Unaweza ambiwa jina na wewe hamuendani, toa hiyo Gent weka mchimba chumvi.
Ila inshu za kufunguliana thredi siyo kabisa, Yaani unapanga kabisa kesho nafungua thredi special kwa... dah!
Halafu huyu bibie akikataa tusionane, mtoa mada utakuwa umechangia 99%
Ninakukata stimu ?Kipanga unazingua
Kheeeh wee huogopi kabisa? Mmmmhbinafsi siwezi kuogopa kuonana na mtu wa jf kwa maneno ya mja
mie atakaye asije na maandishi tu aje na picha kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanin utumie id nyingine kusema mapungufu ya wengine
Maana yake hujiamin na wew una mapungufu
Ungetumia id yako halisi wapate kukuchambua punguza umbea
siogopi manake nao wana kasoro zao kibao tu tunawastiriKheeeh wee huogopi kabisa? Mmmm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mungu wangu!! Wee mbavu sio zangu khaaaah.Tatizo huyu bwege kaenda kutongoza kule jukwaa la siasa. Watu wanabishana na kina Lissu unategemea watakuwaje?
[emoji23][emoji23][emoji23] jamani mbna, mnanivunja mbavu lolUmeyataka mwenyewee si tulishakubaliana humu tumejaa vibibi vya mwendokasi na sura za babu.
Aseeeh ila ni kweli pia.siogopi manake nao wana kasoro zao kibao tu tunawastiri
Nakazia.Ulete mrejesho
Nitakupa, tuombe uzimaUlete mrejesho
PoaNitakupa, tuombe uzima
Nitaomba kuonana nae baada ya mwaka mmoja hivi, bila shaka atakuwa amesha isahau hii thredi.Nakazia.
Duuuuh hii hatareeh sasa lolNitaomba kuonana nae baada ya mwaka mmoja hivi, bila shaka atakuwa amesha isahau hii thredi.
Hakuna namna mkuuDuuuuh hii hatareeh sasa lol
Nitaomba kuonana nae baada ya mwaka mmoja hivi, bila shaka atakuwa amesha isahau hii thredi.
Huyu anakuwa kama rafiki tu, sina mpango wa kumuomba mbususu.Mbali hivyo ataolewa shauri yako
Omba leo leo hii
Huyu anakuwa kama rafiki tu, sina mpango wa kumuomba mbususu.
Ni outing ya kawaida kabisa, menyu + stori.
Ni ajabu eeh?Mmmh