Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Masai hausiki,hao wamejaa beach,kwa ajili ya kupiga picha na wazunguHuyu Masai inatakiwa atafutwe aisaidie serikali; aseme hata huongo kuwa alimla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masai hausiki,hao wamejaa beach,kwa ajili ya kupiga picha na wazunguHuyu Masai inatakiwa atafutwe aisaidie serikali; aseme hata huongo kuwa alimla
Mlinzi Ni victim wa kukosa ethics!lakini hii kitu ulikuwa planed na am sure mlinzi hakumtongoza huyo dada,akipata wapi guts za kutuingiza binti Kama huyo?huyo dada kajilengesha then kageuza kibao.... Nigerians wametuzidi speed wabongo,kaeni hapo kumtetea huyo dada!Hamna mbakwaji pale slay queen mzima akipata wapi muda wa kutongozana na mlinziWewe ndo unatetea ujinga. Mlinzi kulala na mteja sehemu ya lindo ndio ujinga wenyewe huo. Siyo maadili ya kazi hayo. Yeyote anayetetea mlinzi kulala na mteja sehemu ya kazi, anatetea ujinga.
Ukweli ndio huo mkuu, wateja wengi wanaokuja wako wenyewe huomba kutafutiwa kampani nyakati za usiku. Na mwenye hotel au mameneja hawakatai wanaona ni sehemu ya kumfanya mteja aifurahie trip yake.Inaonekana dunia imefika wakati wa Sodoma na Gomorrah. Yaani hakuna maadili tena. Katika biashara, mtoa huduma haruhusiwi kuwa na mahusiano na mteja, achilia mbali kufanya mapenzi na mteja sehemu ya kazi. Huo ndio ukweli. Ukifikiria kisodoma na gomorrah, utaona ni sawa tu kulala na wateja kazini.
Kama umifanya utafiti wanawake wengi wanaokwenda kutalii pekee yao Huwa Wana motives yao na wengi wao huliwa sana
Scammer tu huyu Kaplan kila kitu
Kuna utalii wa ngono pia kwa jinsia zote.Hata vibibi uja kupeanaKwahiyo mlinzi anatakiwa awajibishwe lakini sio sasa msaidie kuchochea Hili suala.
Kama umifanya utafiti wanawake wengi wanaokwenda kutalii pekee yao Huwa Wana motives yao na wengi wao huliwa sana
Utakuwa unashida ya kuelewaMtu akija kazini kwako kwa nia mbaya, haina maana kuwa ukubali kutimiza nia yake mbaya hiyo. Haina maana kuwa umpe ushirikiano. Ungekuwa mwenye hotel wewe, ungeruhusu wafanyakazi wako (Ke/Me) walale na wateja hapo hotelini kwako?
Mlinzi Ni victim wa kukosa ethics!lakini hii kitu ulikuwa planed na am sure mlinzi hakumtongoza huyo dada,akipata wapi guts za kutuingiza binti Kama huyo?huyo dada kajilengesha then kageuza kibao.... Nigerians wametuzidi speed wabongo,kaeni hapo kumtetea huyo dada!Hamna mbakwaji pale slay queen mzima akipata wapi muda wa kutongozana na mlinzi
Ni moja ya masharti kabla ya kazi.Pia wengi wametoka kimaisha kwa kupeana na wageni.Tatizo hilo limesababishwa na mwenye hoteli kwa kutokua na masharti magumu kwa wafanyakazi kuhusu uhusiano na wateja kazini.
Sharti moja muhimu ni mfanyakazi kutojihusisha kimahusiano hotelini, hii huepusha mitego dhidi ya hoteli.
Kwahiyo mlinzi anatakiwa awajibishwe lakini sio sasa msaidie kuchochea Hili suala. = Kiswahili gani hicho sasa!!
Kama umifanya utafiti wanawake wengi wanaokwenda kutalii pekee yao Huwa Wana motives yao na wengi wao huliwa sana
Hospital ni tofauti na maisha ya hotelini , hotelini watu wanakuja kustarehe na kufurahia maisha pamoja na kutumia pesa zao zisizo na kazi, mfano mteja anataka massage afanyiwe body to body chumbani kwake na hiyo huduma Ipo unadhani meneja hajui km zoezi la kuliwa mtoa huduma linaweza kutokea unadhani kavunja maadili ya kazi hapo, hapo ndio kamfanya mteja azidi kupenda huduma za hapo. Huko kinachoangaliwa mteja afurahi Tu na siyo maswala ya ethics za kazi , Dunia ndipo ilipofikiaKwa hiyo ukiwa daktari, muda wako wa kazi ukaisha, unaweza kulala na mgonjwa wako, tena hapo hapo hospitalini? Umetoa hoja ya kijinga, wewe na mlinzi.
Scammer tu huyu Kaplan kila kitu
Kuita Danga siyo sawa sababu unakuwa umeshafanya judgement yako.Sasa unatulaumu sisi au madanga?
Yaani sisi tusiache kusema Zanzibar is safe just because of Nigerian whores?
How many places are not safe in Africa but still they receive thousand of tourists?
Is Jozi safe?
Is Cape Town safe?
Is Lagos safe?
Huko dar es salaam, body body wapi hotel niende nikaoneHospital ni tofauti na maisha ya hotelini , hotelini watu wanakuja kustarehe na kufurahia maisha pamoja na kutumia pesa zao zisizo na kazi, mfano mteja anataka massage afanyiwe body to body chumbani kwake na hiyo huduma Ipo unadhani meneja hajui km zoezi la kuliwa mtoa huduma linaweza kutokea unadhani kavunja maadili ya kazi hapo, hapo ndio kamfanya mteja azidi kupenda huduma za hapo. Huko kinachoangaliwa mteja afurahi Tu na siyo maswala ya ethics za kazi , Dunia ndipo ilipofikia
🏃🏃🏃🏃🏃🏃Huko dar es salaam, body body wapi hotel niende nikaone
Huyu alikuwa anatafuta followers na kawapata Jana alikuwa na watu 4000.
Ni kakuda! sema sjui lile jeshi letu la mitandaoni lmepotelea wapi?Huyu alikuwa anatafuta followers na kawapata Jana alikuwa na watu 4000.
wewe choko tu kwani inakuhusu acha ushoga,Hivi ukiandika kwa Kiswahili badala ya kutumia huu ugoko utapungukiwa na nini?
Kwa hiyo hapo Kuna maajabu gani?