Warioba afichua siri nzito




Mkuu johnshaaban nimekukubali,uko sahihi kabisa.
Asante kwa analysis nzuri
 

reading between the lines: Kupigia kelele ufisadi ni kujifanya kimbele mbele, ndivyo wanavyosema viongozi wengi

sitaki kuamini kama mkuu FMES alitaka kumaanisha hivi
 


Joseph Warioba alikuwa au pengine bado ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa MGCL. Bodi ya wakurugenzi ndiyo iko responsible kwenye uendeshaji wa kampuni kwa niaba ya wanahisa. Mbona hili hajalisema/hajalikanusha?
 
Warioba's firm could have been contracted by the Attorney General to provide legal advice to the Mwananchi Company. I think the key issue ni ku-determine ni nani katika serikali aliyeiajiri hiyo legal firm ya Warioba. There are many precedents where the AG Chambers has hired private lawyers and/or legal firms to represent the Government even in court cases [including in conducting prosecution cases]. This is a very common practice especially in the Commonwealth countries!

In my opinion Nd. Warioba is justified to be concerned when rumours and innuendos are circulated around [including in the press] that he is about to be prosecuted. Whoever is in charge of this case in the Government should be more professional rather than spreading half truths and innuendos which just tarnish peoples names.
 


You are right! Kudi Shauri!
Innuendos!
 
Wanabodi,
Nafikiri watu hamlichukulii swala hili kwa makini lakini ukisomna maelezo ya Warioba, bila shaka mzee huyu yuko CLEAN...
Kifupi nia ya serikali kuanzisha Mwananchi hata mimi ningekubali tena ningemsifia sana Mkapa..lakini changa hili ni sawa kabisa na issue ya WMD ambayo senate waliingizwa mkenge..Kinachonipa shida kubwa ni Mkapa huo mwaka 2005 ambao ufisadi wote ulitembea within the last three month kabla Mkapa hajaondoka Ikulu...Hivi kweli Mkapa alikuwa na nia njema na nchi yetu! hivi kweli kuna mtu anaweza kumsifia Mkapa pindi anapoweza maazimio mazuri kama haya kisha anakuja yavunja yeye mwenyewe!..
Ebu rudieni maelezo haya kisha mnambie tungekuwa wapi leo hii...

Warioba ana kila right ya kuwa concerned..nakumbuka miaka mitatu iliyopita kabla hata Kikwete hajakamata Kiti cha Ikulu aliwahi kuzungumzia Ufisadi nchini na watu walikuja mbogo wakimhusisha yeye na kampuni hii..Sasa ukweli umedhihirika na kipande hiki kimeniacha hoi..

 

Kama yupo safi preemptive strike ya nini? Hata mitambo ya Richmond inaweza kutumika kuzalisha umeme na kuwasaidia wananchi.

Hata rada inatumika sasa. Lakini dili ilikuwa chafu.
 
Zakumi,
Kama yupo safi preemptive strike ya nini
Mkubwa hoja yake ni YEYE mwenyewe sio Mwananchi Gold.. tofauti na mfano wa Richmond au rada. Warioba anataka kujisafisha yeye mwenyewe kutokana na macho ya watu.. Ameonyesha wazi kwamba yeye ni wakili tu akiyeajiriwa kama wakili kiasi kwamba Mwananchi inaweza kum dump hata kesho..Kwa hiyo wasiwasi yenu ipelekeni Mwananchi Gold na sio kulihusisha jina lake na shirika hilo!.. nani wa kuwauliza kuhusiana na Mwananchi kawataja majina yao wazi hivyo tusimfanye yeye bangusilo!..U have a question nenda kawaiulize hao....kulikoni!

Besides sote tumesikia habari za yeye kuvutwa Kisutu na kuna watu wamekwisha ongea naye akasema anasubiri kwa hamu lini ataitwa..na siku alotakiwa kuvutwa serikali yenyewe ndiyo iliahirisha..

Kama unavyofahamu kazi ya mawakili ni sawa na mwanamke malaya, unapompaka mtu mavi jina lake wateja hukimbia..wengi wanaogopa uchunguzi huo usije fungua hata mafaili yao hivyo kuna uwezekano mkubwa kwamba mbali na Warioba kuharibiwa jina, shirika NWM law firm inakosa wateja acha mbali swala la Mwananchi Gold..
 
Hehehehehehehe...Mkandara shauri yako.....utaanza kuitwa male chauvinist pig muda si mrefu.....
 
Kampuni ya Umoja inamilikiwa na familia ya Warioba, kampuni ya VMB inamilikiwa na familiaya Mahalu, kampuni ya YM inamilikiwa Yussuf Mushi, kampuni ya CCM Trust wenye hisa ni Warioba na Yussuf Mushi na si wadhamini wa CCM. Kazi kwenu

Halisi,

Siyo kweli Umoja inamilikiwa na familia ya Warioba!
Angalia kwa msajili wa makampuni.
 


