I don't know much about Warioba but this much I know, Warioba si mlevi, anakunywa wine socially tu. Na kuhusu sigara ( na hata unywaji/ ulevi) sie tukichagua kiongozi hatuchagui Papa wa kanisa katoliki. Na kwenye katiba hatukatazwi kunywa au kuvuta sigara.
Ukienda viwanja vingine mwanamme kama hunywi watu wanaweza kukushangaa, kwa hiyo hili swala ni subjective na as long as halijaingilia utendaji sioni umuhimu wake.
Maswali 1 na 2 yanaweza kuwa na hoja.