Warembo wa JF, ulivutiwa na mchezaji gani kwenye kombe la dunia 2018?

Warembo wa JF, ulivutiwa na mchezaji gani kwenye kombe la dunia 2018?

Mie alinifaa LUKAKU hasa kwenye ile mechi ya raundi ya 16 bora dhidi ya Japan hasa pale alipoachia mpira upite kisha kumuacha CHADLI afunge bao la tatu na la ushindi dakika za mwisho mwisho.
Huu ni muandiko wako kweli??[emoji23] [emoji23]
 
Rafiki wewe ni mnafiki kwa sababu ingeshinda nchi nyingine kama vile Brazil au England au Belgium leo usingewataja hao akina Ngolo uliowataja leo!![emoji30][emoji30][emoji30]
 
Back
Top Bottom