Chunusi sio ugonjwa.hajui balaa la chunusi huyu. Kuna watu wanahaha nazo
ohoo hapa inachanganya mafileSerious? Utoto raha sanaaa.
Hivi ndie anaitwa simbilisi?
labda ni tofautiChunusi sio ugonjwa.
Kuna aina mbili za ngozi:
Ngozi kavu na
Ngozi yenye mafuta.
Sasa wewe kama ngozi yako ina mafuta ya asili na bado unapaka mafuta mengine na lotion tena na Glycerine juu lazima ngozi ishindwe kupumua hivyo kusababisha chunusi.
Wenye CHUNUSI wapake mafuta kidogo sana pia kwenye lotion wasiweke Glycerine. Wakipata zile lotiona za LEMON ni nzuri sana kwa ngozi zao.
Usiku wanapoenda kulala waoshe uso na sabuni wasuuze vizuri wasipake kitu chochote walale hivyo hivyo. Baada ya wiki hutaona chunusi hata moja.
Ukiwa na mafuta kwenye ngozi ukipaka tena mafuta mazito vile vitundu vinaziba ndio vinatengeneza CHUNUSI. Ndio maana nimesema chunusi sio ugonjwa ni watu tu tunaziba vile vitundu vya ngozi kupumua.labda ni tofauti
uso wangu ni wamafuta kuna wakati nilipata chunusi
nikashauriwa nipake mafuta
kwa sababu uso ukikosa mafuta unajitengenezea mafuta na kufanya chunusi
kwa sasa my skin is glowing
M nakwambia wapo ambao zimegomaChunusi sio ugonjwa.
Kuna aina mbili za ngozi:
Ngozi kavu na
Ngozi yenye mafuta.
Sasa wewe kama ngozi yako ina mafuta ya asili na bado unapaka mafuta mengine na lotion tena na Glycerine juu lazima ngozi ishindwe kupumua hivyo kusababisha chunusi.
Wenye CHUNUSI wapake mafuta kidogo sana pia kwenye lotion wasiweke Glycerine. Wakipata zile lotiona za LEMON ni nzuri sana kwa ngozi zao.
Usiku wanapoenda kulala waoshe uso na sabuni wasuuze vizuri wasipake kitu chochote walale hivyo hivyo. Baada ya wiki hutaona chunusi hata moja.
Simbilisi kuna mtu alinikamatia nikabebe kasweet. Nilitamani kukafuga kama pet.ohoo hapa inachanganya mafile
simbilisi nilimwona iringa ni kama panya ila mkubwa!
Navipenda visimbilisi mm jamaniSimbilisi kuna mtu alinikamatia nikabebe kasweet. Nilitamani kukafuga kama pet.
haaaa unapenda pets?Simbilisi kuna mtu alinikamatia nikabebe kasweet. Nilitamani kukafuga kama pet.
M nakwambia wapo ambao zimegoma
Bwana we au sa nyingine zinatokea ukiingia mwezini tu, na ndo ukakutana na mwana jf hapo juuChunusi aisee ni unpredictable.
Ukitulia home huna hili ama lile uso unakuwa very smooth.
Ngoja uwe na mtoko. Lol
Sanaaaaaaaa.haaaa unapenda pets?
mimi hapana sipendi mnyama asiyelika
Afu atakuja kukunyoosha huku.Bwana we au sa nyingine zinatokea ukiingia mwezini tu, na ndo ukakutana na mwana jf hapo juu
Nimemuona bwana. Na kama umegundua humu waleta vurugu ni vijana wa 20's. Ndo bado wana mihemkoAfu atakuja kujinyoosha huku.
Ila ni wavulana tu ndo wanazinguaga.
Infantry Soldier umemsoma? That's the ideology of a man.
nilikuwa na paka wangu alikufa nililia siku mbili. Toka hapo sipend kufuga paka tena, akifa anaumiza mno!Sanaaaaaaaa.
Dogs sanaaa.
Cats nilipunguza mapenzi manake wakifa naumia sanaaa.
Ila nikipata kazuri kenye manyoa nitafuta home.
Mimi siyo km mleta mada..km nilikuahidi sitakutupa kwenye kulimwaga kitandani,chunusi haziwezi kuwa barrier baina yetu.Nitaishi nazo Tu kiroho safiNa hizi chunusi za wazi nilizonazo kama fenesi aah hapana sitaki[emoji3] huyu mleta uzi kawaponza wengine hata wenye nia njema
Naelewa maumivu yake. Pole.nilikuwa na paka wangu alikufa nililia siku mbili. Toka hapo sipend kufuga paka tena, akifa anaumiza mno!
Sijui nitamwambia nn Mimi Kaka mkubwa ExtrovertNini sasa[emoji3]
Yes nimemsoma mkuuAfu atakuja kukunyoosha huku.
Ila ni wavulana tu ndo wanazinguaga.
Infantry Soldier umemsoma? That's the ideology of a man.
Umesomea vizuri Mkuu.Yes nimemsoma mkuu
Watu kama hao ni utoto tu ndio unakuwa unawasumbua na anashindwa kujua romance ni zaidi ya sex na show-offs za Facebook na Instagram.Umesomea vizuri Mkuu.
We need some of our JF men to change the perceptions of these younger men.
Msiwakatie tamaa.
Guide them.