Warembo wa Bukoba

Warembo wa Bukoba

Namiliki kiwanda cha maji na manager yupo!! Nimesikika au niongeze sauti
Nimesikia jamaa anazungumzia urithi wa dunia,niunganishie kwa Manager natafuta kazi hata ya kupiga deki kiwandani.
 
Chonka naiwe munywanyi wange okagila omuda gwo kuholola,, egyo nkolya ko gileka ne eilalu lyako

Ataeniquote utumbo ajipange shenzi zenu wote mnaoituita malaya badala mkomeshe umalaya wa waliozaa huko mxiiiiieee
baassii..basi sio malaya,,ila mna huruma sanaa
 
Chukua mshamba number 1 wa Kagera na mjanja number one wa Moro waweke eneo moja la jiji kali ambayo wote sio wenyeji.

Rudi baada ya mwaka kuwaona. Umewahi kujiuliza kwa nini matapeli wengi ni Wahaya?. Na unakuta kaja mjini ashakuwa mkubwa.
Na wanawatapeli hao hao wajanja.
Duh! Hili la matapeli kuwa wahaya nalisikia kwako. Ninachojua mimi matapeli wengi wa kaskazini
 
Back
Top Bottom