pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Watajua wenyewe kama wana mikataba au wanajitoleaKlabu ya Simba imewatambulisha Mwijaku na Kay Mziwanda kuwa wahasishaji wapya wa klabu hiyo, kazi aliyokuwa akiifanya aliyekuwa Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara.
View attachment 1981932
Umewapokeaje wahamasishaji hawa?
Binafsi sina neno ila nina swali moja tuu, je hawa wana mikataba?
Sizani kama ndugu GENTAMYCINE atakubaliana na hili jambo [emoji1787] [emoji1787]
Duh.... Basi sawa.... [emoji1787]Mkuu watu wengi wanachanganya hafisa habari wa team na muhamasishaji wa team.
Kuamini maneno yangu ona kichwa cha habari cha mleta mada na michango ya wadau utaamini maneno yangu.
Wachambaji wa club, mpira wetu una safari ndefu.Klabu ya Simba imewatambulisha Mwijaku na Kay Mziwanda kuwa wahasishaji wapya wa klabu hiyo, kazi aliyokuwa akiifanya aliyekuwa Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara.
View attachment 1981932
Umewapokeaje wahamasishaji hawa?
Binafsi sina neno ila nina swali moja tuu, je hawa wana mikataba?
Yeye anawalamba matajiri miguu na matajiri wanamlamba yeye makalio.Hivi Mwijaku anajua pigo la kona inatokana na nn?
Anajua timu inatakiwa kuwa na wachezaji wangapi kwenye mechi moja?
Daah kuna watu wengi Smart zaidi ya huyu mlamba miguu ya matajiri mjini