Mheshimiwa, Enron ilifilisiwa kwa mtindo wa buy back. Ila Warioba na kundi lake wamecheza mchezo wa pay us. we pay you high you give me some.
Waliishauri serikali vibaya, wakijua wazi deal ni nini? kampuni yao ya uwakili ilifunguliwa kwa deal wakijua nini wanakifanya.

Anachokifanya warioba anaona maji ya shingo. mambo tanzania huwa yalikuwa yanafanyika wazi hivyo haonewi mtu ila wanyonge ndio tunaonewa kwani wazito ndio hao.
tanzania ni nchi ya ajabu sana, wastaafu, jaji na waziri mkuu wanakubali deal la kuliza nchi? come on now.

Hawa ni wezi kama bado wewe ni mteja wao ulikuwa unajua nini unafuata sio huduma bali mchongo , sasa beba malipo.
 

- JF kwa vichwa bwana, yaani kila ukidhani umemaliza kuhesabu vichwa, then comes kichwa zaidi, saafi sana mkuu hapa tupo pamoja!

Unajua wanasema bwana Yesu alikuwa na wanafunzi 12, waliomuona akifanya vitu vyake kila siku, lakini walipoambiwa kuandika chini kila mmoja alikuja na habari yake!

Mkuu Kinepi nepi ahsante sana kwa kufikisha huu ujumbe kama ulivyoandikwa na Warioba mwenyewe bila kupunguza wala kuongeza anything!
 
reading between the lines: Kupigia kelele ufisadi ni kujifanya kimbele mbele, ndivyo wanavyosema viongozi wengi

sitaki kuamini kama mkuu FMES alitaka kumaanisha hivi

-Kupigia kelele ufisadi wakati wewe mwenyewe ni fisadi kama Warioba, ni kujitia kimbele mbele ndio maana viongozi wengi wanaomjua vizuri huwa wanamshangaa sana, huwezi siku moja Warioba ukasema serikali inanuka rushwa na imejaa mafisadi, halafu Dr. Slaa anatoa majina ya mafisadi unalalamika kuwa ni kuligawa taifa,

- Kwa wale mnaofikiria vita vya ufisadi ni lele mama mjifunze hapa sasa kwa Warioba, kumbe hii vita ni tamu inapokuwa fisadi sio kabila yako, fisadi sio dini yako, fisadi sio ndugu yako, wala rafiki yako, ndio maana hata viongozi wetu wa juu inawawia hivyo hivyo ugumu kutoa maamuzi na mafisadi kama vile na sisi hapa tunavyosua sua!,


Sasa ufike wakati tuwaheshimu wachache katika jamii yetu wanaojitolea kupigana na mafisadi uso kwa uso bila kuogopa anything, maana ni clear kua hata hapa wengi wetu hatuwezi kuita spade kama inavyotakiwa, yaani a spade
 
Hapa kazi kweli kweli! So far, watu humu wanatafutana. Naona kuwa(maoni yangu) sekretarieti ya uenezi, propaganda na unazi inafanya kazi ishirini na nne kwa saba.

Hakuna cha kweli kinachojadiliwa... Zaidi!


Amesha fichua siri. Kama ni siri, sasa naona kila lwake, anatoa siri anazozijua yeye!

Siri?

Tusiropoke sana!😛
 

Mkuu FMES,

Wacha zako! Kichwa?

Enron na mwananchi wapi na wapi?

Kati ya hao kumi na mbili wewe unajifananisha na nani?
 
Mama,
Duh sikutegemea lakini inabidi niombe kwanza samahani.

Kisha sina budi kueleza kile nilichokuwa nikijaribu kusema..sintapindisha ukweli..
Mama, Ukweli ni kwamba ktk mila zetu Ukimwita mwanamke au msichana kuwa ni Malaya..ina lengo moja tu kumharibia uke wake.. yaani unaharibu jina lake na pengine hata wanaume wenye kumpenda kikweli hukimbia..
Sasa ikiwa mwanamke anafahamu kabisa huo Umalaya hana nadhani sii jambo la kumshuku anapojitokeza na kudai yeye sio malaya na akaelezea kisa kizima kilichofikia yeye kuitwa malaya.

Pengine kaitwa malaya tu kwa sababu alichukua au alikubali fedha fulani toka kwa bwana au mtu fulani wakti yeye akijua yalikuwa mapenzi toka kwa mwanamme kumpa hizo fedha..
Ndivyo livyofahamu mimi kisa cha Warioba na kujitoa hadharani.. kaitwa malaya (fisadi) wakati akijua kabisa kwamba mradi mzima ulikuwa halali umepangwa na wazazi wake yaani serikali..Sasa serikali ilipoamua kuvunja mkataba au niseme kuvunja hiyo ndoa kisha yeye kuhusishwa na umalaya kwa sababu tu alikuwa na relation na huyu Mwananchi Gold.. Na ndio maana nikatumia mfano wa mwanamke malaya.

Samahani lakini kwani unajua vizuri kwamba mwanaume Malaya (gigolo) kwa desturi zetu hupewa sifa na wanaume kumwonea maso. Ya kina Lowassa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…