisha yako
 
Maajabu haya. Yaan mtu wa morogoro anaongelea watu WA Bukoba?



Kuna kitu gan kizuri kutoka morogoro? Ushirikina na uchawi tu
Hahaaah mkuu nawafahamu vizuri huko kwenu kuanzia ibwera.....nyakibimbili...butelankuzi...butulage....kyamulaile...rubale...ruhunga...izimbya...kyamulailee...wasumbueni wasiowafahamu mkuu
 
Kaka wewe wa wapi?Maruku,kiziba,Izimbya,Kitendaguro?
Tukutane Linas club weekends tupige senene kidogo
Njoo nitakupa demu MNYAMBO mzuri sana lkn anakunywa sana bia bana!
 
Utabisha tu ila mimi niliambiwa mZungu alikutana na muhaya mdada wakafanya mapenzi ma ndio waleo upo TZ.
Sasa akawa anasambaza na hajijui na nisehemu mbali mbali sasa ndio akaja kufa kupimwa akagundulika kuwa anao zamani waliita UGONJWA WA WAZUNGU baada ya yule mdada kufa
 
Hapo uoni huu ndio utoto wenyewe ukimwi kuingia bukoba ulitokea Uganda asa maeneo ya mpakani ya athilika sana Wilaya ya Misenyi inayo pakana na Uganda ilipata janga kubwa sana vile vile mbeya uliingia kupitia mpakani asa Tunduma ukaenea mpaka Iringa uka athili sana makete na kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO ukimwi unao patikana kusini mwa janga la sahara ni hatari sana asa Zambia Zimbabwe South Afrika Lesotho eSwatin Malawi na maeneo yaliyo mpakani na hizi nchi nadhani ukienda wizara ya afya utapewa historia ya ukimwi vizuri zaidi..samahani nimekujibu kwa fact
 
Ukikataliwa aka kutolewa nje na mhaya nenda katambike hata kama haujui sound lazima ule mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…