Warembo wa Bukoba

Wahaya M8? Na wasukuma watakuwa M ngapi? We nyie ni kama M2.3 hivi
Wasukuma wapo milion 11.
Wahaya milion 8
Wachaga million 7.



Waishio Kagera ndo hao milion tatu. Ndo maana ndo mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu na population density tz baada ya dar na mwanza.

Fuatilia takwimu mkuu
 
Hakuna asiyependa binamu. Hivi kwa nini huwa mnadhani sisi hatuwezi kuosha macho kwa wanawake wenzetu aisee
Haifai, nyie osheni macho kwetu sisi sio kwa wenzenu.

"Unlike poles attract each other, like poles repel"
 
Haifai, nyie osheni macho kwetu sisi sio kwa wenzenu.

"Unlike poles attract each other, like poles repel"
[emoji3][emoji3][emoji3] unatubania hadi kuosha macho, tukienda mbali zaidi utafanyaje?
 
Mkikarimiwa mnalalamika, sasa watani zangu (Wahay) hafanyeje? We umeletewa kumbatio hafu unashangaa.

mkuu mi nilimpigia simu mfanyakazi mwenzangu yye ni mlokole alikuja na wife wake wakamchukua yule binti kukaa nae hadi nilivyoondoka ndio wakamrudisha kwao. lakini wenyeji hawakuwa wahaya, wenyeji wangu walikuwa na asili ya Uganda huko kuna kabila wamefanana sana na wahaya kitabia na wanasikilizana sana lakini hawakuwa wahaya
 
Mkuu mimi na watu wa bukoba nani anachuki na jamii nyingine...hivi kuna watu hapa tanzania wanaukabila kama wahaya??

Sio ukabira mkuu...hiii ilikuwa lazima kufanya kazi na mtu makin na mwelewa kama ww ni muhaya unamchukua muhaya mwenzio mana unajua hatokusumbua....wahaya wako smart mkuu.
 
Ok


Ila kaa ukijua jamii kubwa ya kihaya ni Catholics.( Ndo maana majina Yao huishia na us) hivyo ni jamii ya kuoa mke mmoja Tu wa ndoa.

We kama unachuki nao nakutakia chuki njema mama.
Anyway Mie ni mtutsi nawatetea Kwa sababu nawafahamu
Wao pilato au iskari yote
 
Kwan ukatoliki ni pilato na Iscariot?

We dada vip .
Elimu yako please maana naona kama wewe ni umeishia standard 4 tena kwa bahati sio umekosa hela ila utoro kutokana na umalaya ulikidhiri nanasikia umeanza shule ukiwa mkubw miaka 10 so la nne una miaka 14 naumesha balehe.
 
Elimu yako please maana naona kama wewe ni umeishia standard 4 tena kwa bahati sio umekosa hela ila utoro kutokana na umalaya ulikidhiri nanasikia umeanza shule ukiwa mkubw miaka 10 so la nne una miaka 14 naumesha balehe.
Ahsante mama.
Ila namhurumia Sana Mme wako na ukoo wako.

Usiku mwema.
 
Elimu yako please maana naona kama wewe ni umeishia standard 4 tena kwa bahati sio umekosa hela ila utoro kutokana na umalaya ulikidhiri nanasikia umeanza shule ukiwa mkubw miaka 10 so la nne una miaka 14 naumesha balehe.
Nimefuatilia post zako na kuona nyuzi zako nimeshajua wew ni mtu WA aina gan.

I pray for you
 
Chonka naiwe munywanyi wange okagila omuda gwo kuholola,, egyo nkolya ko gileka ne eilalu lyako

Ataeniquote utumbo ajipange shenzi zenu wote mnaoituita malaya badala mkomeshe umalaya wa waliozaa huko mxiiiiieee
Sometimes inanibidi aisee.


Watu wanakuwa na chuki za kiboya bila ya sababu ya msingi.
Hajui kwamba hii ni media na watu wengi wanakuchora tu.


Nimekuja kujua sababu ya wahaya wengi kuwadharau watu wa makabila mengine na kuwaona maboya mpaka kuwaita wanyamaanga . Ni tabia za kipumbavu na kuongea bila proof na logic Kwa watu hao na chuki zisizo na maana. Ndo maana unakuta wahaya wengi ( hasa wenye vyeo) hawamachi na waongozwa.
Angalia UDSM,bugando,kairuki,st Mary's nk
 
Chonka naiwe munywanyi wange okagila omuda gwo kuholola,, egyo nkolya ko gileka ne eilalu lyako

Ataeniquote utumbo ajipange shenzi zenu wote mnaoituita malaya badala mkomeshe umalaya wa waliozaa huko mxiiiiieee
Kumbe ni wakule kibeta, rwamishenye,
ndio mana huwa una maakili mingi mungi

Relax; nani anakuchokoza
 
Sio ukabira mkuu...hiii ilikuwa lazima kufanya kazi na mtu makin na mwelewa kama ww ni muhaya unamchukua muhaya mwenzio mana unajua hatokusumbua....wahaya wako smart mkuu.
Tofautisha u smart na ukabila...wale jamaa wanaukabila sana
 
We uoni wameshaanza kilugha hapa jukwaani? ila wanapenda kujisifia, sasa fuatilia maisha.yake halisi utaachwa mdomo wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…