Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hakika!The word tourism has lost its meaning!Acheni kudhalilisha utalii toka lini mtalii akatoka Nigeria.
Nigerian ni watafuta fursa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika!The word tourism has lost its meaning!Acheni kudhalilisha utalii toka lini mtalii akatoka Nigeria.
Nigerian ni watafuta fursa
Wewe ingekuwa mlinzi ungekataa?hebu tuanzie hapo so ungeona Ndio fursa wewe?Umejaza assumptions kwenye assertion yako. Ukweli ni kwamba mlinzi mwenye maadili yake ya kazi, alitakiwa kukataa hata kama alitongozwa na mteja. Utetezi wako ni sawa na mtu mzima anayeshitakiwa kwa ubakaji wa mtoto wa miaka 16 mahakamani aseme kuwa hakubaka kwa vile mtoto alikubaliana naye. Huo hautakuwa utetezi wa kumwondolea hatia.
Nothing just kama mtu anataka kumfahamKwa hiyo hapo Kuna maajabu gani?
Wewe ingekuwa mlinzi ungekataa?hebu tuanzie hapo so ungeona Ndio fursa wewe?
Wacha niwe Sina tu akili,but I can't buy thisKukubali ama kukataa, hakubadilishi ukweli wowote. Wanaolala na watoto underage kwa sababu ya kushawishiwa na watoto hao, mwishoe ula mvua ya miaka 30 jela. Ushawishi wa mtoto hauwezi kuwa ushahidi wa kumtetea mtu anayelala na mtoto mdogo kisheria. Hivyo hivyo, ushawishi wa mteja wa hoteli, hauwezi kuwa utetezi wa mlinzi anayevunja maadali ya kazi yake. Kama hauna akili ya kuona hilo basi 🙌
Ingetokea kwao Angeongeaa! Pumbafff zake huyo...kwani ni Bikra.
Asante!n sorry kwa my previous quiz.Ni kweli nimemuangalia lifetyle yake na Hushpuppy zinashabiiana..Nothing just kama mtu anataka kumfaham
Hakuna matajiri kwa Afrika kama wanigeria asikudanye mtuAcheni kudhalilisha utalii toka lini mtalii akatoka Nigeria.
Nigerian ni watafuta fursa
Akikujibu nishtueWewe ingekuwa mlinzi ungekataa?hebu tuanzie hapo so ungeona Ndio fursa wewe?
Bila shaka unabisha kitu ambacho huna uelewa nacho.Kukubali ama kukataa, hakubadilishi ukweli wowote. Wanaolala na watoto underage kwa sababu ya kushawishiwa na watoto hao, mwishoe ula mvua ya miaka 30 jela. Ushawishi wa mtoto hauwezi kuwa ushahidi wa kumtetea mtu anayelala na mtoto mdogo kisheria. Hivyo hivyo, ushawishi wa mteja wa hoteli, hauwezi kuwa utetezi wa mlinzi anayevunja maadali ya kazi yake. Kama hauna akili ya kuona hilo basi [emoji119]
Mmmhm NO! usiwakuze, population ya Nigeria Ni kubwa,matajiri Ni wengi ndio na maskini Ni wengi pia,vibaka wezi na matapeli wapo kibao maana hata Nigeria wao wana Shida ya ajira so kusema huwezi kwapuliwa sio kweli anything can happen.Hakuna matajiri kwa Afrika kama wanigeria asikudanye mtu
Kule kuna ma dangote kibao
Kule ukifika ukitaka kubadilisha pesa dereva taxi anafungua buti ana maburungutu ya minoti kibao ya dollar ,euro'pound na Naira anakubadilishia chap chap
Kule ukipanda daladala usitarajie kuna kibaka atakukwapulia pesa hata mwanae vipi
Hakuna matajiri kwa Afrika kama wanigeria asikudanye mtu
Kule kuna ma dangote kibao
Kule ukifika ukitaka kubadilisha pesa dereva taxi anafungua buti ana maburungutu ya minoti kibao ya dollar ,euro'pound na Naira anakubadilishia chap chap
Kule ukipanda daladala usitarajie kuna kibaka atakukwapulia pesa hata mwanae vipi
Sasa ujanja wa upigaji wametoa wapi kina huspupHakuna matajiri kwa Afrika kama wanigeria asikudanye mtu
Kule kuna ma dangote kibao
Kule ukifika ukitaka kubadilisha pesa dereva taxi anafungua buti ana maburungutu ya minoti kibao ya dollar ,euro'pound na Naira anakubadilishia chap chap
Kule ukipanda daladala usitarajie kuna kibaka atakukwapulia pesa hata mwanae vipi
Kila sehemu yenye matajiri.maskini wapo pia
Mnigeria akipiga pesa sio ndogo wanapenda wizi wa pesa nyingiSasa ujanja wa upigaji wametoa wapi kina huspup
Unaumwa wewe kenya kuna matajiri kuliko bongo? Taarifa zako haziko sawaKila sehemu yenye matajiri.maskini wapo pia
Mfano Kenya kuna wenye pesa wengi kuliko Tanzania lakini kuna asilimia ya malofa hasa Nairobi
Kwa hiyo tumefikia stage ya kuwahukumu watu kwa kuwaangalia usoni?Unatetea ujinga halafu unanifanya kucheka?nenda huko clubhouse ukasikilize wanaume wenzio wanavyopanga kuua utalii Tanzania,kasikilize wanaume wenzio wanavyosimana na nchi zao sio wewe uko busy kukakandamiza wa kwenu...ambake Nani yule kahaba hata kwa macho unamuona