Haika mbona unavibrate humu hata hueleweki,mara huwaamini wabunge kisa muda wao umeisha uko tu unarukaruka mwanamke wewe tulia suala la mbunge kuwa kushindwa kuwa objective linakuja wapi tena?kwani uliwachagua ili iweje?au ulimchagua mbunge wako kwa kushinikizwa?acha hizo bwana wewe na mimi tunaweza zungumza lugha moja maana kuna mijitu humu inatukana kwa kuangalia jinsia zetu mi siipendi katiba pendekezwa haisomi yenyewe inaleta shobo.