Warithi wa Manara

Watajua wenyewe kama wana mikataba au wanajitolea
 
Hakuna mhamasishaji hapo. Sana sana ni watu wakuzungumza maneno ya shombi kwa timu pinzani.

Lakini Simba ilishatoka huko kwenye mambo ya Kiswahili kwanini yanajirudia tena?
 
Yule lunatic anasema apigwe mawe au atatembea uchi, mpira umevamiwa
 
Mkuu watu wengi wanachanganya hafisa habari wa team na muhamasishaji wa team.
Kuamini maneno yangu ona kichwa cha habari cha mleta mada na michango ya wadau utaamini maneno yangu.
Duh.... Basi sawa.... [emoji1787]
 
Wachambaji wa club, mpira wetu una safari ndefu.
 
Mgamasishaji wa Simba kaweka nia kutembea uchi mchana kweupe naamini mashabiki wa klabu mtamuunga mkono mutembee kwa pamoja
 
Mhamasishaji atatembea uchi na mashabiki inabidi wahamasike watembee uchi kweupee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…