Ingia website ya TripAdvisor utakuta hotel zote za Bukoba.Unajua watanzania bado sijui tatizo letu ni nini,hivi vitu kama hiyo Bunenena Beach,mahoteli au lodges za mikoa au wilaya,mbuga n.k kwanini wamiliki au mamlaka zinazohusika zisifungulie website ili iwe rahisi kuzipata hata kwenye mitandao kabla hata ya kufika eneo husika?unakuta mtu anataka kwenda Lindi inabidi aingie JF kuanza kuulizia hotel au vivutio vya huko! sijui hata tunakwamia wapi...?
Binamu na wewe unapenda kuosha macho?
[emoji28][emoji28][emoji28]
Hampati wivu kuona wengine wamejazia full number 8 halafu ukijiangalia ni flatHakuna asiyependa binamu. Hivi kwa nini huwa mnadhani sisi hatuwezi kuosha macho kwa wanawake wenzetu aisee
Muwe mnawadanganya ambao hawawafahamu vizuri ambao hawajawahi fika huko...picha linaanza unashuka pale mjini kwenye kastand kenye madimbwi ya maji 😂 😂 😂 😂 😂 ....nenda huko sjui kyamulaile uwiiiiUbishi si mnaongoza nyinyi Moro..pili ukisoma lazima ujue mengi ndio ujuaji
Narudia tena punguza chuki katika maisha yakoMuwe mnawadanganya ambao hawawafahamu vizuri ambao hawajawahi fika huko...picha linaanza unashuka pale mjini kwenye kastand kenye madimbwi ya maji [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....nenda huko sjui kyamulaile uwiiii
Hahaaah mkuu nawafahamu vizuri huko kwenu kuanzia ibwera.....nyakibimbili...butelankuzi...butulage....kyamulaile...rubale...ruhunga...izimbya...kyamulailee...wasumbueni wasiowafahamu mkuuMaajabu haya. Yaan mtu wa morogoro anaongelea watu WA Bukoba?
Kuna kitu gan kizuri kutoka morogoro? Ushirikina na uchawi tu
Mkuu sina chuki yoyoteeNarudia tena punguza chuki katika maisha yako
Mkuu acha majungu kwanini usiseme kwa talatibu watu wasisikieUmekuja peke yako au umekuja na mukaka wako?...
Kaka wewe wa wapi?Maruku,kiziba,Izimbya,Kitendaguro?Bukoba kuna warembo wazuri sana wenye misambwanda miguu ya bia na figa namba 8.
Wamegawanyika Watusi kwa hapa wanaitwa wanyarwanda pia wapo walio mix Wahaya na Watusi nakutoa watoto wakali.
Pia wapo Wanyakore ambao ni wazuri sana wengi wao ni weusi kwa mbali ni maji ya kunde.
Wahaya pia ni wazuri sana..Bukoba unakuta binti ni beki tatu lakini ni mzuri sana unakuta wengi wanao kuja huku upenda kufukuzia beki tatu kuepuka gharama.
Warembo wa hapa wengi wanapenda kuishi maisha ya kujitegemea hii inatokana wengi wameenda shule asa hawa ambao ni wahaya asilimia mia.
Wengi wanapenda kuolewa na wahaya wenzao hawapendi shida. Wana akili za maisha ni watafutaji wazuri wa hela ukifika Bukoba utakuta biashara kubwa wanamiliki wao.
Wanapenda kuzungumza kihaya hata hawe amesoma vipi au hawe mrembo kiasi gani hii inatokana na wahaya kukipenda kihaya sana.
Wengi wanapenda sana Kampala na shopping nyingi wanapenda kufanyia huko..Kama una swali uliza
Utabisha tu ila mimi niliambiwa mZungu alikutana na muhaya mdada wakafanya mapenzi ma ndio waleo upo TZ.Una maana gani punguza utoto aliye kuambia ulianzia kwetu nani?ngoja nikupe Elimu huu ugonjwa uliingia kupitia sehemu mbali mbali kwa mikoa ya kusini waliuopata kwa nchi jirani yaani Zambia Malawi na Mozambique na mpaka leo nchi za kusini zinaongoza kwa ukimwi ambao ni hatari kuliko sehemu nyingine kwa Kagera kuna dk alikuja kufanya kazi baada ya kuona watu wanaugua ugonjwa asio uelewa alimpigia rafiki yake ambaye ni dk huko ufaransa ambako nao waliathilika pakubwa alipomtajia dalili akamuomba na vipimo amtumie ndio ikatangazwa ni ukimwi umeeingia nchini lakini wagonjwa walikuwepo karibu Tanzania nzima asa mikoa ya mipakani na kusini wali athilika zaidi Mbeya Iringa na bado huko kuna sumbua mpaka leo
Chiz kwel ww...ahahahahahahhahaaKutaja bukoba bila kutaja katerero huu uzi unakuwa Invalid
Hapo uoni huu ndio utoto wenyewe ukimwi kuingia bukoba ulitokea Uganda asa maeneo ya mpakani ya athilika sana Wilaya ya Misenyi inayo pakana na Uganda ilipata janga kubwa sana vile vile mbeya uliingia kupitia mpakani asa Tunduma ukaenea mpaka Iringa uka athili sana makete na kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO ukimwi unao patikana kusini mwa janga la sahara ni hatari sana asa Zambia Zimbabwe South Afrika Lesotho eSwatin Malawi na maeneo yaliyo mpakani na hizi nchi nadhani ukienda wizara ya afya utapewa historia ya ukimwi vizuri zaidi..samahani nimekujibu kwa factUtabisha tu ila mimi niliambiwa mZungu alikutana na muhaya mdada wakafanya mapenzi ma ndio waleo upo TZ.
Sasa akawa anasambaza na hajijui na nisehemu mbali mbali sasa ndio akaja kufa kupimwa akagundulika kuwa anao zamani waliita UGONJWA WA WAZUNGU baada ya yule mdada kufa
Umalaya ni tabia ya mtu kwa hiyo wabena na wahaya ndio wanao jiuza mikoa yote TanzaniaWahaya wabena asili yao ni umalaya ukimkuta mtu huko kwako katulia unatoa sadaka.
Ahahahahah, kuliko waruguru na wapogolo??Lazima utetee kabila lako...alafu ni wabishi hao+ujuaji mwingi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kama mama yako asingelikuwa malaya usingelizaliwaWahaya wabena asili yao ni umalaya ukimkuta mtu huko kwako katulia unatoa sadaka.