Mm hapo ndio napoichukia hii inaitwa siasa japo si kweli.
Kwanza huu musa sio mzuri hata kidogo. Wabunge sio rahisi kuweka pembeni personal interest. Uchaguzi unakaribia. Hawawezi tena kuaminika kuwa objective.
Haika mbona unavibrate humu hata hueleweki,mara huwaamini wabunge kisa muda wao umeisha uko tu unarukaruka mwanamke wewe tulia suala la mbunge kuwa kushindwa kuwa objective linakuja wapi tena?kwani uliwachagua ili iweje?au ulimchagua mbunge wako kwa kushinikizwa?acha hizo bwana wewe na mimi tunaweza zungumza lugha moja maana kuna mijitu humu inatukana kwa kuangalia jinsia zetu mi siipendi katiba pendekezwa haisomi yenyewe inaleta shobo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.